MWONGOZO WA MWALIMU WA KUFUNDISHIA ELIMU YA AWALI
TAASISI YA ELIMU TANZANIA
MWONGOZO WA MWALIMU WA KUFUNDISHIA ELIMU YA AWALI
TAASISI YA ELIMU TANZANIA
MWONGOZO WA MWALIMU WA KUFUNDISHIA ELIMU YA AWALI
? Taasisi ya Elimu Tanzania Toleo la Kwanza, 2016
ISBN. 978 - 9976 - 61- 429 - 9
Mwongozo huu umetayarishwa na: Taasisi ya Elimu Tanzania Kitalu Na. 686, Barabara ya Ali Hassan Mwinyi S. L. P. 35094 Dar es Salaam Simu: 255 - 22 - 2773005 Nukushi: 255 ? 22 - 277 4420 Tovuti: tie.go.tz Baruapepe: director.general@tie.go.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Hairuhusiwi kuiga, kunakili, kutafsiri, kupiga chapa au kutoa andiko hili kwa namna yoyote ile bila idhini ya Taasisi ya Elimu Tanzania.
YALIYOMO
SHUKRANI ...............................................................................................................................iv DIBAJI ......................................................................................................................................... v VIFUPISHO ............................................................................................................................... vi UTANGULIZI ..........................................................................................................................vii SURA YA KWANZA: UCHAMBUZI WA MTAALA...........................................................1 1.1 Dhana ya Mtaala Unaojenga Umahiri...........................................................................1 1.2 Vifaa vya Mtaala Vinavyosaidia Kujenga Umahiri ......................................................1 1.3 Uhusiano Kati ya Mtaala na Vifaa Vyake .....................................................................3 SURA YA PILI: UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI WA WATOTO WA ELIMU YA AWALI ....................................................................................................................4 2.1 Dhana ya Ufundishaji na Ujifunzaji ............................................................... .............. 4 2.2 Mbinu za Kufundishia na Kujifunzia Zinazojenga Umahiri .....................................5 2.3 Zana za Kufundishia na Kujifunzia ................................................................ ..............5 2.4 Elimu Jumuishi ................................................................................................................6 2.5 Taratibu za Kutekeleza Ratiba ya Kila Siku ..................................................................7 SURA YA TATU: UPIMAJI WA MAENDELEO YA MTOTO KATIKA ELIMU YA AWALI ....................................................................................................................9 3.1 Dhana ya Upimaji wa Maendeleo ya Mtoto .................................................. ..............9 3.2 Aina za Upimaji..............................................................................................................11 3.3 Zana za Upimaji ............................................................................................... .............11 3.4 Tathmini ya Maendeleo ya Mtoto ................................................................................13 SURA YA NNE: MCHAKATO WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI WA UMAHIRI ................................................................................................................ ................14 4.1 Maandalizi ya Ufundishaji ............................................................................................14 4.2 Kuwawezesha Watoto Kujenga Umahiri ....................................................................16 REJEA ........................................................................................................................................53 VIAMBATISHO .......................................................................................................................54
SHUKRANI
Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) inatoa shukrani kwa wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine katika kufanikisha uandishi wa mwongozo huu. Shukrani hizi zinatolewa kwa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam, Chuo cha Ualimu Singachini, Mhonda na Montessori-Msimbazi, Shule ya awali Chang'ombe, Tusiime na Mwere B na Idara ya Uthibiti Ubora - Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (WEST). Aidha, TET inatoa shukrani kwa shirika la kimataifa la kuhudumia watoto UNICEF Tanzania kwa ufadhili ambao umefanikisha uandishi wa mwongozo huu.
Dkt Elia Y. K. Kibga Kaimu Mkurugenzi Mkuu Taasisi ya Elimu Tanzania
iv
................
................
In order to avoid copyright disputes, this page is only a partial summary.
To fulfill the demand for quickly locating and searching documents.
It is intelligent file search solution for home and business.
Related download
- admission guidebook for 2021 2022 national technical award programmes
- wizara ya elimu sayansi na teknolojia taasisi ya elimu tanzania
- jamhuri ya muungano wa tanzania wizara ya elimu sayansi na teknolojia
- hali ya elimu ya sekondari na changamoto zake nchini tanzania mwaka 2020
- national education nationa education policy brief oic rie
- study no 12 june 2013 raising the stakes the impact of hakielimu s
- ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa orodha waajiliwa
- jamhuri ya muungano wa tanzania
- uchopekaji wa masuala mtambuka katika mtaala wa elimu ya awali
- for official use only report no pad3378 world bank