RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PRIMARY SCHOOL LEAVING ...
REF. PSLE 2021
RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PRIMARY SCHOOL LEAVING EXAMINATION TIMETABLE)
SEPTEMBA, 2021
TAREHE NA SIKU
MUDA (SAA)
NAMBA MFICHO
SOMO
2:00 ? 3:40
01
KISWAHILI
08.09.2021 JUMATANO
3:40 ? 4:30
04 4:30 ? 6:30
04E
MAPUMZIKO
HISABATI MATHEMATICS
6:30 ? 8:30
MAPUMZIKO
03 8:30 ? 10:00
03E
MAARIFA YA JAMII NA STADI ZA KAZI
SOCIAL STUDIES AND VOCATIONAL SKILLS
2:00 ? 3:40
02
3:40 ? 4:30
ENGLISH LANGUAGE MAPUMZIKO
09.09.2021 ALHAMISI
4:30 ? 6:00
05
05E
6:00 ? 8:00
06
8:00 ? 9:30 06E
SAYANSI NA TEKNOLOJIA SCIENCE AND TECHNOLOGY
MAPUMZIKO
URAIA NA MAADILI CIVIC AND MORAL EDUCATION
MAELEKEZO MUHIMU
1. Hakikisha kuwa unayo Ratiba ya Mtihani ya mwaka 2021 iliyoandaliwa na Baraza la Mitihani la Tanzania.
2. Kabla ya kufungua bahasha yoyote yenye maswali ya mtihani, hakikisha kwamba unasoma jina la somo juu ya bahasha husika na kujihakikishia kuwa somo hilo ndilo linalostahili kufanyika wakati huo kulingana na Ratiba ya Mtihani.
3. Endapo utata utajitokeza kati ya maelekezo yaliyomo ndani ya Karatasi ya Mtihani na Ratiba ya Mtihani, maelekezo yaliyomo katika karatasi ya Mtihani husika ndiyo yatakayofuatwa.
4. Watahiniwa WASIOONA na wale wenye UONI HAFIFU waongezewe MUDA WA ZIADA WA DAKIKA 10 KWA KILA SAA kwa Mtihani wa Kiswahili, 'English Language', Maarifa ya Jamii na Stadi za Kazi, Sayansi na Teknolojia na Uraia na Maadili.
5. Watahiniwa WASIOONA na wale wenye UONI HAFIFU waongezewe MUDA WA ZIADA WA DAKIKA 20 KWA KILA SAA kwa mtihani wa Hisabati.
6. Msimamizi wa watahiniwa WASIOONA awe Mtaalamu mwaminifu aliye na uwezo wa kusoma maandishi na alama za `Braille'.
7. Watahiniwa wenye UONI HAFIFU wapewe karatasi za mtihani na za kujibia zenye maandishi yaliyokuzwa, zilizoandaliwa na Baraza la Mitihani la Tanzania kwa matumizi yao.
8. Karatasi zenye majibu ya watahiniwa wenye UONI HAFIFU zifungwe kwenye bahasha za pekee. Zisichanganywe na karatasi za watahiniwa wenye Uoni wa kawaida.
9. Watahiniwa waelekezwe; (a) Kuingia ndani ya chumba cha Mtihani nusu saa kabla ya muda wa Mtihani na watakaochelewa kwa zaidi ya nusu saa baada ya Mtihani kuanza hawataruhusiwa. (b) Kufuata maelekezo yote yatakayotolewa na wasimamizi wa Mtihani. (c) Kuandika namba ya Mtihani kwa usahihi. (d) Kuhakikisha namba iliyoandikwa kwenye msimbomilia na namba ya Mtihani zinafanana. (e) Kutofanya mawasiliano ya maneno au kwa njia yoyote baina ya watahiniwa. Ikiwa mtahiniwa ana tatizo anatakiwa kunyoosha mkono ili kuomba msaada kwa msimamizi wa Mtihani. (f) Watakaojihusisha au watakaofanya udanganyifu watafutiwa matokeo yao ya Mtihani.
................
................
In order to avoid copyright disputes, this page is only a partial summary.
To fulfill the demand for quickly locating and searching documents.
It is intelligent file search solution for home and business.
Related download
- mtihani wa mwigo wa pamoja wa mokasa
- taarifa ya matokeo ya mitihani ya taifa ya mwaka 2020
- find this and other free resources at https
- ratiba ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne standard four national
- jamhuri ya muungano wa tanzania baraza la mitihani la tanzania maswali
- find more free educational resources at http
- jamhuri ya muungano wa tanzania baraza la mitihani la tanzania mtihani
- ratiba ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi primary school leaving
- mtihani wa mwisho wa muhula wa tatu 2019 102 2 kiswahili kidato cha
- 2021 certificate of secondary education uniforumtz
Related searches
- bahamas primary school curriculum
- primary school ranking hong kong
- hk primary school ranking
- bahamas primary school science curriculum
- hk primary school ranking 2018
- hong kong primary school ranking
- primary school ranking singapore
- hong kong primary school list
- primary school math textbooks pdf
- primary school mathematics textbook pdf
- primary school english textbook pdf
- primary school books download