REPOTI YA TUME JUU YA NJIA MBELE KATIKA MAFUNZO KWA …

REPOTI YA TUME JUU YA NJIA MBELE KATIKA MAFUNZO KWA MFANO WA KIJUMU

UTANGULIZI Repoti hii kwa mkutano wa pekee wa kongamano la jumla kutoka kwa kamati ya jinsi ya kuendelea mbele imewasilishwa kutokana na tamanio la kutumikia kanisa lote na sana sana makundi yatakayokongamana Februari, 2019. Inapatikana katika mazingira ya kanisa la kimataifa katika mabara manne, kwa lugha nne zenye zinatumika ndani ya kanisa, na katika kujaribu kugabulana vifaa zenye zinaheshimia hii ukweli. Hii repoti iko kazi ya tume kwa juu ya njia mbele na kugawana moja kwa moja na mkutano wa pekee wa kongamano la jumla.

HISTORIA YA TUME KUHUSU RIPOTI YA NJIA MBELE

Tangu kuanzishwa, wote tume ya njia mbele pamoja na kundi la askofu walielewa kwamba tume ilikuwaikifa nya kazi yake kwa niaba ya kundi la maaskofu na kundi la maaskofu litakuwa linawasilisha ripoti na sharia iliyopendekezwa kwa mkutano wa pekee wa kongamano la jumla hapo 2019. Hii ni tafsiri ya lugha ghafi ya sadaka ya njia mbele Iliopitishwa Portland hapo 2016 katika kongamano la jumla ambapo tume ilifanya kazi yake.

Mnamo Mei tarehe 25, mwaka 2018, baada ya mkutano ya mwisho ya tume juu ya njia ya kusonga mbele ya baraza la mahakama ilitoa uamuzi(decision) yake (Uamuzi 1360) kuonyesha kwamba tume inafaa kuwasilisha ripoti yake na sharia yenye balipendelea moja kwa moja kwa kongamano la jumla. Ili kutumikia kanisa vizuri , tume imeumbiza upya ripoti yake kuonesha mabadiliko hayo na kukubali kazi (ku honore) yenye tume ilifanya.

Hii imepaya tume nafasi juu ya kutafakari lengo lake. Tume hii niko ya batu thelathini na mbili benye balioletwa pamoja kusaidia kanisa juu ya kupata njia ya kusonga mbele. Lengo la tume hii halikuwa kuafikia usawa wa mawazo miongoni mwao au kuunda ungo la kanisa ambalo kanisa ingechukua katika siku zijazo. Lengo limekuwa kusaidia baraza la maaskofu pamoja na kongamano la jumla kufanya kazi hii ya kufanya uamuzi. Na kwahivo kile ambacho kanisa litaona katika ripoti katika juu ya hatua inaonesha kwamba wahusika wa tume walikuwa na makubaliano kamlili na kila kitu Katika ripoti. Wakati wa kutokubaliana na kila kitu katika ripoti hii wahusika wa tume kawaida hua na makubaliano ili kuweka kazi kuendlea mbele kwa mafanikio ya kanisa lote. Wahasika wa tume wamekuwa kwa agano na kila mmoja, na kubaki waaminifu kuhusu kazi ya Mungu inayoendelea kupitia kanisa la umoja la Methodisti.

Unaposoma ripoti, tafadhali kumbuka mahali ambapo kazi ilifanywa na tumen a mahali ambapo taarifa ya ziada imejumuishwa na kazi iliyofanwa na baraza la maaskofu ama kundi tofauti la maaskofu.

MUKTADHA YA KIHISTORIA 2018 ni mwaka wa 50 wa Kanisa la Muungano wa Methodisti. Tunaangalia nyuma wakati wa kuudwa kwa Kanisa la Muungano wa Methodisti mnamo 1968, ambayo yenyewe lazima inclure(ijumuishe) historia ya za Mamlaka Kuu nchini Marekani, na Ba ndugu ya Baumini ya Uinjilisti. Katika mwaka 1972 lugha kuhusu jinsia ya binadamu ilijumuishwa katika kitabu kyetu kya Mashauri(adabu) . Kuongeza madhara kwa kia mmoja, na kuchimbika mambo anaohusika na jinsia ya binadamu na umoja wa kanisa imsababisha mkutano wa pekee katika kongamano la jumla , ambao itapokea ripoti pamoja na mambo mengine katika Amani na baraza la maaskofu Inahitaji mkutano huu wa pekee.

1

FIKRA MUHIMU YA MIUNDOMISINGI Lengo letu la kijumla Mitume na Imani ya Nisea; Makala ya dini na kutangaza Imani; Sheria za kawaida; Nyimbo ya wesley; Kushirikiana na Maandiko; kazi ya Uungu, Huruma na Haki; Sakramenti ya Ubatizo na Ekaristi; Uwajibikaji na usaidizi kwa makundi madogo (kikundi na mikutano ya vikundi); Uhusiano ya maisha yenye inajumuisha Utumishi, Njia na Mkutano. Kwa "kushangaa,mapenzi na Sifa",njo mambo ma tatu: Upendo wa Mungu ya kuokoa ni ya batu yote; upendo wa mungu ya kuokoa ni ya kubadilisha; upendo ya kuokoa wa Mungu inatengeza jamii.

Mahitaji ya nafasi na kujitenga Msimamo ambayo Umoja wa Methodisti balifanyana madhara makubwa kwa kila mmoya, na/au kwamba kuna tofauti za kitheolojia zisizokubaliana, na kwamba iyi inahitaji kuanzishwa kwa nafasi tofauti zaidi kati ya majimbo katika kanisa yetu na labda kutenganisha makundi fulani za kanisa yetu, hasa kulingana na maadili, kutoka kwa kila mmoya.

Centralization na ugawaji wa madaraka. Kulingana na dhana za "umoja wa umoja na uhuru wa ndani" (Kitabu kya (nidhamu)mashauri, 125). Centralization na bugawaji ya sheria kila mmoja biko tabia nzuri na mbaya(hasi) Buzuri ya centralization ni utaratibu na uwazi; tabia mbaya inaeza kuwa kukwamiza na kukandamiza. Buzuri ya bugawaji ya madaraka ni uhuru na contextualization; tabia mbaya inaeza kuwa machafuko na machafuko. Swali muhimu kuhusiana na centralization na bugawaji ya madaraka ni moya ambayo hali yetu ya sasa ya umisionari inatuita tuangalie?

Wataalamu wa jadi, maadili na maendeleo Banamaadili banafurahia ndoa kati ya mwanamume mmoya na mwanamke mmoya, na shughuli za kijinsia ndani ya ile uhusiano. Banamaadili pia banatafuta wajibu mkubwa katika ngazi zote za kanisa. Batazamaji banataka kutafsiri injili katika mazingira mbalimbali ambayo Mungu anatuweka. Banaona hii kama mwito ya missiologique, na banaamini ya kuwa kazi ya kanisa inaweza kubadilishwa katika kanisa la ulimwengu. Uendelezi una thamani ya kuingizwa kwa batu yote katika maisha ya kanisa, katika ngazi zote, ikiwa ni pamoja na jamii ya LGBTQ. Pia banaamini ya kuwa kanisa inaweza kusherehekea ndoa za jinsia moya.

Kusomea kuwa kanisa la ulimwengu. Uelewa, hasa miongoni ya Muungano ya ba Methodists huko Marekani, kwamba tunatamani kuelewa na kuishi kutoka kwa asili yetu ya kimataifa. Ni safari ya kusikiliza, ya bunyenyekevu, na kuvuka mipaka ya jiografia, lugha na utamaduni kuelewa jinsi imani na utamaduni hujenga mazungumzo karibu na utambulisho na mazoea ya LGBTQ na umoja wa kanisa Kama vile mazungumozo inakomala, itakuwa chini ya utawala wa tabia za kikoloni za zamani na za sasa.

Ufafanuzi wa Umoya Umoya wetu ni katika Yesu Kristo Mungu mmoya, Roho moya, Imani moya na Ubatizo mmoya. Yesu anaombea iyi umoja na iyi umoja inafanyika wazi ndani ya mwili wake, kanisa. Umoja wetu unaeza kuonekana kwa njia mpya na maumbo. Njia etu kuelekea ukubwa wa umoya ni kitu kimoja ambacho kimechukuliwa na uratibu na kazi kwenye Kitabu cha Ushauri Mkuu. Wakati hatuwezi kuishi kwa umoja na bengine, ushuhuda yetu imeathiriwa na tunadhuru kila mmoja.

2

Kuongeza lengo na tofauti kati ya ujumbe ya publique(umma) na binafsi Tuko kama kanisa kwenye mabara manne, chini ya msalaba na moto Kuimarisha utume ni kutimiza Tume Kubwa na Amri Kubwa katika maeneo mengi iwezekanavyo duniani. Ujumbe wa umma ni malengo yetu yaliyoelezwa, "kufanya wanafunzi wa Yesu Kristo kwa ajili ya mabadiliko ya ulimwengu" (Kitabu cha Mashauri (discipline) , 120). Wakati mwingine hii inaweza kupingana na ujumbe wetu binafsi, ambao wakati mwingine huweka msisitizo zaidi juu ya kuridhika kwa makundi yaliyojitokeza tayari katika kanisa letu

Mtindo wa amani na njia zetu za kuwa na kila mmoya Hali ya moyo wetu kuelekea mtu mwingine hufanya matokeo mengi. Ikiwa tuna moyo kwa amani, tunaona mwingine kama mtu, na mahitaji mengi, matumaini na zawadi. Ikiwa tuna moyo katika vita, tunaona mwingine kama kitu au kikwazo kwa tamaa zetu wenyewe na maono. Aidha, moyo wa vita unapanua tofauti kati ya batu ili kujiandaa kwenda vita nao. Iyi ni unabii wa kujitegemea. Na wakati batu (au makundi) wanapigana vita, huzidisha vita kwa kila mmoya ili waweze kuhalalisha wenyewe, na wanaweza kuwa na ushirikiano kwa kila mmoya kwa faida ya maslahi yao. Tume hiyo ilifanya kazi kwa bidii kuendelea na hali ya kuwa na mioyo ya amani. Kazi hii muhimu ilitupa uwezo wa kupita zaidi ya nafasi zetu na kutafuta na kugundua maslahi tunayo pamoja katika suala la imani yetu, ufahamu wetu wa Kibiblia, upendo wetu kwa Kanisa la Umoja wa Methodist, na Ujumbe wa Kristo wa kufikia ulimwengu na nguvu ya kubadilisha ya Mungu.

Kuombea njia mbele yetu, katika mikutano ya Baraza na mikutano ya kila mwaka Ombi limekuwa katika mioyo ya hali ya njia mbele kwanzia mnamo Mei, 2016 Tumetumia muda kwa kwa ombi la ndani katika lugha tofauti katika tume na mikutano ya baraza. Mikutano ya kila mwaka imesababisha mkazo na wito kwa sala. Na tunapokaribia Mkutano Mkuu wa Maalumu, tunaulizwa kuwa wanachama wetu duniani kote kuomba kila siku kutoka 2:23-2:26, ambayo inafanana na tarehe kuanzia 23-26 Februari 2019.

JINSI TUME ILIVYOFANYA KAZI YAKE. Tume ya Njia Mbele (COWF) ilikutana katika majengo ya umoja wa Methodist na makanisa ya mitaa kama ishara ya uhusiano wetu na uongozi. COWF ilitafuta usawa na utume, maono na wigo uliotolewa na Baraza la Maaskofu. Wajumbe waliandika agano ambalo litaongoza mazungumzo na matendo, katika mikutano na kati yao. Baada ya muda ajenda hizo zilijumuisha ushuhuda wa imani, kujifunza vitabu kadhaa vya kibiblia, ikiwa ni pamoja na Wagalatia, 1 Wakorintho, na injili ya Yohana, na wakati wa maombi ya maombi Kwa kila mmoya.

Baraza liliskia sauti kutoka nje moja wapo ni Erin Hawkins, Dawn Hare, Russell Richey, David Scott, Bishops Woodie White, na Scott Jones COWF ilifanya kazi kwa roho ya ushirikiano na kamati nyingine na bodi za kanisa; kwa mfano, colloquy mbili zilifanyika kwa ushirikiano na Bodi Mkuu juu ya Elimu ya Juu na Wizara (GBHEM), moja juu ya ujinsia wa kibinadamu na pili kwa utume huko Marekani. Wanachama wa COWF na Kamati ya Imani na Utaratibu walikutana ili kuandaa mfumo wa kitheolojia. Wanachama wa COWF walikutana na wafanyakazi kutoka kwa Bodi Mkuu kwa Wizara ya Kimataifa (GBGM) ili kuandaa mfumo wa utume. Na COWF alikuwa na mazungumzo ya kuendelea na viongozi wa Wespath. Moya ya mikutano yetu ilifanyika Berlin, Ujerumani na Tume ilifaidika zaidi na kuwa na majadiliano nje ya Umoya wa Mataifa kama lengo la kazi ya Tume ilikuwa kuchunguza hali ya kimataifa ya Kanisa la umoya la Methodisti katikati ya kazi yake.

COWF pia ilikusanya data kutoka kwa washiriki na wadau wakati wote wa kuungana. Wanachama wa Tume na Wasimamizi walizungumza na kusikiliza katika shule nyingi za kitheolojia katika U.S. na katika

3

Chuo Kikuu cha Afrika. Majadiliano yalifanyika na makundi ya upya na utetezi na makanisa na washirika wa mikutano ya kila mwaka. Jukwaa la elektroniki linaruhusu wanachama kuona maoni kutoka ulimwenguni kote yaliyothibitisha imani za Wama Methodisti.

COWF iliwasilisha ripoti ya muda mfupi kwa Baraza la Maaskofu mnamo Novemba, 2017, na kwa kuzingatia maoni hayo yaliyotolewa tena mwezi Februari, 2018. Ripoti ya mwisho ilitolewa kwa COB mwezi Mei, 2018.

MAONI YA KIHISTORIA YA TUME KATIKA MAJIBU YA NJIA MBELE..

Wajumbe katika Mkutano Mkuu Mei 2016 huko Portland walipigia kupitisha ombi la Baraza la Maaskofu wa "kusitisha maombi" na kuunda tume ya kuchunguza chaguo ambazo zinasaidia kudumisha na kuimarisha umoja wa kanisa. Mnamo Julai, 2016 kamati ya utendaji ya Halmashauri ya Maaskofu ilikutana huko Chicago kutambua ujumbe, maono na upeo wa kazi na kuchaguliwa wasimamizi watatu.

Maaskofu waliteuliwa na kuchaguliwa wanachama 32 kutumikia Tume, wakizingatia mwili tofauti unaowakilisha kanisa letu la kimataifa. Katika Tume kuna batu kutoka nchi tisa na mitazamo mbalimbali za kitheolojia. Tume imeundwa na batu bwa tatu , wajumbe bwa tatu na maaskofu bwa tatu na hujumuisha vijana, mashoga, walimu, watendaji, wachungaji, mawaziri wa vijana, mawaziri wa chuo, wachungaji wakuu na batu baliojulikana. Kuko representation ya Kikorea, Puerto Rico, Kiafrika-Amerika, Ufilipino, Uwakilishi wa Ulaya na Afrika..

Sehemu muhimu ya kazi ya mwanzo ilikuwa kujenga imani na jamii ya makusudi kati ya kikundi cha watu ambao walikuwa na sababu nzuri za kutoaminiana. Katika moyo wa kazi ya kujenga uhusiano ilikuwa kitabu anatomie ya amani na Institut ya Arbinger, ambayo inalenga jinsi tunaishi na moyo katika vita, kuona bengine kama vikwazo au magari kwa nini tunataka , au moyo wa amani, kuona bengine kama batu. Moyo katika vita huzidisha tofauti zetu. Moyo yenye ni ya amani inaonaka yale tuliyo nayo. Tume iliandika agano kubwa na kila mmoja na mwisho mwa mkutano ya kwanza alitoa kila mtu mwaliko wa kuondoka, kwa heshima. Wanachama wa Tume walitafuta kutafuta suluhisho badala ya kuwakilisha vikundi au majimbo. Kazi ya Tume ya kutaja maoni tofauti ya kitheolojia na tafsiri ya maandiko ni mfano wa huduma gani tunayoitwa na kuwa na nguvu na Mungu kufanya. Hii imesababisha kutambua maslahi ya nafasi tofauti na kufungua fursa nyingi kwa kanisa kuendelea kukuza huduma ya Kristo kwa umoja na kwa utofauti.

Tume ilitumia muda mwingi kusikiliza kanisa kupitia nafasi ya wazi ya kupokea hati, mawazo na ushuhuda. Tume ya kupokea na kusindika maoni kutoka kwa bodi na mashirika, makanisa ya ndani, mikutano ya kila mwaka, watu binafsi na wa makanisa, wagombea wa huduma na wanafunzi wa semina. Mazungumzo yamefanyika na batu binafsi na makundi ya riba duniani kote. Wengi wa wajumbe wa tume pia walizungumza na vikundi mbalimbali wakati wa kuungana.

Tume ilikutana mara tisa kwa miezi kumi na saba. Tume ilirekebisha aina mbalimbali za maombi yaliyowasilishwa kama sheria kwa Mikutano Mingi ya awali kuhusu ujinsia wa kibinadamu na kuchunguza jinsi jumuiya nyingine za imani na madhehebu zinavyojibu au zimejibu swali la kuingizwa kwa watu wa LGBTQ. Njiani, wajumbe wa tume walifanya kazi kwa mifano ya baadaye. Tume ilitoa ripoti ya muda mfupi kwa Halmashauri ya Maaskofu mnamo Novemba, 2017 ambayo ilijumuisha michoro tatu: moya ambayo ilizingatia uwajibikaji ndani ya mazingira ya Kitabu cha sasa cha lugha ya Ufunuo, moja ambayo ilikuwa na lengo la kuondoa lugha ya kuzuia na kuweka thamani kubwa juu ya hali ya kimazingira na ulinzi wa mitazamo mbalimbali, na moya ambayo yalifikiri kanisa kama msingi wa umoya

4

na matawi mengi. Maadili matatu muhimu ya mifano hii yalikuwa ujumbe, nafasi, na umoja. Je! Mtindo unawezaje kuongeza shahidi wa Wesley? Tunahitaji nafasi ngapi? Umoja wa kiasi gani unawezekana?

Tume imechunguza kwa makini sana matokeo ya mfano mmoja kwenye kanisa la dunia na mikutano yake ndani na nje ya Marekani. Tume ilijadili jinsi ya kutekeleza kwa makini maneno ambayo inaruhusu mikoa mbalimbali ya kanisa kufanya yale yaliyofaa kwao ili kutimiza utume wa kufanya wanafunzi.

Kupitia mchango unaoendelea wa maaskofu na wadau wa kanisa, Tume iliwasafisha na kuifanya mifano hiyo na iliwasilisha ripoti hii kwenye Mkutano maalum wa Mkutano Mkuu. Kazi ya baadaye itakuwa pamoja na wajumbe wa kuunda utamaduni ambao utamsikiliza Mungu, kupokea ripoti, na kufanya kazi hii kwa moyo wa amani na sio moyo wa vita.

WANAKAMATI WA TUME KWA NJIA MBELE. Kumbusho: Majina ya wanachama wa Tume yameorodheshwa bila kichwa. Wakati wajumbe wa Tume wanaheshimu na kufahamu majukumu na digrii za kitaaluma, mara nyingi tunatanaana kwa jina la kwanza, tukifanya unyenyekevu wa hatia tunapofanya kazi yetu pamoja.

Jorge Acevedo Brian Adkins Jacques Akasa Umembudi Tom Berlin Matt Berryman Helen Cunanan David Field Grant Hagiya Hortense Aka Dago-Akribi Scott Johnson Jessica LaGrone Thomas Lambrecht Myungrae Kim Lee Julie Hager Love Mazvita Machinga Patricia Miller

Mande Guy Muyombo Eben Nhiwatiwa Dave Nuckols Casey Langley Orr Gregory Palmer Donna Pritchard Tom Salsgiver Robert Schnase Jasmine Rose Smothers Leah Taylor Peter Torio Debra Wallace-Padgett Rosemarie Wenner Alice Williams John Wesley Yohanna Alfiado S. Zunguza

Wasimamizi wa Tume ya Njia ya Kuendelea mbele: David K. Yemba, Ken Carter na Sandra Steiner Ball

5

................
................

In order to avoid copyright disputes, this page is only a partial summary.

Google Online Preview   Download