FREE KCPE KCSE REVISION RESOURCES | KCPE-KCSE



KISWAHILIDARASA LA NANEINSHAINSHA ZA METHALIHutahiniwa kwa namna tatuMwanzo, mada na tamati au kijalizioIwapo ni mada,jadili au fafanua ikiwa una uwezoIwapo ni tamati, jalizia kwa maneno uliyopewaIwapo ni mwanzo, endeleza kisa moja kwa mojaSimulia kisa kinachooana na maudhuiMETHALI ZA WEMA, USAIDIZI WA RAFIKI NA UDUGUAkufaaye kwa dhiki ndiye rafikiHeri jirani wa karibu kuliko ndugu wa mbaliKwendako mema hurudi memaWema hauoziJaza ya ihsani ni ihsaniKumpoa mwenzio sio kutupaWawili si mmojaDamu ni mzito kuliko majiDamu ni damu si kitarasaZimwi likujualo halikuli likakwishaMSAMIATI NA MAPAMBOSaidiana kamaMaiti na jenezaKiko na digaliSahani na kawaKinu na mchiAlinitilia upendo/alinipiga jekiHali mbaya ya mtuMchafu kama kilihafu/fungo/kisafuDovuo mdomoni/mashavuniNgecha menoni/matongo machoniHali ya umaskini/unyonge/ugonjwaSi lolote si chochoteMasikini hohehaheSi wa koleo si wa maniKwake hakufuki moshiSi hayati si mamati/si hai si mahututiHawana be wala teNikawa gofun la mtu/kifefe/fremu ya mtuAnachungulia kaburiMiundo ya maumboIlikuwa dhahiri shahiri kuwa angeenda jongomeoNilipiga moyo konde nikampiga jeki Kwa hali na maliAlinitilia upendo kwani akufaaye Kwa dhiki ndiye rafikiNilikumbuka alivyonipakatana kuniasaNilikuwa sina be wala te baada ya wazazi kwenda jongomeoMatumaini yangu yalifufuka pindi nilipokutana na ________Machozi yalimlengalenga na kumbubujika kama maji mferejiniKupokea methaliWaambao waliamba_______Wahenga hawakutupa ulimi wa kulazia walipoanga______Chambilecho wahengaWahenga hawakutoa ngebe walipokuli______Yakini, wema ______TamatiNdipo iliponiwia bayana kuwa _____Ndipo walipofutika mtimani kwangu ukweli wa methali_______Sitalifuta tukio hilo katika kumbukumbu zanguTanbihi-mwalimu ana uhuru wa kuongeza mengineINSHA YA MJADALAmjadala ni mazungumzo baina ya watu kuhusu mada au hoja kuuupande mmoja hupinga huku mwingine ukiunga mkonokuna sehemu nne kuumadautangulizimwilitamati-kutoa kauli na ushaurikuna namna tatu za kuandika insha hiikuunga na kupinga katika aya mojakuunga mada mkono na baadaye kuipingakuipinga mada na baadaye kuiunga mkonousiandike chini ya hoja sitatoa msimamo wako kwa mwandishiTEKNOLOJIANi maarifa ya kisayansiyaliyowekwa katika matumizi ya vifaa, vyombo, mitambo na zana mbalimbaliTeknolojia inaweza kutumika kwa njia ainatiMawasilianoUtafiti wa kisayansiUsafi na afya ya mwiliUsafiriKilimo na ufugajiMichezo na mashindanoElimuBiasharaKutalii anga za juuMawasilianoVyombo vya mawasiliano kama tarakilishi, magazeti, simuHutupasha habariHutuepusha na maafaKuelimisha na kutumbuizaKiingiacho mjini si haramuKipya kinyemi kingawa kidondaUtafitiWataalamu wamevumbua/wamegundua dawa za dweleMashine/mitambona vyombo vya kurahisisha kaziMitambo ya kuchunguza hali ya angaDawa za kuzuia mimbaUkiona vyaelea vimeundwaElimuVyombo na vifaa vingi hutumiwa shuleniMitambo na vifaa vya utafitiMatumizi ya mitandaoKanda za videoElimu ni bahariElimu haitekekiUsalamaZana za vita hutumiwa hutulinda dhidi ya maaduiDonge nono hupatikana baada ya kuuza vifaaNyua za umeme na ving’oraTahadhari kabla ya hatariKilimo na ufugajiPembejeo-mbegu, mbolea, dawaMashine za kulimia, kunyunyuzia majiMashine za kukama ng’ombeUkiona vyaelea vimeundwaTembe na tembe huwa mkateUsafiriVyombo vya usafiri vya majini, angani na nchi kavuHuenda kwa kasi ya umemeHuokoa wakatiNgoja ngoja huumiza matumboMadhara ya teknolojiaHuwafanya watu kuwa wazembeChanzo cha mmomonyoko wa maadiliHufundisha ulevi, ulanguzi wa dawa za kulevyaHulemaza akili na fikiraHuchangia kutupilia mbali kwa tamaduni na desturiTamatiNingependa kuwajuza kuwa _______Ningeomba sote tupinge kwa jino na ukucha ____________Tusiwe kama chachandu kwa kujipalia makaa kwa ____________INSHA YA MASIMULIZIMICHEZOMichezo ni jumla ya shughuli za kujifurahisha, kujichangamsha,kujiburudisha au kupoteza wakatiKuna michezo ainati kama vileKandandaMpira wa vikapuVoliboliNagaMagongoRiadhaSarakasi/virojaRiadhaNi jumla ya michezo ya viungo vya mwili kama kukimbia, kurukaKuna mbio za masafaMafupi-mita 100, 200, 400Kadiri-mita 800, 1500, 3000Marefu-5000, 10,000, na mbio za nyikaKuruka viunzi na majiKutupa tufe/kijisahaniKubururana kwa kambaMsamiatiTufeMzingoNusu mzingoVijitiSafu za kukimbiliaWapasua hewaKandanda/kambumbu/soka /gozi/mpira wa miguuHushirikisha timu mbiliMavazi ya wachezaji-jezi, kaptura, soksiViatu vya wachezaji-ndaruga, njumuUwanja wa michezo unaitwa uga/uchanjaaGolikipa-mlinda lango/ mdakaji/mnyakatiWachezaji wa ngome-walinzi/defenseWachezaji wa kiungoKipindi cha lala salama/cha piliKadi ya manjano/nyekunduMshindi/mshindeMcuano/kinyang’anyiro/kindumbwendumbweMapambo na maumboUwanja/uga/uchanjaa ulijaa/ulifurikaJiwe lisingeanguka ardhiniShangwe, vifijo, vigelegele na nderemo vilihinikiza hewaniNgome yao ilikuwa dhabiti mithili ya ukuta uliojengwa kwa zegeWapasua hewa walihemaNa kutwetaMithili ya mbwa aliyenusurika kumezwa na chatuKikorombwe cha mwishokilipopulizwa _____Alipiga zinga kimoCha mbuzi hadi _____Nilimvisha kanzu/kupiga tobweMpira ulianza kwa kasi ya umemeMpira uludanadana wavuniMethaliHayawi hayawi huwaHauchi hauchi unakuchaKutangulia si kufikaSubira huvuta heriMadaKINYANG’ANYIRO CHA KUKATA NA SHOKAMECHI YA KUSISIMUAKIPUTA CHA KIPEKEEMECHI YA KUKUMBUKWAKUMBUKUMBUKumbukumbu ni taarifa au rekodi zilizoandikwa na kuhifadhiwaAnayeandika ni katibu au karaniKiongozi wa mkutano huwa mwenyekiti au naibu wa mwenyekitiKumbukumbu ni maoni ya wote;hivyo basi katibu hafai kutoa hisia zake mwenyeweSehemu muhimu za kumbukumbu niMada/kichwaMahudhurioAjenda za mikutanoThibitishoMada/kichwaHuwa na jina rasmi linalotambulisha shirika, kundi, kampuniHuwa na tarehe, mahali na wakati(saa)Kichwa kindikwe kwa herufi kubwa na kupigiwa mstariMfanoKUMBUKUMBU ZA MKUTANO WA CHAMA CHA MAZINGIRA WA TAREHE 2 MEI 2010 KATIKA UKUMBI WA HOTELI YA MAJIMBO SAA MBILI ASUBUHIMahudhurioHuonyesha majina ya waliohudhuria, waliokosa kuhudhuria na waliotuma udhuru(sababu) ya kutohudhuriaHuonyesha walioalikwaMajina ya wanajopo/wanakamati/wanachama yafuate vyeoBaadhi ya vyeo ni kama vileMwenyekiti au naibu mwenye kitiKarani au naibu/katibuKatibu mwandamizi/mratibuMhazini-anayetunza mali ya shirika au kampuniAjendaHizi ni hoja muhimu zinazojadiliwa k.v kufunguliwa kwa mkutanoKusomwa kwa kumbukumbu za mkutano uliotanguliaHoja nyinginezo zitategemea nia ya mkutano au shirikaKufungwa kwa mkutano-taja anayeomba na wakatiMapamboMkutano ulifahamishwa kwamba _____Ripoti ilitolewa kuwa ______Mwenyekiti aliwaarifu/aliwajuza kuwa _____________Mkutano uliamua kwamba____________Walipatana kwamba ______________Kikao kilielezwa kuwa _____________ThibitishoSehemu hii huwa na sahihi na tareheBaada ya kumbukumbu kusomwa na kuthibitishwa katika mkutano unaofuata mwenyekiti na katibu hutia sahihiUmbo la kumbukumbuMada:herufi kubwaWaliohudhuria________________________________________Waliotuma udhuru______________________________________Wasiotuma udhuru__________________________Waalikwa ________________________Ajenda__________________________________KUMB CCM1 1/02: ______________KUMB CCM 2 1/02:_______________THIBITISHAMwenyekiti ____________(sahihi)Tarehe ______________Katibu ______________(sahihi)Tarehe ________________INSHA YA MAZUNGUMZOMazungumzo ni maongezi mahojiano au malumbano baina ya mtu na mwingine au kundi moja na jingineMazungumzo haya yanaweza kuwa Poroja/soga/domo-ni mazungumzo ya kupitisha wakatiKutafuta ujumbe maalum-hufanyika kwa njia yab mahojianoKumdadisi au kumwelekeza mtu-baina ya mtu aliye na tajriba na Yule anayetaka msaadaKila mmoja hupewa nafasi ya kuzungumzaMhusika mmoja asichukue nafasi kubwaTumia alama za uakifishaji ainatiSharti pawe na halin ya kuchachawizaVitendo viweze kuandikwa katika alama za mabanoFani za lugha zitumuke ili kuleta uhondo katika mazungumzoLazima pawe na maagano au maelewanoTangaza msimamo iwapo ni mahojianoHatuaMada/kichwaHuandikwa kwa herufi kubwa na kupigiwa ,mstariMfanoMAZUNGUMZO BAINA YA DAKTARI NA MGONJWAMaudhui-hili ni lengo au kusudi la mazungumzoMsamiati utategemea lengo la mazungumzoVitendo na ishara-haya yataandikwa katika mabano mfano: (akiketi, akilia, wakibisha, akicheka)Alama za uakifishajiKoloni( : )huandikwa baada ya jina au cheo cha mtuAlama za dukuduku ( -------------)kwamba mazungumzo yanaendeleaParandesi au mabano ()Kubana maneno ambayo hayatasemwaAlama ya hisi ( ! ) hutumiwa pamoja na viingizi kuonyesha hisiaMfano: yarabi maskini!INSHA YA MAELEZO AU WASIFUHii ni insha inayotoa maelezokuhusu jambo, mahali au kitu FulaniInsha hii hueleza, huarifu, huburudisha au hutahadharishaMwandishi asiandike chini ya hoja sitaTumia viunganishi unapounganisha mawazo katika aya au unapoaanza aya nyingineTiririsha mawazo ili pawena mtiririko na mshikamanoKatika tamati toa ushauri kwa makundi mbalimbaliMwandishi anweza kutoa msimamo wake kuhusu hoja FulaniFAIDA ZA ELIMUElimu ni taaluma au mfuo wa mafunzo yanayofundishwa katika jamii zetuElimu inazo faida anuwaiElimu huondoa ujinga akiliniMja hupata maarifa, ujuzi na hekimaMwanafunzi hutambua mambo tofautiHumakinika katika mambo ayafanyayoElimu ni bahari na pia habariAliyeelimika huweza kuishi na wengineMtu hujiheshimu na kuheshimu wengineHusaidia kudumisha amani, umoja na upendo baina ya watuKichango kuchangizanaUmoja ni nguvu utengano ni udhaifuNi daraja la kutuvusha katika umaskiniWaja hutia bidii za mchwa ili kufaulu maishaniHumwezesha mtu kuhitimu katika taaluma FulaniUhawinde hutokomea kama umande nyasini wakati wa jua la asubuhiHurahisisha mawasilianoBaina ya mtu mmoja na mwingine au baina ya mataifaHujifunza mengi kwani kuishi kwingi kuona mengiAliyesoma hutalii nchi nyingiKuhifadhi siriElimu humwezesha mja kusoma uumbe kutoka katika barua au arafa akiwa pekeeHuchangia kuwepo kwa maendeleoSerikali hujenga shule,vyuo na miundo msingi mingineyo ya elimuTaasisi mbalimbali huboresha mitaala ya ufundishajiHufanikisha utafiti, utumiaji wa teknolpjia mpya na mitambo mbalimbaliElimu ni irithiElimu ni mali ambayo haitekiNi almasi inayostahili kuchibwa na mtoto yeyote mwandilifuZamani watu waliridhi mashamba na mifugoElimu ni silaha na nguzo muhimu na madhubutiMethaliElimu ni bahariElimu ni taa, gizani huzagaaElimu ni ali ambayo adui hawezi kuitekaElimu maisha si vitabuViunganishi na mapamboIsitoshe, elimu ni ,ali ambayo adui hawezi ___________Zaidi ya hayo, humwezesha mja kuhitimu___________Hata hivyo, kuna wale wanaoitumia________________Aidha, limu hurahisisha mawasilia____________NahauTujifunge masombo/nira/kibwebwe ili _____Tujikaze kisabuni _______Tusiwe pweza wa kujipalia makaa kwa kutoelimika ____________Tujifunge masombo mithili ya _________ duduvule atoboaye gogo/mchwa ajengaye kichuguuTamatiNingependa kukunja jamvi kwa ______Ninapofikia tamatiJua linapoaga mikalatusiNinatia kitone nikitoa lulu kuwaINSHA YA MASIMULIZIMIKASAMikasa ni matukio au mambo ya kutisha yanayotokea kwa ghafal pasi ya kutarajiwaMatukio haya yanaweza kuleta maafa, masaibu na majonziMikasa hii inaweza kuwa ya moto, milipuko ya bomu, zilizala, mafuriko, ajali barabarani, mlipuko wa volkano na maporomoko ya ardhiYanayopaswa kuzingatiwa kwa masimulizi niWakati wa mkasaMahali pa tukioJinsi tukio lilivyotokeaKushiriki kwa msimuliziShughuli za uokoziMsamiati na mapamboKelele-mayowe, kamsa, usiahiMlipuko-mfyatuko, mwatuko, mshindo, ngurumoVilio-shake, kusinana, kikweukweu, kwikwikwi, mayowrMochari-makafani, ufuoni,Ving’ora vya ambulensi na makarandingaVifusi na majivu katika majengoManusura na majeruhiHuduma ya dharuraVukuto la motoHelikopta za kijeshi na shirika la msalaba mwekunduMabehewa(mabogi) yalitapakaaGari liliyumba yumba/lilipiga danadanaTaharuki na hekahekaKuuputa moto kwa matagaaCheche za moto zilitanda kama fatakiPaparazi walizuka/walitokea ghafla bin vu kama mizukaUpepo ulivuma kwa ghamidha na ghadhabuWaja walipiga mbizi ili kujinusuruGari liligeuzwa likawa ganda tuNgeu ilitapakaa na kuzagaa koteMizigon ilfyatuka na kuwalenga wapiti njiaVing’ora vilihinikiza/vilitanda/vilishamiri koteMavundevunde ya moshi yalitanda koteJoto lilisambaa na kuzagaaVilikuwa vilio si vilio, majonzi si majonzi, zogo si zogoMethaliChelewa chelewa utampata mwana si wakoAkufaaye kwa dhiki ndiye rafikiNgoja ngoja huumiza matumboMbiu ya mgambo ikilia kuna jamboUmoja ni nguvu utengano ni udhaifuJuhudi si patoVihisishi vya majuto na mshangaoLa haula la kwata !Yarabi maskini!Ole wangu!Masaalale!Lo!UasidiziWalitupiga jekiNiliwatilia upendoNiliwapa mkonoTulisaidiana kama kiko na digaliMaiti na jenezaKinu na mchiTamatiHakika, hakuna msiba usiokuwa na mwenziweDaima dawamu sitalisahautukio hiloMatukio hayo hayatafutika kutoka tafakulini mwanguNinapokumbuka kisa hicho, machozi hunitiririka njia mbilimbiliLUGHASURA YA KWANZAUfahamu:ndoto ya alinacha mufti uk 145Kuchambua picha kitabuniKuongoza kusoma ufahamu kwa ufasaha Kuorodhesha fani mbalimbali za lugha pamoja na matumizi yakeKuorodhesha misamiati na matumizi yakeTathmini 1-10 uk 147-148Sarufi:vihisishiKuelezea maana ya vihisishiHutumiwa kuonyesha hisi au hisia ya msemaji kidhihirishaFurahaMshangaoMshtukoHasiraUchunguMaumivuUchovuHurumaDharauWitoLaanaKutunga sentensi akitumia vihisishi alivyopatiwaTathmini mufti uk 148-150, kkd uk 18-19Kusikiliza na kuongea:tasfidaTamko linalomaanisha tabia njema, uadilifu, adabu na namna ya kujichukua kwa heshimaMifano ya tasfida nimaamkiziSabalkheri ____alkheriShikamoo __ marahabaCheichei ___hewaaManeno ya adabuSaidiaMjamzitoJifunguaNemsiMheshimiwaBintiBwamkubwaKuandika: inshaKurejelea insha za huzuniKuwaongoza kutafuta maudhui mbalimbaliTathmini-mseto wa maudhuiMikasaMafurikoAjaliMotoMsamiati: mawasilianoKufafanua maana ya mawasiliano, raslimali na malighafiKutaja mifano ya raslimaliMisituMilimaWanyamaporiMadiniKuangazia kuhusu umuhimu wa misituHifadhi ya wanyama poriKuvutia wataliiVyanzo vya mitoKinamasiChemichemiJangwaSURA YA PILIUfahamu:tuende na wakatiKuchambua michoro vitabuniKuwaongoza kusoma taarifa kwa ufasaha kutambua na kueleza fani mbalimbali za lugha na manenomagumuTamrini mufti uk156-159Sarufi:viunganishiNeno linalotumiwa kuunganisha neno na neno, sentensi na sentensi, wazo na wazoKutoa mifanotofauti ya viunganishiKasoro-lakini, baliKusalia kitu kimoja-ila, isipokuwaKinyume na matarajio-ingawa, ijapo, ilhaliKulinganisha kuonyesha tofautiKuongezea-aidha, mbali na, licha yaKuwaongoza kutunga sentensiTamrini mufti uk161, KKD uk 25Kusikiliza na kuongea:kukosoa sentensiKuwaongoza wanafunzi kuzisoma na kuzikosoa sentensiKuhakiki sentensi zaoTathmini mufti uk 161Kuandika:kukanushaNi kukataaKufunza ukanusho wa ;Wakati tegemeziTimilifuKi-ya mashartiKunditenziNafsio-rejeshi na –ambatathmini mufti uk 162msamiati:viumbe vya kike na kiumekinyume ni kuonyesha upande wa pili wa jambokujadili jedwali la kike na kiumemama - babaajuza – shaibushangazi – ami/amumbarika – beberumkemwenza – mwanyumbawifi – mwamumtwana – kijakazitathmini mufti uk 163 , KKD uk 135SURA YA TATUufahamu:mbuyukuwaongoza kuchambua picha vitabunikufafanua matumizi ya maneno magumukueleza fani nyingine husikakuwaongoza kusoma ufahamu kwa ufasahatamrini mufti uk 167-168sarufi:vielezi vya mkazotakriri au shadda ni maneno yanayotumiwa kutilia mkazo au kusisitiza jambomifano ya takririsalama saliminibure bilashiraha na burahakufa kuponaliwalo liwehaambiliki hasemezekifanya juu chinisi wa uji si wa majidaima dawamubuheri wa afyahakubali hakataihawashi hazimikutunga sentensi wakitumia takriritathmini mufti uk 169kusikiliza na kuongea:kutunga sentensivitate ni maneno yanayotatanishamifanoyakini – yamkinishuku – chukufahali – faharidaawa – dawazabuni – sabunibali – mbali kizazi- kisasifuka – vukafuta – vutakutunga sentensi wakitumia vitate tathmini mufti uk 169, KKD uk 146kuandika insha:furahakuwaongoza kutaja aina za insha za furahashereheharusimahafalimatokeo ya mtihanikueleza fani mbalimbaliza gurahakuwapa insha waandikemsamiati:nomino makundikueleza maana ya nomino makundikurejelea ngeli za nomino makundikorija ya miaka/mablanketisafu ya milimamsitu wa mitishehena ya mizigobiwi la simanzifunda la majitonge la ugalikikosi cha polisikikoa cha waimbajikilinge wachawikipeto – baruarobota – ngoziwingu la nzigekichala-matundatathmini mufti uk 172SURA YA NNEufahamu:roho mkononikuchambua michoro vitabunikusoma taarifa kwa sauti na kwa ufasahakueleza maneno magumu na fani nyinginezo pamoja na matumizikueleza shabaha ya ufahamutathmini mufti uk 176-177Sarufi: ngeli pamoja nakirejeshi ambaamba ni kitenzi kisaidizi kinachorejelea mtendwa au mtendaji kwa kutambulisha ama kueleza zaidi ya jambo fukanikirejeshi –o hutumika badala ya AMBAo-rejeshi na AMBA havitumiki pamojamfanokuku ambaye alitaga ni mkubwaNominoNgeliAmba-o-rejeshiKukuA – WAKI- VILI – YAU- II – ZIU – ZII – IU – UU – YAYA – YAKUPAKUMUAmbaye – ambaoAmbacho – ambavyoAmbalo – ambayoAmbao – ambayoAmbayo – ambazoAmbao – ambazoAmbayo – ambayoAmbao – ambaoAmbao – ambayoAmbayo – ambayoAmbakoAmbapoAmbakoambamoYe – oCho – vyoLo – yoO – yoYo – zoO – zoYo – yoO – oO – yoYo – yoKoPoKomotathmini mufti uk 179 KKD 151Kusikiliza na kuongea: michezo mbalimbaliKueleza madhumuni ya michezona manufaa mbalimbaliKujenga mwiliKuimarisha misuriKudhibiti afyaKuburudisha roho , macho na akiliKutaja michezo ya watotoGungwiBaoGolaKibe/kibemasaJungweBembeaKibunziMierekaMsabakaKandandaSabaranjiKwataNatikiRiadha sarakasiTathmini mufti uk 180-181Kuandika: inshaKufunza kuhusu barua ya kirafikiKueleza sharia za barua ya kirafikiAnwani moja ya mwandishiTareheMtajoHitimishoMsamiati: visaweManeno yenye maana sawaMifanoMvulana, barobaroGhadhabu, hasiraDaawa, kesiNikaha, harusiGombo, ukurasa, sahifaNderemo , shangweUkongo, ndwele, maradhiTamrini mufti uk 183SURA YA TANOUfahamu: mikasaKuchambua picha vitabuniKusoma taarifa kwa sautiKuchambua maneno magumu na fani nyinginezoKueleza dhamira ya taarifaTathmini mufti uk 186Sarufi:usemi halisi na taarifaUsemi halisi ni manenoyalivyotarajiwa na msemaji mwenyeweUsemi taarifa ni ripoti au maelezo yakitolewa na mtu mwengine kutoka kwa msemaji halisiKueleza jinsi ya kubadilisha usemiUsemi halisi usemi taarifa leosiku hiyoJanasiku iliyopita/tanguliaKeshosiku ijayoViashiria hapa hapo au paleVimilikishi vya karibuakeMbali kidogo-akoNafsi ya kwanza –ninafsi ya tatuWakati ta, ki ngeTathmini mufti uk 188Kusikiliza na kuongea:kirejeshi –ambaKirejeshi –o cha awali na kirejessho o- cha tamatiKufafanua jinsi ya kuambisha o rejeshi tamati na awalio-rejeshi awalihutokea kabla ya mzizi wa kitenzi –o- rejeshi tamati hutokea mwishoni mwa sentensiKitenzio-rejeshi awalio- rejeshi tamatiKimbiaKulaKuwaKuaAnayekimbiaAnayekulaAnayekuwaAnayekuaAkimbiayeAlayeAwayeakuwayeMsamiati: matunda na mimeaKujadili kuhusu matunda na mimeaTunda mimeaFenesi mfenesiBalungI mbalungiChungwa mchungwaUkwanju mkwajuTofaa mtofaaMgomba ndiziMpunga mcheleTamrini mufti uk 195, KKD uk 113Kusoma: hisa na batiKuchambua michoro kitabuniKusoma taarifa kwa ufasahaKueleza maana ya maneno magumuTathmini mufti uk 215-217Sarufi: matumizi ya –ndiKiainishi –ndi ni kishirikishi cha kukubali kwa msisitizoHuambatanishwa na viwakilishi nafsi au virejeshi ili kutilia mkazoHutumia o-rejeshi kwenye vitenziNafsiNdi+ mimi __________ndimiNdi+ wewe__________ndiweNdi + yeye __________ndiyeNdi+si______________ndisiNdi+ nyinyi__________ndinyiNdi + wao__________ndioo- rejeshindi + ye_________ndiyendi + o__________ndiotathmini mufti uk 218-219Kusikiliza na kuongea:mafumbofumbo huchemsha bongopia huburudishakueleza jinsi ya kuwasilisha fumbo tathmini mufti uk 219-220kuandika:sentensi za kinyumeunyume ni upande wa pili wa jambokutunga sentensi kuonyesha kinyumekueleza maana ya misemokueleza maana ya misemo inayoanza na –tiaMufti uk 220Msamiati: vitaweVitawe ni maneno yenye maana zaidi ya mojaKutoa mifano mufti uk 220SURA YA SITAUfahamu: kuishi ni kuishaKuchambua picha vitabuniKusoma taarifa kwa ufasahaKueleza maana ya matumizi ya manenomagumuKutungia maneno magumu sentensiMufti uk 224-226Sarufi: matumizi ya –sini kiainishi cha kutilia mkazoHuambatanishwaNa viwakilishi nafsi au virejeshi ili kuleta msisitizo wa kukanushaNafsiSi + mimi___________simiSi + wewe__________siweSi + yeye____________siyeSi + sisi ____________sisieSi + wao_____________sioo- RejeshiA –WA si + yeye_______siye si-o______sioKI – VI si + cho _______sicho si+ vyo _____sivyoKuchambua jedwaliMufti uk 228Kusikiliza na kuongea:taarifaKusoma kwa taarifa kwa ufasahaKuchambua picha vitabuniKueleza dhamira ya taarifa ileKueleza na kuzichambua fani FulaniKuandika: misemoKueleza maana ya misemo namatumiziKutunga sentensi ukitumia misemoMifanoKuvunja ungoKujifunga kibwebwePiga alinachaEnda nguuEnd na elelengomaPata afueniEnda shotiTia makaliPasua mbarikaKufa ganziKufa na kupona Piga mbiziPamba motoKufa moyoTia fitinaPata jikoHana budiMkono birikaFua dafuNomino makundi (msamiati)/nomino jamiiKutolea mifanoThurea au kilimia nyotaKichala-matundaBunda- notiKigaro – askariJopo – waandishiBumba- nyuki, majani, chaiGenge – wezi, wafanyakaziHalmashauri – shuleBiwi – taka, simanziAsumini-mauaTano-chokaaMshumbi-waliTathmini mufti uk 231SURA YA SABAUfahamu: mhangaKusoma taarifa ipasavyoKuchambua picha kitabuniKueleza maana na matumizi ya maneno magumuKutunga sentensi kwa kutumia maneno magumuMufti uk 234-235Sarufi: matumizi ‘na’Kiunganishi NA huambatanishwa na kiwakilishi nafsi kuonyesha PIA NA PAMOJA NA Hutumiwa pamoja na 0-rejeshiNafsiNgeli Na + o- rejeshi A – WA na+ye—naye________naoKI –VIna + cho—nacho_____navyoLI –YA na + lo—nalo______nayoU – Ina + o—nao__________nayoU – ZI na + o—nao_________nazoI – I na+ yo—nayo_________nayoU – U na + o—nao________naoU – YA na+o—nao________nayoYA – YA na +yo—nayo______nayoI – ZI na + yo—nayo________nazoKU na+ko—nako_________nakoPAKUMU na+po na+ko na+moTathmini mufti 237-238Kusikiliza na kuongea: misemo na nahauNahau ni fungu la maneno ambayo yakipangwa huleta maana isiyoonekana wazi mpaka ifafanuliweMifanoMkono mrefuPata jikoKuna kichwaChanda na peteChezea shereTia kiwiKumpa mkonoJimbi la kwanzaMkono wa tahaniaKuwa mafuuPonda wa fisiTathmini uk 238-239Msamiati: akisamiNi sehemu ya kituMifano1/2 - nusu1/3 –thuluthi? -robo1/5 –humusi1/6 – sudusi1/7 – subui1/8 – thumni1/9 – tusui1/10 – ushuriTathmini mufti uk 239SURA YA NANEUfahamu: barua ya kazamoyoKueleza vigezo vya barua ya kirafikiKusoma taarifa kwa sautiKubaini msamiati kwa sauti vilivyoKueleza fani nyinginezo zinazotumika katika barua ya kirafikiMufti uk 243-245Sarufi:A-unganifuKijineno kinachotokana na kuambatanisha A na herufi tofauti kwa kutegemea ngeliJedwaliNgeli A-unganifuA – WA wa - waKI – VI cha - vyaLI – YA la - yaU – I wa - yaU – ZI wa- zaI – I ya - yaU – U wa - waU – YA wa - yaYA – YA ya - yaI – ZI ya - ziKU kwa - kwaPAKUMU pa – pa , kwa – kwa, mwa - mwaTamrithi mufti uk 246Kusikiliza na kuongea: methaliMethali ni utungo wa kisanii wenye maana ficheKueleza hatua ya kufafanua methaliMaana ya juuMaana ya ndaniMatumiziKueleza maana ya methali pamoja na matumiziMufti uk 246-248Kuandika: shairiShairi ni utungo wa kisanii wenye mahadhiMambo ya kuzingatiaAina za mashairiTathminaTathniaTathlithaTarbiaTakhmisaTasdisaUtenziNgonjeraNyingineVinaMizaniMleoKibwagizo/kipokeo/kiitikioMalengaManjuUkwapiUtaoMwandamiziMshororoUbetiMlotoMsamiati: teknolojiaKutaja vitu vinavyohusu teknolojiaKueleza faida na madhara ya teknolojiaMifanoTarakilishiRununuMtandaoTovutiruningaArafaKipepesiBaruamemeKambaruaWinchiKiyoyoziPangaboiMawimbiTathmini uk 250SURA YA TISAUfahamu: ujambazi utakomaKuchambua picha kitabuniKusoma taarifa kwa sautiKueleza matumizi na maana ya maneno magumuKutunga sentensi kwa kutumia maneno magumuMufti uk 253-254Sarufi: vieleziNeno linaloeleza jinsi kitendo kilivyotendeka au kufafanua zaidi kuhusu kitendoAina za vieleziWakatiNamnaJinsiMahaliIdadiVuhusishiTanakaliTakririTashbihiHutumika kwaLini- wakatiWapi – mahali Vipi – jinsi au namnaKiasi gani- idadiMifanoWakati mahali namnaLeo nyumbani taratibuKesho darasani harakaharakaJuma ijayo Nairobi ghaflaMtondogoo machoni kivivuTathmini mufti uk 258Kusikiliza na kuongea: sentensi zenye taksiriKueleza maana ya taksiriAsome sentensi alizokosea mwenyeweMufti uk 259Kuandika: mkato wa manenoHuhusu nomino pamoja na vimilikishi vyote vitatuMifanoBaba + yake_____babakeDada + yake _____dadakeNyanya + yenu ____nyanyenuShangazi + yake _____shangaziyeKaka + yako _______kakakoMjomba + yake _______mjombakeTathmini mufti uk 260 Msamiati: maana ya misemoMisemo ni maneno yenya maana ficheMifanoLaza damu –zembeaUma kidole – jutaKuna kichwa – fikiliaPiga jeki – saidia Jitolea mhanga –jibidiishaKiguu na njia – tembeaKubali shingo upande – bila ya hiariKonga raho – kata kiuMufti uk 260SURA YA KUMIUfahamu: uwanda wa teknolojiaKuchambua picha kitabuniKueleza maana na matumizi ya misamiati kama ilivyotumiwaKueleza lengo la handithiMufti uk 264Sarufi: matumizi ya ‘katika’, ‘ni’ , ‘kwenye’Hivi ni vihusishi vya mahaliHutumiwa kuonyesha kuwapo kwa kitu kilichotajwa mahali FulaniNgeli hubadilika hadi PA KU MU Kuhimiza kuwa ni kosa kutumia hivi vihusishi pamojaKuambatanisha nomino na vivumishiVivumishiDarasadarasaniViashiriaVimilikishiOte OoteEnyeweEnyeIngineSifaHili, hilo, lileLangu, lako, lakeLoteLoloteLenyeweLenyeJingineZuri, jema, bayaEupe, eusiHalinaHapa, hapo, palePangu, pako, pakePote, kote, motePopote, kokote, momotePenyewe, kwenyewe, mwenyewePenye, kwenye, mwenyePengine, kwingine, mwinginePazuri, kuzuri, mzuriPeusi, kweusi, mweusiHapana, hakuna, hamnaTathmini mufti uk 266Kusikiliza na kuongea: salamu na maakiziKuelezea kuhusu maamkizi na salamuMaamkizi majibuMasalkheri alkheriSabalkheri aheriHujambo sijamboWaambaje sina la kuambaMakiwa tunayoSalaam aleikum aleikum salaamMaagano majibuAlamski binuruUsiku mwaka wa burahaNdoto njema za mafanikioLala unono jaalaBuriani dawa Mufti uk 267Kuandika: vitaweNi maneno yenya maana zaidi ya mojaWatunge sentensi ili kuonyesha tofautiMifanoKitaluHemaVuaShukaKataKitaraKipusaPasiKangaMlangoPaaChumaPandaPajiMotoRandaOtaKaa Msamiati: misemoEleza maana ya misemoAndika misemo iliyoanzia kwa ‘shika’Ufahamu:unonoKuchambua picha kwa kitabuKusoma taarifa kwa ufasahaKueleza maana ya maneno magumuKutunga sentensi kwa kutumia maneno magumuMufti uk 272-273Sarufi:viuliziManeno yanayotumiwa kuuliza maswaliMifanoNani: hutumika katika ngeli ya A – WA kujua cheo, jina , ukoo wa watuNini: kujua ni kitu cha aina ganiHutumika katika ngeli zote isipokuwa ya A - WAGani:kujua aina , jamii, hali au tabiaLini: kiulizi cha siku au wakatiHutumiwa kutaka kujua kipindi, siku au wakati wa tukioWapi:ni kiulizi cha mahaliVipi:kiulizi cha namna ganiJe ni neno la kuanzisha swaliNgapi:kuuliza idadi kamili ya vitu , vyombo katika jumlaPi: kubainisha kati ya nyingi ili kupata kihusika au mhusika Fulani mahususi mufti uk 276Kusikiliza na kuongea: sauti zenye matumizi mbalimbali ya kiambishi kikueleza matumizi ya kiambishi kimashartiwakati endelezingelikielezi namnalugha udogokiwakilishitathmini mufti uk 276-277Kuandika: sentensi zenye vivumishi sahiivivumishi ni maneno yanayotumiwa kuelezea zaidi kuhusu nominoaina za vivumishiA -UnganifuSifaPekeeViuliziIdadiVimilikishiViashiriaMsamiati: madiniVito ni madini ya thamaniMfanoDhahabuFeruziAlmasiLuluKuelezea kunapopatikana madini mengineShabaUlangaYakutiJohariFedhaChumaRisasiChokaaFelejiMataleAsbertoMufti uk 278SURA YA KUMI NA MOJAUfahamu: karamu ya risasiKuchambua mchoro kitabuniKusoma taarifa ipasavyoKueleza maana ya matumizi ya maneno magumuMufti uk 283-284Sarufi: mnyambuliko wa vitenziKunyambua ni kurefusha mwisho wa vitenzi katika hali tofautiTendekaTendeshaTendeshwaKatika kauli ya kutendeka vitenzi humalizika kwa ‘ka’Kitenzi kauli ya kutendekaVuka vukikaSahau sahaulikaMaliza malizikaBomoa bomoka Kula kulikaLala lalikaLima limikaPika pikikaSoma somekaFagia fagilikaTathmini mufti uk 285-286Kitenzi tendesha kauli ya kutendeshwaLala laza lazwaPika pikisha pikishwaKimbia kimbiza kimbizwaRudi rudisha rudishwaToa toza tozwaOta otesha oteshwaOa oza ozwaSoma somesha someshwaTamrini mufti 287Kusikiliza na kuongea: sentensi za vitaweManeno yenye maana zaidi ya mojaMifanoJuaMezaMbuziKuchaMtoKaaMoriGandaRandaMlangoChuraKaro PaaMufti uk 289-290Kuandika: sentensiKusoma sentensi na kuzikosoaKusanifisha maneno kama vile Momonyoko- mmomonyokoArthi- ardhiNjozi mbili – jozi mbiliIlituishi – ili tuishiMufti uk 290Msamiati: wizara mbalimbaliWizara ni idara kuuya serikali inayosimamiana kushughulikia maswala au mambo ya nchi au ya kitaifa kwa kuongozwa na waziriwizara ya fedhawizara ya mambo za nchi za kigeniwizara ya afya wizara ya ugatuziwizara yahabari na mawasilianowizara ya ardhiwizara ya biashara na viwandawizara ya nishatiwizara ya kilimo wizara ya barabara, ujenzi na uchukuziwizara ya utaliiwizara ya majiwizara ya mazingiramufti uk 291-292SURA YA KUMI NA MBILIufahamu: magazeti na majaridakusoma magazeti na majarida yanayohusumaswala ya uongozimambo ya uchumi na maendeleomichexo na burudanimaisha ya jamii na maadili haki za watotoutunzaji wa mazingiraMufti uk 295Sarufi: ukubwa na udogoManeno katika hali ya ukubwa huwa ni kukipa kitu ukubwa usio wa kawaida na pia maneno katika hali ya udogo ni kukidunisha kitu kuliko hali ya kawaidaNgeli pia hubadilika katika hali ya ukubwa na kuwa LI- YA ,na katika hali ya udogo huwa KI – VINjia tofauti za kubadili maneno katika ukubwa na udogo noKudodosha – mw, ny na kutia jMfanong’ombe – gombeMkono – konoNdama – damaKudodosha herufi moja na kutia jiMfanoMji – jijiKudodosha ki na kutia jiMfanoKisu – jisuKuongeza ji bila kudodoa chochoteMfanoJicho – jijichoKutia j kwa nomino zinazoanza kwa irabuMfanouso – jusoUta – jutaMsamiati: ukoo/mlango/akraba/ahaliNi uhusiano wa kinasaba, kiala au kiduguMfanoMwanyumbaWifiMkemwenzaMkoiBinamu/bintiamuMwamuBavyaaMavyaaMpwaKilembwemlungiziMjomba/hauMkaza mjombaShangazi/amati/mbiombaBamkweMamkweKivyereMjukuuKitukuuKilembwekezamnunatathmini mufti uk 301 , KDD 9INSHAMUHULA WA PILIINSHA ZA MASIMULIZI: HUZUNIInsha humhitaji kuelezea kisa kinachoonyesha huzuni na wogaInsha nyingi huhusu mikasa au masaibu kwa watuVisawe vya mikasa ni balaa, janga , balaa, baa, visangaMikasa yote hutokea kama ajaliZilizalaAjali barabarani au anganiMlipuko wa bomuUkameMaporomoko ya ardhiMotoUgaidiYanayozingatiwaMahali pa mkasa Jinsi tukio lilivyotukiaKushiriki kwakoUchunguzi na matokeoTanbihi : mahali pa tukio – hotelini , mwituni, ofisini, kituo cha mafuta, kiwandani, shuleni, dukakuu, barabarani, ufuoni mwa bahari, chumba cha maabaraMapamboMlipuko – mfyatuko, mwatuko, mngurumo, Ulikuwa mlipuko wa kuatua moyo/mtimaKushtuaKuogofyaKutishaUlikuwa mlipuko wa jiko la gesi/umeme/gari/bomba la mafutaKelele: usiahi, unyonge, kamsa, ukwezi, mayowe, ukwenjeVilio vya –kusinasina, cha shake, kikweukweuKwikwikwiIwapo ni bomu, moto, ajali ya ndegeMoto ulirindima na kutatarisha majengoMabiwi/mashungi ya motoMavunde/mawingu ya moshi yalitanda koteVukuto la moto liliongezeka badala ya upepo kuvuma kwa hasira/ghamidha/hamaki/ghadhabuNilijitoma ndani ya nyumba kuwanusuruNahodha hodari haogopi motoKwa muda wa bana banua sehemu ile ikawa kama tanuri/joko/jehanamuJingo hilo liligeuzwa na kuwa majivuMoto/nari ilifakamia majengo kama nzige wavamiavyo shamba la mihigoMuda si muda, muda kiduchu, kutia na kutoa, fumbo fumbua,bana banua, kuku kumezaPunje paka kunawia mate, punda kunawia mavumbi, Wengine walichomeka kiasi cha kutotambulikaVilio vilinywea na sauti kuwapweleaTulipirikana na kupitana katika juhudi/hekaheka/pilikapilika za kuuputa moto kuwaokoa wahasiriwaHuzuniMikasa kwa jumlaMilio ya ving’ora vya makaradinga ya polisi, ambulensi, magari ya zima moto ______tanda/tamalaki/tawala angaManusura/mahututi/majeruhi walipelekwa hospitalini/zahanatiniWalipewa hudum ya kwanza/ya dharuraWafu walipelekwa mochari/ufuoni/makafariPaparazi walizuka kama mizuka na kupeperusha picha sawia na matukioWanahabari walitangaza matukio ya mkasa redioni/runingani/magazetiniWengine walisali/walipiga dua zisizoelewekaKwa nyota ya jaha/bahati ya mtende/kwa sudi ___wasamaria wema____msalaba mwekundu__wanajeshi____zimamoto____wakasaidia kuokoaBasi lilipiga danadana na kuanguka bondeni ziwani/bahariniTulifanya wanguwangu/himahima/chapu chapu/yosa yosa/ hala hala/mwendo wa arubiliBila shaka tukio hilo halitafutika moyoni/sitalisahau daima dawamuNiltamani ardi inimeze mzima mzimaNilitamani kulia nikacheka nikaliaMachozi yaligomaMethaliNgoja ngoja huumiza matumboChelewa chelewa utampata mwana si wakoFimbo ya mbali haiui nyokaHeri jirani wa karibu kuliko ndugu wa mbaliAkufaaye kwa dhiki ndiye rafikiMbiu ya mgambo ikilia kuna jamboMja hakatai wito hukataa aitiwaloAjali haina kinga wala kafaraTahadhari kabla ya hatariNahodha hodari haogopi motoBARUA RASMIPia huitwa barua ya kiofisiHuandikwa kuhusu jambo rasmiHuandikwa iliKuomba nafasi ya kaziKuomba nafasi za masomo shuleni au chuoniMaombi ya msaada kutoka kwa serikaliKuomba msamaha au radhiMalalamishi kuhusu jambo FulaniBarua rasmi ina sehemu zufuatazoAnwaniAnwani mbili – ya mwandishi na ya mwandikiwaAnwani ya mwandishi huandikwa tareheKianzioSehemu hii huandikwa bwana (BW) au bibi (BI), Mkurugenzi mkuuu, mwalimu mkuuMtajoNi kichwa cha barua ambacho huashiria lengo au madhumuni kwa ufupiKumbukumbu – KUMBMintarafu – MINTKusudi – KUSKuhusu – KUHYahusu – YAHKichwa cha barua rasmi hupigiwa mstariMwiliHuelezea zaidi kuhusu kusudi ya barua na lengo hasa kuandika baruaMtahiniwa huhitajika kuelezea kuhusuElimu yakeWasifukwani haambatanishi stakabadhi zozote zileTanbihiInsha yoyote ile lazima itimize ukurasa na nusuTamati/mwishoHumalizwa kwa Wako mwaminifuSahihiJinaMtindo wa barua rasmi SHULE YA MSINGI YA LIZAR, S.L.P 93, NAIVASHA, NOVEMBA 18, 2015.MWALIMU MKUU,SHULE YA UPILI YA ALLIANCE,S.L.P 2003,KIKUYU. Kwa Bwana/Bi – kianzomtajo-MINT: NAFASI YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA mwlili hitimisho – wako mwaminifu sahihi jinaMsamiatiNina furaha kukuandikia _____Ninasikitika ninapokuandikia waraka ________Ningependa kuchukua fursa hii ______Kwa mujibu wa ilani ___katika gazeti, runinga, mabangoShule yako imetajwa na kutajika katika ____michezo, elimu, bidhaa boraShirika/kampuni imeipa kipaombela swala la_________Nina nidhamu na taadhima ya hali ya juuVyeti vyangu pamoja na wasifu vimeambatanishwa na warakaNitakuwa kielelezo dhabiti kwa wenzanguNina talanta katika fani ya riadha ____Ni matumaini yangu kuwa utaupokea waraka huu ____BARUA YA KIRAFIKI/KIDUGUHuhusu kupatiana mwaliko, kujuliana hali, kufahamisha au kuarifu kuhusu jamboSehemu muhimu za barua hii niAnwani ya mwandishiHuandikwa pembeni kabisa upande wa kulia sehemu ya juuHuwa na jina la mwandishi , mahali anakoishi, sanduku laposta na tareheKianzioHudhihirisha Yule anayeandikiwaHubainisha uhusiano wake na mwandishiMfanoKwa mpendwa ______Kwa mwanangu mpendwa __________Kwa mpenzi wangu _____________Kwa sahibu/muhibu __________UtanguliziHaya ni maamkizi kwa yule anayeandikiwaMfanoPokea salamu – sufufu, furifuri, tolatolaNyingi kama nyota angani, mchangaMimi ni bugeri wa afyaMzima kama chuma cha pua / ngarange za mvuleNina buraha na furaha/furaha na bashashaNina imana kuwa Mola/Mkawini/JalaliNina matumaini kama tai kuwa u buheri wa afya/siha/zihi.raiMethaliAma kweli/yakini/waamaWaraka ni nusu ya kuonanaAfya ni bora kuliko maliMwiliSehemu – hii hubeba ujumbe wa mwandishiWema – ninaomba unitendee fadhila/jamalaNinashukuru kwa wema ulionitendeaUtiifu – ninakuhakikishia kwamba nitakuwa na utiifu, nidhamu na bidiiLengo au azma ya kukuandikia waraka huu niWaraka huu ni kukujulisha kuwa Ningependa kukujuza kuwaTamatiNingependa kutia nanga kwa kukuelezea kuwa __________Kwa kuwa wasaa umenitia kumbu/mudaUmenipa kisogo, ningependa kutia kitoneNinakunja jamvi kwa msemo usemao _________Kalamu yangu inalilia wino __________Ndimi mzazi wako ___________Wako wa moyoni ___________ni wako mpendwa____________Ndimi mwana wako mpendwa ___________Sampuli BIDII FAULU,S.L.P 93, NAIVASHA. 18-11-2015Kwa sahibu yangu, fundi msanifu ,Utangulizi_____________________________________MwiliHatima Ni mimi wako, Jina la mwandishiINSHA ZA MASIMULIZI – FURAHAFuraha inaweza kutokana na matukio mbalimbali kama vileSherehe –harusiSiku ya kuzaliwaMahafaliSiku kuu ya krismasiKwenda ughaibuniMatokeo mazuri ya mtihaniMadaSiku ya sikuAkidi ya kufanaSherehe ya kukata na shokaSiku ya ndovu kumla mwanaweShamrashamra za ______Msamiati na mapamboMaua ya kila nui/ainati – asmini ,mawaridi afu, nangisiUkumbi wa mahema , jumba kubwa ,uwanjaVipasa sauti/mikrofoni –vilihinikiza /sheheniMuziki wa kuongoa ongoa ulitamalaki katika angaVyakula – mapochopocho/maakuli yaliyotishia kuangusha mezaVinywaji vya kila jamii yalipenyeza kisirisiriMkalimani/mtarijumani alitafsiri haya yoteKiume – mtanashatiKike – mlibwede, spoti , mrembo kama mbegaBinti alikuwa mrembo mithili ya hurulaini aliyeasi/toka peponiAlitembea kwa mwendo wa dalji/mwendo wa twiga wa savannaMwanaume mrefu njorinjori /mrefu kama unju/weusi kama kanikiUdohoudoho , chipsi, bisi, kripsiWaja walisakata rumba/dansi/tibwirika kwa miondokoMsafara /mlolongo wa mashangingiWalikula kiapo/yamini/vishana pete huku shangweWalipigana pambajaPofushwa na vimulimuli vya wapiga pichaWaja walijaa furifuriIlikuwa dhahiri shahiri kuwa ningefua dafuNilidamka wanguwangu kwa kuubwaga mgolole wangu na kuanza hamsini zanguKuche kusiche hatimaye kulikuchaAmka bukrata kicheaNiliamka asubuhi ya MunguWaja walisalimiana kwa furaha na farahaniFuraha sufufu ilinitinga si kidogoVyakula vya kunoga na kuhomolewa viliandaliwa na wapishi wajuziVicheko vilipamba moto jari mojaWatu walichangamka na kukaramka kwa bashashaNilivalia meli zangu mpya zilizometameta kama mbalamweziUtamu wa malaji ungemfanya mtu kuramba viwiko vya mkonoMethaliHauchi hauchi huwaHayawi hayawi huwaSiku njema huonekana asubuhiBaada ya dhiki, farajaMtu ni watuMgaagaa na upwa hali wali mkavuTashbihiShirikiana kama kinu na mchi, kiko na digali, soksi na kiatuLazima kama ibadaKawaida kama shariaBidii kama mchwa ajengaye kichuguu/kishirazi/kidurusiBidii za msumeno ukerezao mbaoBidii ni duduvule agatoye gogo la mtiINSHA ZA MJADALA – TEKNOLOJIAHuhusu mazungumzo juu ya mada FulaniMfano:Maisha ya mashambani ni bora kuliko y mjiniTeknolojia ina madhara mengi kuliko faidaHuhitaji mtahiniwa kuunga mkono hoja moja na kasha kuipinga katika aya inayofuata au kuunga mkono na baadaye kuzipinga hoja zakeInsha hii huwa na MadaUtanguliziMwiliTamatiMada huandikwa kwa herufi kubwa kulingana na swaliUtangulizi huhusu kufafanua mada na kutolea mifanoMwili huhitaji kufafanuliwa kwa hojaKila hoja iwe katika aya yakeHitimisho mtahiniwa huhitajikakutoa changamoto au ushauriInsha hizi hutumia viunganishi vya kuongezeaLicha yaAidhaFauka yaZaidi yaPia IsitosheMbali naHali kadhalikaTEKNOLOJIAMaarifa ya kisayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vyombo, vifaa na mitambo ya aina mbalimbaliTeknolojia hutumika katikaMitamboZanaVyombo vya usafiriKilimoUfundiNjia za mawasilianoUmuhimu wa teknolojiaUtafiti wa kisayansiKurahisisha kaziElimuKilimo na ufugajiMichezo na mashindanoBiasharaUsafiriMawasilianoUsalamaUsafi wa mazingira na afya ya mwiliMawasilianoVyombo vya mawasiliano kama tarakilishi, redio , televisheni na redio hutumikaHutupasha habariHutuepusha na maafaKuelimishaMethaliKipya kinyemi ingawa kindondaKiingiacho mjini si halaliUtafitiWataalamu wamegundua dawa za ndweleMashine/mitambo ya kurahisisha kaziMambo ya kuchunguza hali za angaDawa za kuzuia mimbaUkiona vyaelea jua vimeundwaElimuVyombo na vifaa vingi hutumiwa shuleni Matumizi ya mtandaoKanda za videoMethaliElimu ni bahariElimu ni taa gizaniMali bila daftari hupotea bila habariUsalamaZana za vita hutumiwa kutulinda dhidi ya maaduiDonge nono pia hupatikana baada ya kuuza vbifaaMethali – tahadhari kabla ya hatariKilimo na ufugajiPembejeo- mbegu, mbolea, dawaMashine za kulimia na kupulizia dawaGhala za kuhifadhi mazaoMethali – tembe na tembe huwa mkateUsafiriVyombo vya majini, nchi kavu, anganiHuenda kwa kasiHuokoa wakatiMethali – ngoja ngoja huumiza matumboMadhara ya teknolojiaHuleta maradhiHuleta maafaMmonyonyoko wa adabu/maadiliHuleta uzembe kwa wanafunziPunguza nafasi za kaziKuiga tabia mbovu kwa vijanaVitaMETHALI ZA KUTOHADAIKAChanzo cha matatizoAlipovunja ungo/balegheAlipovuka kizingiti cha lango la shule, chuo kikuu ______ maisha yake yaliingia ufaAlopowachagua marafiki vichwa maji/nyamafu ______Alianza kujipalia makaa kama chachandu pwezaMambo yalianza kumwendea tenge/shote/shoro/mvange/msobe msobe/upogo upogoKufilisika – hana be wala te , hana kazi wala bazi/hana hanani, fukara fukarikeKushikwa – kuhaha na kugwaya, kutweta na kuhema, pumzi juu juuAlitamani dunia ipasuke na kummeza mzima mzimaKamasi ilimtonatona puani kama matone ya mvuaAlinaswa/tiwa vituku/pingu/lishwa kalendaAibu – shikwa na haya/soniIva usoVunja usoKichwa kifuani kama kondooTeseka – alikula mumbi/mavi/kwataAlifunzwa na ulimwengu usiokuwa na hurumaKitumbua kiliingia mchangaAlitekwa bakunja/pubazwa na ____Urembo/fedha/sura/jamaliVipokezi vya methaliYakini_____Taibu_____Ama kweli_____Chambilecho wahenga______Wahenga na wahenguzi______________Nakubaliana na wazee wa kale__________ULANGUZI WA DAWA ZA KULEVYAUtekaji nyaraMapamboUzuri wa siku/mtu – siku ilikuchja vizuri/upepo mwananUmande ulimeremeta metumetu kama nyota anganiNdege walikorokocha na kughani lahani nzuriNwele zake za nyufa., kiuno cha nyigu, meno ya mchele, pangika kama luluSauti nyororo kama ya ninga/mwewe/kinanda/hurulaini wa peponiMwendo wa dalji/twiga wa savannaKutosikia nasahaJuhudi zangu za kumwonya/kumnasihi _____Ziligonga mwaba/paramia mwamba/ambulia pang’anda/tupwa kapuniUdekezaji – alimwengaenga/alimlea kwa tunu na tamashaKumwasa motto kulikuwa jambo tukizi/nadra/dimuAkawa haskii la mwadhini wala la mteka maji msikitiniAkatia maskio komango/nta/pambaKuwa sikio la kufa lisilosikia dawa/cha kuvunja ambacho hakina rubaniMETHALI ZINAZOONYA KUHUSU TAMAA NA UZURI WA NJETamaaHamu kubwa ya kupata kitu, jambo, au hali FulaniVisawe – uchu, ashiki, shauku, hamu, ari, nia, hanjamu, nyege, ukware, ghaidhi, raghbaMethali za tamaaTamaa mbele mauti nyumaMkamia maji hayanywi, akiyanywa humsakama kooMwenye pupa hadiriki kula tamuMpanda farasi wawili hupasuka msaba/mwarandanjia mbili zilimshinda fisiMwangata mbili moja humponyokaMchovya asli hachovyi mara mojaMtaka yote huksa yoteUsiache mbachao kwa msala upitiapomethali za uzuri wa nje Uzuri wa mkakasi ndanikipande cha mtiSihadaike na rangi tamu ya chai ni sukariNyumba nzuri si mlango, ingia ndaniKikulacho ki nguoni mwakoIbilisi wa mtu ni mtuUzuri wa kuya ndani mabuuVyote viowevu si majiMaudhuiMarafiki hadaa – ndumakuwili/mzandikiKutoaminiana katika ndoaAhadi za uongo – mchezo wa karataUrembo ambao ni handaaINSHA YA HOTUBAHotuba nin maelezo yanayotolewa ili kupitisha ujumbe FulaniAnayetoa hotuba huitwa katibuUmati unaosikiliza huitwa hadhiraHuanza kwa mlahaka/salamu kwa kutambua vyeo kuanzia wa juu mpaka wa chini , sababu ya mkutanoAlama za kunukuu hutumiwaHotuba inaweza kuwa yaMwanafunzi akihutubia shuleniMwalimuMwalimu mkuuu wa wazazi shuleniDaktari au afisa wa afyaRais wakati wa maadhimisho ya mashujaaWazirin wa usala, afya na ugatuziMfano wa utangulizi“mgeni wa heshima, mkuu wa elimu gatuzini, mkaguzi wa elimu, mwenyekiti na maafisa wa elimu na wanafunzi, hamjambo?‘Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wenzangu, viranja na wanafunzi, sabalkheri?Mapamboninazo bashasha/furaha/burahaNimesimama kidete/tisti/imara kama chumaCha pua/ngarange za mvule/kiini cha mpingoNitawandondolea hoja zangukuanzia utando hadi ukoko,shinani hadi kileleniRejelea hadhira mara kwa mara – nanyi, enyi wazazi, nasi wanafunziTamatiNingependa kutia kitone/nanga/kukunja jamvi kwa msemo usemao _____Ninawamiminia shukrani tolatola/fokofokoKwa kutulia kama maji mtungini/maziwa kitomaniKwa kuwa lililo na mwanzo halina budi kuwa na mwishoNinawatakia Baraka njema za Mualana/ninawatakia mbawazi za mkawini mbinguDAWA ZA KULEVYANi kitu chochote kinachoathiri fahamu za mwili na afya ya mjaMifanoKokeiniMandraksiBangiGanjaMiraa au mirungiTumbakoAthari za dawa za kulevyaKuvuruga akiliMtumiaji hugeuka na kuwa mkia wa mbuzi/juha/kaluluKupata ujasira bandiaMja huwa katiliHujiingiza katika visanga kama wiziHudhuru afyaMhasiriwa kama ng’onda/kimbaumbau mwiko wa pilauSura huumbuka na kusawijikaHusababisha sarataniKuenea kwa magonjwa ya zinaaMethali Kinga ni bora kuliko tibaTahadhari kabla ya hatariutovu wa nidhamuwatumiaji husheheni matusihutabawali kadamnasikuvalia mavazi mafupimethalimwacha mila ni mtumwausiache mbachao kwa msala upitaokuzorota kwa uchumimtu binafsi hutumia njenje zotewatoto hawatimiziwi mahitajifilisha mja- akabaki hana mbele wala nyumauchumi wan chi huzorotabaada ya kutumia pesa kuwatibu wahasiriwahusababisha uraibuhuleta wizihusababisha uzembemadereva kusababisha ajalikupata magonjwaDARASA LA SABALUGHA: MUHULA WA KWANZAUfahamu: sauti ya ukimwiKuchambua picha kwenye ufahamuKusoma ufahamu kwa kutumia mbinu ainatiKuchambua maudhui Kutambua na kujadili misamiati kwenye ufahamuKueleza maana ya misamiatiKutunga sentensi kwa kutumia misamiatiSarufi: matumizi ya ‘kwa”Ni kiambishi ambacho hutumika kuleta dhana mbalimbaliKwa inafaa itumike ipasavyoUsitumie kwa kama kihusishi cha mahali kama vile kwa dukaMifanoKKD UK 80-82MUFTI UK 98-100KURUNZI UK 134Kusikiliza na kuongea: nyimboNi mbinu ya kuyapanga maneno ili yawe na sauti ya urariNyimbo huwa na nasaha, ujumbe, wazo au mafunzo FulaniNyimbo zisipotumika vizuri huweza kuvuruga maadili, heshima na usawa katika jamiiMufti uk 102-103Kuandika: hati nadhifuHati ni muhimu katika uandishiMwanafunzi aweze kufanya mazoezi mara kwa mara ili aboreshe hati yakeAzingatie miundo ya herufi mbalimbaliAnakili au asikilize maneno sentensi au aya mbalimbaliMsamiati: vitaweVitawe ni maneno yaliyo na maana zaidi ya mojaHutokana na neno tawiNeno moja linaweza kutumiwa kuleta maana tofauti na nyingineMfanoSomo - mpango wa mafundisho ya elimuMtu wa jina moja na mwengine kunga unyogoniAsilia Kurunzi 7 uk 19-20Mufti 7 uk 104Kkd 7 uk 75Kusoma: maktabaMaktaba ni mahali maalum ambapo vitabu huhifadhiwaVitabu hivi huwezwa kugawanywa kulingana na malengo, matumizi na viwango vya wasomajiVinaweza kuwa ni vya handithi, vitendawili, mashairi na mazoeziMwalimu atenge muda maalum ili mwanafunzi awe na uzoefu wa kusomaAsiliaKurunzi uk 72-73Mufti uk 106Sarufi: mnyambuliko wa vitenziHuku ni kuvibadili vitenzi kwa kurefusha viambishitamati ili kuleta kauli mbalimbaliKauli hizi niTendana: uma - umanaTendesha: lala – lazaTendeka: Lima – limikamwanafunzi sharti atumie kamusi sahii kwa marejeleoAsiliaMufti uk 106-108Kurunzi uk 20 – 21Kusikiliza na kuongea: shairiNi tungo wa kisanaa unaozingatia kanuni au arudhi za ushairiArudhi hizi ni kamaIdadi ya silabiVinaMishororoBetiShairi huwa na ujumbe mafunzo na maudhuiLazima liwe na urari na mtiririko wa mawazoMufti uk 109Kurunzi82-83Kuandika: sentensiSentensi ni mpangilio wa manenoili pawe na mtiririko na mshikamano mwafakaKuna sentensi za aina mbalimbaliMwanafunzi aweze kutunga sentensi kwa kufuata mpangilio unaofaaMufti uk 110Msamiati: tarakimuNi herufi za hesabu zinazoonyesha idadi FulaniMwanafunzi aweze kujua tarakirimu zaidi ya milioni moja na akipewa maneno aweze kuandikaMufti uk 111-112Kurunzi uk 112-113Kkd uk 68-69Ufahamu: matibabuKuchambua na kutaja yaliyomo katika mchoroKusoma ufahamu kwa kutumia mbinu ainatiKutambua misamiati na maana yake na kutunga sentensi sahihiKuchambua maudhuiMufti uk 114-117Sarufi: mnyambuliko wa vitenziKurejelea kauli mbalimbali za mnyambuliko hasa kauli ya kutendeshaWanafunzi wataje vitenzi mbalimbali vinavyowatatanishaMwalimu asisitize kuhusu kauli ya kutendeshaMufti uk 117Kkd uk 92Kusikiliza na kuongea: methaliNi aina ya semiNi mtungo wa maneno wenye maana ficheMwanafunzi aweze kujua jinsi ya kukamilisha methali alizopewaMfanoMacho hayana ____________Chovya chovya humaliza _______________Kitanda usichokilalia _____________Mufti uk 103Kkd uk 117Kuandika: imlaImla humpa mwanafunzi mazoezi ya tahajia, uakifishaji, usikivu wa kina na hati boraMwanafunzi atasomewa maneno na sentensi na mwalimuK k d uk 82Msamiati: utaifaNi majina ya watu yanayoonyesha uhusiano uliopo baina ya watu nanchi zaoKuna watu walio na majukumu, mitazamo na uhusiano wa aina mbalimbaliUhusiano huu unaweza leta matokeo hasi au chanyaMfanoMlowezi – anayehama nchi nyinginena kukaa hukoMzalendo – anayependa nchi yake kwa dhati nay u tayari kuiteteaMufti uk 119-120Kurunzi uk 78 k k d uk 77Ufahamu: jinamizi la sukuma wikiKuchambua picha vitabuniKusoma ufahamu kwa ufasahaKuchambua maudhui na msamiati uliotumikaKutunga sentensi kwa kutumia msamiati uliopewaMufti uk 122-123Sarufi: tanakali za sautiNi maneno yanayoonyesha au kuiga milio ya sauti, hali Fulani, sura au vitendo mbalimbaliHutumia kusisitiza namna vitendo vilivyo, vinavyotendeka au kitakavyotendekaMfanoFunika gubigubi!Papatika papatupapatu!Kula fyu!Kuregea regerege!Mufti uk 124-125K k d uk 117-118Kusikiliza na kuongea: hotuba – zimwi la ukumwiWanafunzi wasome makala na kuelewaWachambue ujumbe uliomo kwenye makalaWajifunze mambo muhimuMufti uk 125-127Kuandika: mashairiMwanafunzi ajue arudhi zote za shairiAzitumie arudhi hizo kutungia mashairi ya tathlitha na tarbiaMufti uk 127K k d uk 149Msamiati: vitaweNi maneno yaliyo na maana zaidi ya mojaMifanoMbuzi – mnyama mdogo wa nyumbaniChombo au kifaa cha kukunia naziMwalimu aorodheshe vitawe zaidiMufti uk 127-128Ufahamu: chukiKuchabua mchoro kwenye vitabuKusoma na kuuelewa ufahamuKuchambua ujumbe mkuu, msamiati na tamathali zilizotumiwaKutunga sentensi wakitumia misamiatiMufti uk 130-132Sarufi: matumizi ya vihusishi ‘katika’ na kiambishi tamati –ni’Katika na –ni ni vihusishi vinavyotumiwa kumaanisha ndaniyaVihusishi hivi havitumiwi pamoja katika sentensiMfanoIngia katika darasani ni kosaIngia darasani au ingia katika darasa ni sahihi-ni huambishwa kwenye nomino za kawaida kisha nomino hiyo huorodheshwa katika ngeli ya PAKUMUKatika hutumiwa kuleta maana ya Miongoni mwamtu mmoja katika wale ni mgonjwawakatiTutakuwa na likizo katika mwezi wa ApriliUjumla wa vituWote walishiriki katika michezo hiyoMufti uk 132-134K k d uk 122Kusikiliza na kuongea: mchezo wa kuigizaNi hali ya kusema, kutenda na kuonyesha matukio kwa njia ya sanaaVitendo, milio na sauti na mavazi hutilia mkazo yale yanayoigizwaLengo huwa ni kutoa funzo FulaniMufti uk 135-139Kurunzi uk 84-85Kuandika: handithi fupiWanafunzi waandike handithi fupiwakirejelea mchoroK k d uk 144Msamiati: tarakimu 5,000,000-6,000,000Wanafunzi waweze kuandika tarakimu kati ya 5,000,000 – 6,000,000 kwa maneno na nambariSharti waweze kutumia maneno kama laki, milioni , elfuUakifishaji mwafaka utumiweMufti uk 139-140Ufahamu: ufundi wa inshaKuchambua picha vitabuniKusoma ufahamu kwa ufasahaKutaja na kuorodhesha misamiati na maana yakeWanafunzi watunge sentensi wakitumia misamiatiWajibu maswaliMufti uk 142-144Sarufi: alama za uakifishajiNi alama zinazotumiwa ili kuwasilisha nia halisi na maana kamili ya kwenye maandishiAlama hizi pia hufanya kusomeka kwa sentensi kuwa rahisiMfanoNusukoloni /semikoloni/nukta kipumuo ;Hutumiwa kuunganisha mawazo mawiliMfanoNinataka kuondoka mapema ;sipendi kuchelewaKoloni/nuktambili/nukta pacha :Hutumiwa kuonyesha orodha ndefuMfanoNenda ununue vutu vifuatavyo:maziwa, mkate, sukari, mafuta na chumviMufti uk 144-145Kurunzi uk 123-125Kusikiliza na kuongea: makalaKusoma makala kwa kinaKuelewa ujumbe mkuuKujadili kuhusu mbinu bora za kuepuka kuathirika na manbo yanayochangia kuzorota kwa maadiliKutaja vyombo vya kisasa vinavyochangia kuzorota kwa maadiliMufti uk 145-146Kuandika: imlaKuandika maneno yenye sauti f, v, l, r, g, kWasikilize maneno kwa umakinifu ili wayaandike kwa usahihiWatunge sentensi eakitumia maneno hayoMsungi uk 133Msamiati: viwandaniViwanda ni mahali ambapo bidhaa, vitu, mashine na vipuri mbalimbali huundiwaHuwa na mitambo mbalimbaliMitambo na mashine hurahisisha kaziMifanoFuaweChombo cha mhunzi anachowekea chuma anachokifuaKreni/kiriniMashine nzito ya kuinulia mizigo mizito hasa bandariniMufti uk 147-148Tujivunie uk 120-121Shairi: daladalaWanafunzi waelewe kanuni za ushairiWalighani shairi walilopewaKuuchambua ujumbe katika sentensi hiyoKuchambua msamiati uliotumiwaKujibu maswali yaliyotolewaMufti uk 150Sarufi: ukubwa, udogo na wastani wa nominoUkubwa ni hali ya kukuza nomino na udogo ni hali ya kudunisha nominoWastani ni hali ya kawaida ya nominoNomino katika ukubwa huwekwa katika ngeli ya LI – YA na nomino katika hali ya udogo huwekwa katika ngeli ya KI – VIZipo kanuni ambazo hutumiwaNoino zenye silabi mbili- dodosha mojaMtu- jituNomino zinazoanza kwa ki dondosha ki pachuka jiKiatu – jiatuMufti uk 151-152K k d uk 132, 148Kusikiliza na kuongea:shairi – ngonjeraWanafunzi waweze kuigiza shairi walilopewaKuchambua ujumbe uliomoKueleza aina ya shairi na msamiati uliopoKujibu maswaliK k d uk 146Kuandika: imlaMwalimu awasomee wanafunzi aya kasha wandike madaftariniWafanye masahihishoTujivunie uk 17Msamiati: viumbe vya kike na kiumeHii ni hali ya jinsia au uanaViumbe vyenye uhai huwa vya kike au kiumeSharti viambatanishwe vinavyofaaMfanoMkewe – mumeweJike – dumeHalati – mjombaMufti uk 154-155Kurunzi uk 69Kusoma: makala magazetini na majaridaKusoma makala katika vitabuKuchambua picha katika kitabuKutaja mambo muhimu katika magazeti na majaridaTofauti kati ya majarida na magazeti ni kuwa magazeti huchapishwa kila siku lakini majarida huchapishwa baada ya muda FulaniKuchambua msamiati uliotumiwaKujadili na kujibu maswaliMufti uk 157-158Sarufi: sifa kutokana na vitenziNi kuunda maneno yenye kivumishi au kusifu nomino kutoka kwenye viarafaSifa hizi huwa ni herufi kama f, v, mwMfanoAmini – mwaminifuSikia- sikivuTii – tiifuDhulumu – dhalimuMufti uk 158-159Kusikiliza na kuongea: uso unasingiziwaKusoma makala na kuelewaKuchambua ujumbe kutoka kwa makalaKuchambua msamiati uliotumika na kutunga sentensiKujibu maswaliMufti uk 159-161Kuandika: imlaKusikilia kwa umakinifu maneno yatakayosomwaKuandika kwa usahihi na hati nadhifuMufti uk 161Msamiati:tarakimu 6,000,000 – 7,000,000Mwanafunzi aweze kuandika tarakimu kati ya 6,000,00 – 7, 000,000Kuweza kuandika kwa maneno na tarakimuna pia kuorodhesha milioni, laki, elfuMufti uk 162Ufahamu: ajira za watotoKuchambua picha vitabuniKusoma ufahamu kwa ufasahaKutambua msamiati uliotumiwa na kutunga sentensi sahihiKujibu maswali uliyopewaMufti uk 164-166Sarufi: virejeshiKuorodhesha ngeli mbalimbali na majina katika ngeli hizoKuorodhesha virejeshi pamoja na noino katika ngeli hizoKutunga sentensi kwa kutumia virejeshi hivyoMufti uk 166Kusikiliza na kuongea: vitendawiliAina ya fumbo ambapo mtegaji analifahamu jibuMajibu ya vitendawili yanahitaji Yule aliyetegewa aliwazie tena jawabu lakeHuanza hivi“kitendawili” anayetega“tega” anayetegewaIwapo atashindwa kupeana jawabu sahihi sharti apeane mji FulaniMfanoKuku wangu katagia mibani – nanasiAjilinda bila silaha – kinyongaMufti uk166K k d uk 88Kuandika: methaliKuorodhesha methali mbalimbali na kutumia majina kutunga sentensiMfanoGanda – ganda la muwalajana, chungu kaoana kivunoKiatu – baniani mbaya kiatu chaje dawaMufti uk 103 K k d uk 167Msamiati: watu na kazi zaoWatu hufanya kazi mbalimbaliNi sharti tuheshimu kila aina ya kaziMfanoKungwi – anayefundisha kunga za nyumbaniHaali – hubeba mizigo kwa malipoMufti uk 167-169Ufahamu: mawasiliano ya kisasaKutazama na kuchambua picha vitabuniKuvitambua vifaa hivyoKutambua ujumbe uliomo katika ufahamuKutunga sentensi na misamiati iliyotumikaMufti uk 172-174Sarufi: umoja na wingiKuorodhesha ngeli mbalimbali na vipingele vyake uhimuKutunga sentensi zenye vipingele hivyo katika hali ya umoja na wingiMfanoKiatu kinachonuka hakipendeziViatu vinavyonuka havipendeziMufti uk 174-175Kusikiliza na kuongea : misemoMisemo ni aina ya semi yenye maana isiyolingana na maneno yaliyotumiwaMfanoMkia wa mbuzi – mtu ovyoNguo imeruka- imekuwa fupiMufti uk 175Kuandika : shairiKutunga shairi kwa kufuata kanuni zinazofaaMufti uk 176Msamiati: malipo mbalimbaliNi ada zinazotozwa au kutolewa baada au kabla ya huduma wajibu au jukumu Fulani kutekelezwaMalipo yanaweza kuwa ninfedha au kwa kitu chochote bora pawe na makubalianoMfanoNauli – malipo ya usafiriMahari – malipo ya kuoleaMufti 176-177INSHAMUHULA WA PILIINSHA YA MASIMULIZIHuzuni au tanziaHuvi ni visa vinanyoleta majonzi, huzuni, simanzi, sikitiko au jitimaiMikondoUjambazi/unyang’anyi/uporaji/wiziUtekajinyaraUjangiliWizi wa mifugoIlaghaiMagendoUgomvi wa kijamiiUvamizi na watu katiliMigomoMisamiati na mapamboMayowe – ukemi, usiahi, mayoweWasiwasi- jekejeke, jakamoyo, kiherehereKufa – kata kamba, enda ahera, jongomeoHasira – pandwa na mori, kuwa na tumbo joto, kama zaibaki kwenye kipimajotoNilinyapianyapia/nilinyatianyatia nyatunyatuJoho la kiwewe lilinivaa__________Nilichana mbuga/nilitifua vumbi ili kuyaokoa maish __________-Moyo ulinidwikadwika/ulinipapa kama ngoma za mahepeMalaika yalinisimama wimaTulisikia sauti zilizotweta kama ___Sikuyaamini macho nilipoonaNilipiga usiahi ambao ungewafufua wafu ___________Ulimi uliniganda kinywaniNililia kwa kite na imani lakini kilio si dawaNilitoka shoti kama Ngeu ilimtiririka kama _______Milio ya risasi ilitamalaki kwenye angaParafujo za miguu ziliregeaMacho yalinitoka pima kama __________Nilitetemeka kama unyasi nyikanu ____________Kijasho chembamba kikaanza kunitokaMethaliMbwa hafi maji akiona ukokoDamu ni nzito kuliko majiTama mbele mauti nyumaUnjanja wa nyani huishia jagwaniSiku za mwizi ni arubainiINSHA YA MASIMULIZI – HISIA ZA FURAHAFuraha hutokana na Sherehe – harusiMwakampyaKuzaliwa kwa mottoSikukuu ya krismasiSikukuu ya pasakaMahafali – sherehe za kufuzuSiku ya tuzo/harambeeKutembelewa na wageniSherehe za kitaifaSherehe z asiliMsamiati na mapamboMaua ya kila ainati – si asmini, mawaridiUkumbi ulijaa na kuwatapika adinasiVipaza sauti vilihinikiza sauti ___________Vyakula vya kila aina/jamii vilitishia kuangusha mezaMsichana /kidosho/kipusa alitembea kwa madahaMkalimani na mfawidhi walishirikiana kamaTulilakiwa kwa kupigwa pambajaWaja walijaa si si si siWaja waliwasili makundimakundi/mmoja mmoja/pacha pacha Nikitembea aste aste hadi jukwaaniKula/kushtaki njaa/fanyia mlo hakiNilikumbuka nilivyojifunga kibwebwe/masomboKaka angeasi ukaperaWaja walisakata ruma/dansiMsafara/mlolongo wa magariVipokezi vya methaliYakini,_____Waama, _______Ama kweli_______Wahenga hawakukosea walipokili_______________MethaliChanda chema huvishwa peteBaada ya dhiki farajaHauchi hauchi unakuchaSiku njema huonekana asubuhiBARUA/WARAKAKuna aina mbiliBarua ya kirafikiBarua rasmiBARUA YA KIRAFIKI/KIDUGUHuandikwa ili kupeana mwaliko, kujuliana hali, kufahamisha au kuarifu kuhusu jamboSehemu muhimu za barua hii niAnwani ya mwandishi BIDII FAULU, S.L.P 93, NAIVASHA. 18-11-2015Kwa sahibu yangu, fundi msanifu ,Utangulizi_____________________________________MwiliHatima Ni mimi wako, Jina la mwandishiHuandikwa pembeni kabisa wa kulia sehemu ya juuHujumuisha jina la mwandishi au anakosomea au kufanya kaziHuwa pia na mahali anakoishi na sanduku la postaKianzioHudhihirisha anayeandikiwaHubainisha uhusiano wake na mwandishiKwa mpendwaKwa laaziziRafiki yanguKwa mwanangu mpendwaUtanguliziHaya ni maamkizi na kujuliana haliMfanoPokea salamu sufufu/furifuriMimi ni buheri w afya/mzima kamaMwiliHubeba ujumbe au kusudio la baruaLengo/nia/azma ya kukuandikia barua hii ni _____Ninaomba unitendee hisani/fadhilaKwa kuwa wema hauoziNinakuhakikishia kuwa nitatia bidiiNingependa kukujuvya kuwaTumia viunganishi ili kuunganisha mawazoIsitoshe, zaidi ya hayo, aidhaTamatiNingeoenda kutia nanga kwa kukuelezaNingependa kukunja jamviKwa kuwa muda umenip kisogoNi mimi wako mpenzi,Ni wako mpendwa,Jina la mwandishiBARUA RASMIHuandikwa ili kuwasilisha ujumbe maalumHuandikwa ili kuomba msamahaKuomba nafasi kwa kaziKuwasilisha malalamishiKuagizia/kuthibitisha mapokezi ya kampuni, shirika , idaraSehemuAnwani ya mwandishiHuandikwa pembeni kabisa upande wa kulia sehemu ya juu ya karatasiHujumuisha jina la mwandishi, sanduku la posta, mahali ankoishi na tarehe baada ya anwani vuka mstari mmojaAnwani ya mwandikiwa Hutaja cheo cha anayeandikiwaTaja jina la kampuni/shirika/daraTaja S.L.PKianzioHuanzia chini ya anwani ya mwandikiwaBwana/BWBibi/BIMabibiMabwanaMtajoHuelezea lengo la baruaHutangulizwa kwa MINT: (mintirafu), KUH: (kuhusu), OMBI: , kumb: (kumbuka)Pigia mstari ujumbe wenyeweMwiliHubeba ujumbe wa baruaMaudhui hutegemea nia au lengo la baruaLugha iwe rasmiMsamiatiNina furaha ribribi/kuu/firifuriNina bashasha beleleNinasikitika ninapokuandika waraka huu ___Ningependa kuchukua fursa/wasaa/nafasiKurejelea habari FulaniKwa mujibu w habari niliyoisoma/kutokana na taarifa/ kulingana na ___________Shule.kampuni/shirika ___imesifikaImetajwa na kutajikaSifa zake zimeenea kote___________kamamoto nyikani kama wakati wa hari/kiangaziKatika Nyanja za michezo ___idara/ shirika/shule yakoWasifu/tawasifu __mimi ni mwananchi kindakindaki/halisiNina nidhamu na taadhima ya hali ya _____Nina talanta katika fani ya riadha uimbajiNina sauti ya ningaNitakuwa kielelzo dhabiti kwaNitatia bidii za mchwa ajengaye kichunguuNitavumilia/nitajikaza kisabuni ili kuafikia ndoto yanguVyeti vyangu vimeambatanishwa pamoja na waraka huuTamatiNi mwisho wa baruaHuandikwa pembeni upandr wa kulia sehemu ya chiniHerufi ya kwanza iwe kubwaINSHA ZA METHALIMethali ni usemi wa kisanii wa kimapokeo unaofikiliwa na jamiina hutumiwa kufumbia jambo FulaniMethali hutahiniwa kwa namna tatuIkiwa kama madaMwanafunzi anafaa aeleze maana ya juu na ya ndani yake na matumizi yake iwapo anaifahamu vyemaMethali za majutu, maonyo , na tahadhariHutumiwa kuonyesha athariau madhara yanayotokea baada ya mtu kugaidi maagizo, nasaha au maonyoHutumiwa kutoa funzo kwa wenginekutokana na dhiki na majuto yaliyomfika mhusika Asiyefunzwa na mamaya hufunzwa na ulimwenguAsiyeskia la mkuu huvunjika guuMchelea mwana kulia hulia mwenyeweMbio za sakafuni huishia ukingoniMchuma janga hula na wa kwaoUjanja wa nyani huishia jangwaniMajuto ni mjukuu huja kinyumeMchiba kisima huingia mwenyeweMsiba wa kujitakia hauna kilioKilio si dawaMapambo na msamiatiKutofuata ushauriAlikuwa hakanywi hakanyikiHasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitiniAlikuwa haliki hatafunukiHaambiliki hasenezekiAlikuwa hajijui hajitambuiKujutaAliishia na laiti kinywaniAlijiuma kidole/alilia chanda kili kinywaniNilikabiliana ana kwa ana na ulimwengu usiokuwa na hurumaNiliyaona ya firauniNilikiona kilichomtoa kanga manyoyaKupuuzaAlivalia miwani mashauriNiliyatemea mate mawaidhaAlijitia hamnazoAliyatia kapuni yota aliyoambiwaMambo kuharibikaMambo yalimwendea pete/tenge/mrisi/shoto/shambiroKutowezekana kwaIlikuwa sawa na kukama tetereKufunuka jua kwa ungo au chekecheKuchota maji kwa pakachaTashbihiPukutikwa na machozi kama ngamiaTiririkwa na machozi kama maji mlimaniMchafu kama kilihafu/fungoNuka kama mzoga/beberu/kindondaUnafiki na kujitakia shidaChui aliyevalia ngozi ya kondooPanya aliyeumia na kuvuviaKujipali makaa kama chachanduKuogelea katika bahari ya motoINSHA ZA MAELEZOHutoa ufafanuzi kuhusu jambo, mtu, mahali au kitu FulaniMaelezo haya huwa ni sifa au hoja maalumInsha hizi hutahadharisha, huelezea, huarifu na huburudishaMtahiniwa asijadili chini ya hoja sitaAtoe hoja za ukweliMfanoAthari za ukimwiAthari za dawa za kulevyaAthari za tknolojiaMchezo ni upendaoHaki na ajira za watotoHaki ni mstahiki au ni jambo ambalo ni halali ya mtuMstahiki pia ni mtu mwenye haki ya kupata kituAjira ni kazi zinazofanywa katika mashamba, viwanda, nyumbani na migodiniWatoto wanapopewa ajira ni kinyume cha shariaBaadhi ya haki hizi niLishe boraWatoto wanafaa wapewe mlo ulio na viinilishe muhimu kwa protini, kabohaidrati, madini na maji safiWasipolishwa huenda wakaathiriwa na magonjwa kama kwashakoo, utapiamloMavaziHumkinga dhidi ya mabadiliko ya hali ya angaHuzuia maradhi kama mafua, nimonia na pumuMethaliKinga ni bora kuliko tibaMakao salamaHumsetiri dhidi ya wanyama hatari, maadui na mabadiliko katika hali ya angaKupata elimuAsibaguliwe kwa misingi ya jinsia, kidini, kikabila au rangi ya ngoziWasichana wasiozwe mapemaWasijiingize katika vitendo vya ukosefu na maadili kama ukahabaWafundishwe maadili na nifhamuMethaliElimu haitekekiElimu ni bahariElimu haina mwishoAfya njemaWatoto wanafaa kukulia katika mazingira safiWapewe matibabu wanapouguaWapewe lisheboraMethaliAfya ni bora kuliko maliKinga ni bora kuliko tibaWakingwe dhidi ya dhulumaHii ni kama kuchomwa na kukatakatwa mwiliniWaadhibiwe kwa kadiri na wastaniWakuzwe vyema kwa maadili na mapenziMethaliMotto umleavyo ndivyo akuavyoMasukuzi ya leo ndio msitu wa keshoWasiajiriweHii ni kinyume na sharia katika katiba ya nvhiWaajiri huwatesa na kuwanyanyasa watotoWengine huwarapua kwa mijelediWengine huajiri kama vijakazi, watwana INSHA YA MASIMULIZIInsha ya ndoto/njozi/ruya/ruiyaNi aono anayoyapata mtu akiwa usingiziniHuketa hisia za furaha au huzuniMtu anaweza kupiga mayowe au kuweweseka kulinga na ndotoNdoto za huzuni zinaweza kuhusuKifoWiziMotoMafurikoKutishwa na viumbe hatariWakati mwingine mhusika hutokwa na jasho, kutabawali au kujikuta mvunguni mwa kitandaNdoto ya furaha humfanya mhusika kujilaumu kuwa ilikuwa ni ndoto tuInaweza kuhusuMahafaliKuwa tajiriKapasi mtihaniKuzaliwa mahali kama ikuluMwandishi asianze kwa kusema kuwa alianza kuotaMapamboBaada ya kula chajio____Nilikuwa nimechoka hoi bin tiki_________________Niliubwaga mgogole wangu kwenye kitandaNilijifunika gubigubi na kulala fo fo foHisia za furahaNilifurahi ghaya ya kufurahiFuraha upeo wa furahaNilidamka wanguwanguna kushika hamsini zanguNiliamka alfajiri ya Mungu/ya musaUkumbi ulijaa shangwe, nderemo na hoi hoiNilipaa na kuelea anganiVicheko vilishika hatamu jari mojaHisia za huzunu – jinamiziMaji yalikuwa yamenifika shingoniUlimi uliniganda kinywaniMoyo ulinipapa kama kwamba ulitaka ufunguliwe utokeNilishindwa kuongea ni kawa kama mja aluyepokonywa ulimiMalaika alinisimamia tisti/wima/kititiMambo yaliniendea mpera mperaNilipiga usiahi/mayowe ambayo yangewafufua wafuZogo na zahama lilizugaNililia kwa kite na imani lakini hakuna aliyenihurumiaNiliduwaa na kubung’aa kama mzungu wa reliKilio cha kikweukweu kilihitimu kikawa cha mayoweLUGHA MUHULA WA PILISURA YA KWANZAUfahamu: mpira wa midomoChambua picha kwenye vitabuOrodhesha msamiati na kueleza maana yakeTeua wanafunzi wasome kwa kupokezanaWajibu maswali waliyopewaMufti uk 187Sarufi: mnyambuliko wa vitenziHuu ni upachikaji wa viambishi kwenye mzizi wa kitenzi ili kuunda vitenzi vipyaKauli ya kutendeshwa/fanyishaHuonyesha kuwa kitendo kimesababishwa na kitu FulaniVitenzi hivi hutambulishwa na vitenzi vya, za, sha, fya, na ,saMufti uk 188Kurunzi uk 20Kusikiliza na kuongea: sauti tataZiandike sentensi ubaoniWazima moto walikula sima kabla hawajazimiaWafumaji walifuma sweta na sifa zao kuvuma kote kijijiniYasome maneno yenye sauti tata huku wanafunzi wakisikilizaWaongoze wanafunzi kutunga sentensi wakitumia maneno hayaKamusi yaweza kutumikaUa na huaZana n asanaOga na okaMsamiati: visaweNi maneno yenye maana sawaMwalimu atoe mifanoShangazi – mbiombaMoto – nariOgopa – cheleaKipusa – kidoshoMufti uk 190K k d uk 24Ufahamu: chauremboKutambua na kuchambua picha katika vitabuKutambua maneno magumu na kuyafafanua na kuwataka wanafunzi watunge sentensiWape fursa wasome na wajibu maswaliMufti uk 193-194Sarufi: kukanusha amriWakati wa amri hukanushwa kwa kutumia siMifaniAende – asiendeNimpe – nisimpeUle – usileSwali lije baadayeWewe kunywa dawaWewe usikunywe dawaMufti uk 11-20Kusikiliza na kuongea: handithiWanafunzi wataje majina ya viumbe wanavyoviona pichaniWateuwe wasome aya kwa sautiWataje methali zinazohusiana na handithi hiiMtaka yote hukosa yoteNjia mbili zilimshinda fisiMufti uk 12Msamiati: mapambo ya mwiliWanafunzi wazitaje sehemu mbalimbali za mwiliWayataje mapambo yoyote wanayoyajuaMifanoKipuliPeteUshangaMkufuKipiniHinaWajaMwalimu atoe nyanzo halisi alizozichukua au michoroWanafunzi wataje jina la kila pambo na kutaja sehemu ya mwili linapovaliwaWanafunzi wasome sehemu ya msamiati na mwalimu awaongoze kwa kutoa maelezoWajibu maswaliKurunzi uk 89-90K k d uk 85-87SURA YA PILIUfahamu: vituko runinganiwanafunzi kuchambua picha orodhesha misamiati ubaoni na kutoa maana yakewateuwe wanafunzi wsome ufahamu mmoja mmoja kwa sautiwape fursa wasome kimya na kujibu maswalimufti uk 201-202sarufi: wingi na kukanusha wakati wa sasa na hukanushwa kwa hamifanounasoma – mnasoma – hamsomiunakula – mnakula – hamlimufti uk 203kusikiliza na kuongea: shairimchague mwanafunzi yeyote alikariri shairi analolijuawapange wasome shairi hili kwa kupokezanamwalimu aghani ubeti wa kwanza kwa sauti taratibu, mshororo baada ya mwinginewanafunzi wajadili ujumbe katika kila ubetiwaulize maswali haya na majibu yawasilishwe kwa kuongeashairi hili ni la aina gani?Shairi hili lina jumla ya mishororo mingapi?Kipokeo cha shairi hili ni?K k d uk 70Kurunzi uk 66Msamiati: tarakimu 7,000,000 – 8,000,000Anza kwa maswali ya chemsha mbongo kama Una ywele ngapi kichwani mwako?Kuna nyota mia,milioni au elfu ngapi angani?Ziandike tarakirimu ubaoni ili ujue kama wanakumbuka na wajibu madaftarini mwao6,599,7905,456,6965,555,867Wafanye mazoezi zaidiMufti uk 112Ufahamu: kituo cha kitweaKuitazama picha kwa makini na kujibu maswaliOrodhesha maneno magumu ubaoni na kuyafafanua kwa kutunga sentensiWasome ufahamu kwa zamu na ufasahaWajibu maswali na kutoa majibu sahihiMufti uk 200Sarufi:umoja na wingi wa sentensiWaulize wataje majina ya ngeli mbalimbali kwa umoja na wingiWaongoze watunge sentensi kwa kutumia majina waliyotajaWaagize wazisome sentensi zote za mazoeziKusikiliza na kuongea: handithiAnza kipindi kwa kuuliza wanafunzi walighani shairi walilolisoma hapo awaliChambua picha kwa kinaTeua wanafunzi wasome kwa zamu na kusisitiza matamshi boraWanafunzi watunge sentensi wakitumia maneno magumuWajadili maswali katika makundi yaoBaada ya kujadili chukua hoja za kila kundi na kuzisoma kwa sautiMsamiati: nomino za makundiNi majina yanayorejelea mshikamano au mkusanyiko wa vitu au hali ya vitu hasa vya aina moja kuwa pamojaMifanoThurea ya nyotaHalaiki ya watuNumbi ya samakiOnyesha wanafunzi vifaa halisiWatazame vifaa na wataje majina yaliyo kwa makundiWajibu maswaliKurunzi uk 132K k d uk 140SURA YA TATUUfahamu: maisha ni mpangoKuitazama picha na kutoa maelezo mafu[I kuihusuAndika msamiati ubaoni na kutoa maana yakeWateue wanafunzi wasome mmoja mmoja Wajibu zoeziMufti uk 216-218Kisikiliza na kuongea: mafumbo na vitendawiliFumbo ni swali la chemsha bongo ambalo halihitaji utumizi wa akili kupata jibu sahihiMfanoAchora lakini hajui achoracho – konokonoAliyekitengeneza hakukitumia, aliyekinunua hakukitumia, aliyekitumia hakukiona , ni nini?Wafumbe na wafumbue mafumbo kwa kufuata maelekezi ya mwalimuKutega na kutegua vitendawili kwa kufuta maelekezi ya mwalimuK k d uk 37Msamiati: majina ya nchi au mataifaWanafunzi wataje majina ya nchi jirani zinazopakana na Kenya na miji mikuu ya nchi hizoWaongoze watahe majina ya nchi kwa kutumia ramani na wataje tafsiri yake kwa KiswahiliMifanoKenya – KenyaEthiopia – uhabeshiAmerica – marekaniWaongoze wataje majina ya visiwa kama vile kisiwa cha ngazija, pemba na ungujaWajibu maswaliKurunzi uk 40Ufahamu: makala, vitabu vya handithiVitabu hivi hupatikana maktabaniHupatikana Maktaba ya shuleMaktaba ya taifaMaktaba ya nyumbaniMaduka ya vitabuMaduka ya wamagingaMajumba ya majirani au rafikiWajibu maswaliK k d uk 33Sarufi: vivumishi vya pekee ingine na –o-oteVivumishi hivi ni ote, o-ote, enye, enyewe na ingineWape fursa watunge sentensiwakitumia vivumishi hivyoWajibu maswaliMufti uk 223-224Kusikiliza na kuongea: afya na ukimwiUkumwi ni upungufu wa kinga mwiliniJadili na wanafunzi mbinu za maambukiziEpukana na yafuatayoUlevi wa pombe yoyoteMatumizi ya dawa za kulevyaUkahaba na ufanyaji wa mapenzi ovyo ovyoKugusa damu ya mwathiriwaKutumia vitu kama nyembe, sindano za walioathiriwaWanafunzi watunge shairi wakitumia vipengele vya mjadalaMsamiati: tarakirimu 8,000,000 – 9,000,000Wape fursa kujibu zoezi uk 225Tarakimu ni alama ya hesabu iliyoandikwa kuonyesha idadiZinaweza kutumika kuonyesha nambari, miongo au hesabuMifano12,000 – kumi na mbili elfu12,002 – kumi na mbili elfu na mbiliUfahamu: nani alaumiweUchambuzi wa picha kwa muktasariEleza maana ya maneno magumuTeua wanafunzi wasome kwa zamuWanafunzi watoe majibu kwa maswaliSarufi: vitaweNi maneno yaliyo na maana zaidi ya mojaMfanoVua- toa samaki majiniToa nguo mwiliniAla – aina ya mfuko ambamo kisu hufichwaTamko la kushangaaAina yoyote ya chombo cha kufanyia kaziOngoza wanafunzi kutoa sentensi tofautiKurunzi uk 19K k d uk 75Kusikiliza na kuongea: methali za nyuniNi mtungo wa sanaa ulio na maana ficheWanafunzi wataje methali yoyote wanayoijuaWaongoze wataje ndege yeyote wanajuaMbuni, kuku, kipungu, kiwiWaongoze wataje methali ambamo ndege hutajwaMfanoKozi mwana mandanda kulala njaa kupenda Maana yake ni kuwa lazima mtu mwenye uwezo wa kulitekeleza jambo autumie uwezo wake vilivyoMti mkuu ukigwa ndege huyumbaMaana yake ni kuwa kiongozi akitoweka waliomtegemea hutaabikaK k d uk 29Kurunzi uk 15-17SURA YA NNEUfahamu: kaburi la uleviUchambuzi wa pichaWaongoze wanafunzi kutaja matatizo yanayotokana na uleviKutoelewana katika familiaKuharibu kazi kwa kutoenda kaziniUgonjwa wa ini na hata ukimwiEleza maana ya msamiatiWateue wanafunzi wasome kwa kupokezanaWajibu maswaliSarufi: kauli ya kutendataKauli hii huonyesha dhana ya kurudia rudia tendoMfanoKata – katakataImba – imbaimbaTia – tiatiaRuka – rukarukaWanafunzi wataje vitenzi mbalimbali na uandike ubaoniWaeleze kuwa kitendo kinaporudiwa rudiwa huendelezwa kwa kwa neon moja lililoshikamanaWajibu maswaliK k d uk 107Kurunzi uk 20-21Msamiati: watu na kazi zaoWanafunzi wataje watu mbalimbali kutaja kazi mbalimbali na uandike ubaoniWajibu zoezi A kwa kutamka kwa sautiWajibu zoezi B kwenye madaftari yaoKurunziUk 1-3Ufahamu: vipawa vya kina mamaWaongoze wanafunzi kutaja majina ya watu mashuhuri wanaowafahamu kama Julius Nyerere, Nelson Mandela, Wangari MathaiEleza maana ya maneno magumu na wanafunzi watunge sentensi wakiyatumiaWasome kwa zamuWajibu maswaliSarufi: viwakilishiNi neno linalosimama badala ya nomino kama yeye, sisi, weweWanafunzi wataje nomino katika ngeli mbalimbaliWaongoze kutaja viambishi nafsi kwa umoja na wingiEleza aina mbili za viwakilishi na utoe mifanoWanafunzi watunge sentensiWajibu zoezi la muftiUk 240-241Kusikiliza na kuongea: shairi – mkataa pemaWaulize wanafunzi waimbe wimbo wowote wanaoujuaWaongoze kujikumbusha mambo muhimu kuhusu ushairiWachague wanafunzi walighani shairi kwa sautiHakikisha mwanafuzi ana mwelekeo wa sauti moja katika kulighani shairiWajibu maswali na mwalimu aandike hoja sahihi ubaoniKanuni za ushairi ni kama vileMpangilio wa mishororoMpangilio wa betiUrari wa vinaKibwagizoK k d uk 53-54Kuandika: misemo na vitaweMsemo ni fngu la maneno linalotumiwa na jamii ya watu kwa namna maalumili kutoa maadiliMwalimu arejelee kamusi ya misemo na nahauMifanoKufa moyo – poteza matumainiKufa kikondoo – bila kulalamikaKufa sauti – shindwa kuongeaKurunziuk 23-24Msamiati: tarakimu 9,000,00 – 10,000,000Wape maswali kuhusu tarakimu walizosomaTumia kandi za tarakimu zikiwa nyenzo kisha mwite mwanafunzi mmoja mmoja kuchagua kadi ya tarakimuWaongoze waandike ubaoni kwa manenoWajumuishe wanafunzi katika kuyatoa majibu sahihiK k d uk 101SURA YA TANOUfahamu: shairiWashirikishe wanafunzi katika kutaja baadhi ya vipingele muhimu vya ushairiToa maelezo mafupi kwa kila kipengeleMfanoArudhi, tarbia, manju, kibwagizoWanafunzi walisome shairi kwa sautiWaongoze wanafunzi kulichambua shairi kwa misingi ya arudhi za ushairiWajibu maswaliK k d uk 53-54Kihusishi: ‘katika’ na kiambishi tamati ‘ni’Katika hutumika kuonyesha uhusiano w kitu na mahali, huonyesha hasa ndani ya au kwenyeMfanoMaji yamo katika chupaAbiria wamo katika basiWanafunzi wamo katika darasaNi hutumika kuonyesha ndani ya au mahali ndaniMfanoVijiko vimo jikonoWalimu wamo majilisiniMzazi yumo ofisiniWajibu maswaliKusikiliza na kuongea: misemoWaambie wanafunzi wataje misemo yoyote wanayoifahamuWengine watoe maana ya misemo iliyotajwaWaweke kwenye makundi ili waweze kujadili kuhusu misemoWatoe majibu kwa kutamkaMfanoKumezea mate – kutamaniKata rufani – kuomba kesi isikizwe upyaWahimize watumie misemo hiyo katika inshaMsamiati: aina za magariNi chombo cha kusafiria kiendacho kwa magurudumuTumia michoro ya magari kama nyenzoWanafunzi watazame picha na wataje majina ya aina ya magariJadiliana na wanafunzi majibuPikipiki – gari lenye magurudumu mawili na lenye mtamboRukwama –gari linalokokotwa na maksai na lenye magurudumu mawili bila mtamboKifaru – gari la chuma la kivita lenye mzingaINSHA MUHULA WA PILIHOTUBAHotuba ni maneno au malezo maaluma yanayotokana na mtu mmoja mbele ya hadhiraAnayetoa hotuba huitwa hatibuHadhira ni watu wanaohutubiwaHotuba inaweza kuwa yaMwalimu mkuu juu ya wazaziMwanasiasa nyakati za kampeniMaafisa wa serikali katika sherehe tofautiRais akihutubia taifaMambo ya kuzingatiaKufuata itifakiKutambua waliohidhuria kufuata cheo/mamlaka na umriMfano “mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, viranja na wanafunzi wenzangu jamjambo? _____Wakati uliopo hutumika yaani usemi halisiNafsi ya kwanza naya pili hutumika MfanoNimesimama kadamnasi nikiwa mzima kama kigongo __________Hutumia alama za kunukuuu ikiwa unahutubia kwa niaba ya mtu mwengineMfanorais, naibu wa rais ______Kila hoja husimuliwa katika aya yakeHitimisho huhusu kuwashukuru wasikilizaji na pia kuwapa funzo au changa moto au nasahaUmuhimu wa elimuElimu ni mafunzo yanayopatikana shulenina maishaniHupevusha fikiraMja hujielewa, huelewa wengine na ulimwenguHuheshimianaHuweza kutumia raslimali vilivyoElimu hundoa ujinga/ujuhaMwanafunzi humakinika katika maisha ya vaadayeMsamiatiLeo si jana ,jana si leoEnda na ucheo, siende na uchwaoElimu ya vitabu humsaidia mtu kuhifadhi siri ujumbe na kumbukumbu za kutumia na kizazi cha baadayeMsamiatiElimu huboresha maishaKujenga makao mazuriKuwasaidia jamaa na jamiiElimu ni daraja la kuvusha mtu kwenye gange/kazi yenyefulusi nonoMtu hupata hela za kujimudu pasi kuwategemea wengineMethaliMtegemea cha nduguye hufa maskiniMtegemea nundu haachi kunonaMja hupewa heshimaRagbaNimesimama imara kama chuma cha puaTisti kama ngarange za mvuleKidete kama kitawi cha mkarakalaPongezi za dhatiNinawapa mkono wa tahania kwa kufanya bidii za mchwa na duduvuleNawamiminia shukrani sufufuNinawashukuru kwa kujitolea mhanga na kujifunga kibwebwe/masombo/kujikaza kisabuniMethaliElimu ni bahariElimu maisha si vitabuElimu ni taa gizani hung’aaElimu ni mali ambayo adui hawezi kutekaElimu bila mali kama nta bila asaliTashbihiBidii za mchwa /duduvuleNg’aa kama mbalamweziPesa kama njuguJulikana kama pesaMisemoKujito;ea mhangaShika usukaniKuna kichwaAmbua kituTia pamba/ntaMETHALI ZA KUTOHADAIKA NA UZURI WA NJE WA KITU NA TAMAAHutumiwa kuwaonya adinasi dhidi ya kudanganyika au kuhadaika na uzuri wa kitu bila kudadisi matokeo na athari zakeMethali ikiwa kama kichwa huhitajika kuelezea maana ya nje, ya ndani na matumiziMfano wa visaKumkaribisha mtu nyumbaniKupatiwa liftiBiashara gushiUremboFisadiMethaliUzuri wa mkakasi ndani kipande cha mtiHakuna kizuri kisichokuwa na dosariPenye urembo ndipo penye ulimboUzuri wa mkakasi, ukipata maji basiVyote ving’aavyo sio dhahabuTama ilimwua fisiUzuri si hoja hoja ni tabiaMpanda farasi wawili hupasuka msambaMtaka yote hukosa yoteMbio za sakafuni huishia ukingoniMla kwa wawili hana mwisho mwemaPenye uhondo pana uvundoUzuri wa biyu ndani mabuuUsiache mbachao kwa msala upitaoVipokezi vya methaliKwa yakini ___________Taib_________Ama kweli______________Kuntu_________________Ni jahara kama pengo kuwa _________Ni wazi kama ju ala mtikati kuwa ____________Chambilecho wahenga au wazee wenye tabasuri tepetepe__________NahauMaji kuzidi ungaKitumbua kiliingia mchangaValia miwaniMeza mrututuMeza mate machunguTulia huku ukitolea kuleVimba kichwaKuwa na mkono mrefuBwaga zaniTakririDhahiri shahiriHaambiliki hasemezekiHakanywi hakanyikiKuwa kiguu na njiaHana harusi hana matangaRagbaWalimdekeza mwana waoAlikuwa ndumakuwili aliyeuma ndani yakini kikulacho ki nguoniAlijaribu bahati kwani asiyekuwa na bahati habahatishiPigwa kipopoTemea mateKumwonea gereMambo yalimwendea sambejambeAlilia kilio cha kiteTashbihiHuzunika kama mfiwaKuwa na wasiwasi kama mwasiAminika kama njiwaJambo wazi kama mchana Kuwa mzembe kama kupeMICHEZONi jambo lifanywalo kwa ajili ya kujifurahisha kujichangamsha au kupoteza wakatiBaadhi ya michezoJugweGugwiBembeaKibeMsabakaKandandaRiadhaSarakasiNetiboliNagaVoliboliGololiHokiLangalangaKriketiMpira wa wavuKandandaPia huitwa kambumbu, soka , gozi au mpira wa miguuHushirikisha timu mbikli pinzaniWachezaji huvaliajeziDalugaSoksiBuktaKatika ya uwanja huitwa kitovu/sentaOtea – kujificha kwa makusudi ya kushambulia kwa ghaflaPenalty – adhabu kwa mlindalangoMlindalango, mdakaji, golikipaKimiaRefa/refariiMshika bendera/kibenderaMhimili/goliNgware – cheza visivyoKipindi cha lala salama ni kipindi cha nwishiKadi nyekundu huonyesha kutimuliwa kwa mchezajiKadi ya jano – onyoHuwa na wachezaji kumi na mmoja katika kila upandeWalinzi au difensiWachezaji wa katiSafu ya mashambuliziWachezaji wa akibaPiga mkwanjuKocha/mkufunziMapamboUwanja ulijaa hadi pomoniWachezaji walishononaMdakaji aliudaka mpira ungedhani ni tumbili aliyedadia tawi la mtiPasi fupifupi na za uhakika ungedhani walikuwa na mashine miguuniMpira haukulenga goli__kweli kulenga si kufumaKuutia mpira vifuani kana kwamba una spaki za kuunasaWalinda ngome walikuwa imara kama chuma cha puaKwenda kubwaga moyo baada ya kipindi cha kwanzaSafu ya ilinzi ulikuwa imara kama ukuta uliotengenezwa kwa zegeEnda nyatunyatu na kufyatua zinga la kombora Visha kanzuNyota ya jahaBao la kuta machoziPiga kombora kimo cha mbuzi , kuku au ngamiaMashabikiwalijawa na bashashaKipindi cha pili tukihisi kuwa na nishati mpyaBao la bua liliweza kuzitubua nyoyo za wapinzani wetuMrisi bin kappaINSHA ZA MAELEZOHuitwa wasifuHutoa maelezo au hoja kuhusu jambo, mahali au kitu FulaniMtahiniwa atangulize kwa ufafanuzi wa mada yakeAhitimishe kwa kutoa changamotokwa waliohusikaBaadhi ya maelezo niFaida na madhara ya teknolojiaFaida ya elimu, miti na wanyamaporiChanzo cha ajali barabaraniUkosefu wa usalamaHaki za watotoDawa za kulevyaDawa za kulevyaHatuaKufafanua maana Ni kitu chochote kinachoathiri fahamu au mwili wa binadamuDawa hizi ni kama vileBangiSigara HeroiniMiraa/mirungiPombe haramuAnayeuza dawa hizi huitwa mlaguziNjia ya kutumia dawa hizi niHunuswaHunywewaHudungwaHulambwaHutafunwaMadhara ya dawa za kulevyaKuvurugika kwa akiliMja hugeuka kuwa zuzu, mkia wa mbuziHupata ujasiri bandiaHujiingiza katika visangaHudhuru afyaHukonda na kukondeana kama ng’ondaSura huambuliwa na kusawijika kama sokweUtovu wa nidhamuHusheheni cheche za matusiKutabawali kadamnasiVaa mavazi vichungi na viooKuzorota kwa uchumiKukosa elimuJamaa hukosa mavazi, makao na mloHumtilisha mtumiajaHusababisha uraibuHushinda kutwa kucha wakitumia dawa hizoHuwa kupeHuwa maajenti wa mawakalaChanzo cha maafaMadereva hukosa kuwa waangalifuHulketa shinikizo la damu mwiliniAjali barasteniWizi wa mabavuKufanya mapenzi bila kinga TamatiChangamoto/nasahaWasiwe pweza kujipalia makaaKizazi cha baadaye kitaangamiaKushirikiana kama kiko na digali kuangamiza janga hiliWito kwa serikali – kuwasakaKufungua mashtakaMada KIDIMBWI CHA MANAYANAULI YA AHERABARABARA YA KUZIMUTARIKI YA MAUKOMISEMOKujipalia makaa Bwaga zaniMeza mrututuTumbulia machoGofu la mtuTakririKufa kuponaKwa hali na maliLiwalo liweBalaa beluaMethaliTahadhari kabla ya hatariMwiba wa kujidunga hauambiwi poleAjali haina kingaMchezea mavi humnukiaNzi kufia juu ya kindonda si haramuMasukuzi ya leo ndiyo msitu wa keshoWazee hukumbuka vijana hukumbushwaTashbihiKonda kama ng’ondaNyong’onyea kama muwele wa malariaDhaifu kama mkufuEpuka ambao kama mgonjwa wa ukoma/ebolaINSHA ZA MASIMULIZIInsha hii huwa na hisi mbili: furaha na huzuniVinaweza visa vya kubuni au halisiMtahiniwa aweza kutahiniwa mara tatuMwanzo wa handithi – dokezoHuhitajika aendelezeKimalizio/tamatiMtahiniwa lazima aane insha na atamatishe kwa kutumia kmalizio hichoMtahiniwa kupewa mada kisha ataiendeleza inshaMsamiati wa kisa cha furaha Kama harusiMahafaliSiku ya tuzoSherehe ya krismasiRagbaMaua ya kila nui,asumini, kilua, waridiMahema yalitundikwa kila mahaliVipaza sauti na maikrofoni vilihinikiza lahaniNyimbo za kungoa ngoa kuhinikiza Mapochopocho,mchuziMfawidhi alianza kutoa ratibaMkalima/mtafsiri/mataptaAlikuwa mnyange/mfuajiMtanashatiMrembo/spoti/sawa na hurulaini kutoka peponiWapambe walivalia sare za kupendezaKusakata rumba/dansi/kunengua viungoMsafara/mlolongo wa magariMtibwiriko wa kukata na shokaSheheneza pongezi sufufuMkono wa tahaniaPofushwa na vimulimuli vya wapiga pichaWalijaa sisisi/pomoniHojiwa na sailiwa na wanahabariMisemoMkono wa tahaniaJikaza kisabuniFanya bidii za ___Fanya karamuDhahiri shhiriAsi ukapera/funga pingu za maishaFanyia mlo haki/shtaki njaamethaliHauchi hauchi huchaSiku jema huonekana asubuhiBaada ya dhiki farajaHayawi hayawi huwaMvumilivu hula mbivuSafari ys kesho hupangwa leoMsafiri ni aliye bandariniMsamiati wa kisa cha huzuniHuwa kutekwa nyaraWiziAjaliRagbaJuhudi ziligonga mwabaMaisha yalianza kuingia ufaJaribu kwa udi na uvumbaSijui alipandwa na pepo ganiMambo yalimwendea tege/upogo upogoAlitoka na michirizi ya damuAlipigwa kitutu/kipopoAliondoka kichwa kifuani kama kondooUzuri wake ulimteka bakunja akawa haoni hasikiiAlipovunja ungo alianza kuwa na mienendo benibeniAliyatemea mawaidha mateDekezaAlifunzwa na ulimwengu usiokuwa na hurumaHuruma zake ziligeuka kama umandeAlilia kilio cha kite na shake bila kufahamu kilio si dawaAlivamiwa vaa bin vuMethaliMaji hufuata mkondoBenderea ikipepea sana hurarukaPwagu hupa pwaguziVyote viowevu si majiTakririHaambiliki hasemezekiHana hananiHazindishi hapunguziHapiki hapakuiJando wala togoMETHALI ZA MAJUTOMethali ni usemi w kisanii wa kimapokeo unaofikiliwa na jamii kuwa wa kweli na unaotumia kufumbia Hutahiniwa ikiwa madaMwanzoKimalizioMethali za majuto hutumiwa kuonyesha athari za kutofuata maagizoAsiyesikia la mkuu huvunjika guuAsiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwenguMwiba wa kujindunga hauambiwi poleMchelea mwana kulia hulia mwenyeweMaji yakimwagika hayazolekiNzi kufia juu ya kindonda si haramuKilio si dawaMajuto ni mjukuuKiburi cha mende huishia motoniAsiyeangalia huishi laiti ningalijuaMkata pema pabaya panamwitaZinguo la mwana mtukutu ni ufitoSikio la kufa halisikii dawaHarakaharaka haina barakaMchimba kisima huingia mwenyeweUjanja wa nyani huishia jagwaniMchuma janga hula na wakwaoMbio za sakafuni huishia ukingoniVipokezi vya methaliYawe yasiwe ____Aisee!______________Labeka! _______________Lahaula! Lakwata____________Chambilecho wenye ndimi walihenga_____________Hapo ndipo nilipoamini na kusadiki kuwa ____________Waledi wa lugha waligonga ndipo walipoganga kuwa_______________Wakale hawakupanda upepo wakavuna tufani___________Visa husikaWiziUtumizi wa dawa za kulevyaRagbaAliona cha mtema kuniKilichompata peku na lungo kilimpataMambo yalimwendea visivyoAlitamani mauti yaje yamwokoeMaji yalizidi yngaAlitamani dunia ipasuke immeze mzima mzimaKumwashia kipofu taaAlitia masikio pambaMachozi ya majonziLia kilio cha kite na shakaMachozi yalimtoka kapakapaPyorea mdomoHuzunika ghaya ya kuhuzunikaMachozi yalinienda mbilimbiliKuwa na kamusi ya matusiTashbihiPukutikwa na machozi ka,a ngamiaTiririkwa na machozi kama maji mlimaniBubunjikwa na machozi kama mfereji Nuka kama mzogaMchafu kama fugoINSHA ZA MIKASAMikasa ni matukio yaletayo maafa, masaibu na matatizo kwa watuVisaweMsibaBalaaZaniBaaMaafaJanga BeluaMifano ya mikasaMotoWiziAjli barabaraniUgaidiUbakajiUtekaji nyaraZilizalaKuza majiMaporomoko ya ardhiMlipuko wa bomuUkameKaboboJinsi yakujadiliEleza mahali pa mkasaJinsi tukio lilivyotukiaWakatiMsaada uliotoaMaafa/hasaraUtafitiChangamotoMkasa wa motoMADAKIFO KICHUNGUJEHANAMU DUNIANIMDIMI ZA JEHANAMUMOTO WA KUTISHANDIMI ZA MANAYA/MAUTINARI YA KUTISHAMsamiatiNdimi za motoJiko lililolipuka laweza kuwa gesi, umeme , mbomba la mafuta.tangi la mafutaMavundo ya moshi yalifukaMashungi ya motoCheche za motoMoto ulitatarika an kurindimaUpepo ulivuma kwa ghamidha na ghadhabuMatagaa na mapogoo mabichiKujitoma ndani ya nyumba kama mwehuNahodha hodari haogopi mawimbiMoto ulifakamia majengo kama nzige wavamiavyo shamaba la mihogoWengine walichomeka kiwango cha kutotambulikavilio vilinywewa na kuwapweteaNilifadhaika kwa fadhaa na wahakaKichwa kilinizunguka kama tiaraVilio vya ving’ora vya makarandinga na ambulensi vilitanda na kuhinikiza hewaUma uliuputa moto na kuwaokoa manusuraTulitoa huduma za kwanzaWengi walisali/kufanya dua zisizoelewekaMsamiati mwingineNilibaki kinywa waziMachozi ya majonzi yalinilengalengaMachozi yalinienda njia mbilimbiliLia kwikwikwiNilifikiri macho yangu yalikuwa yakinchezea shereChoka hoi bin tikiFafanua kinaga ubagaPigwa na butwaaNilibung’aa na kuduwaa waaPonea chupuchupuMUHULA WA TATU: LUGHASURA YA KWANZAUfahamu: kutouliza ni ujingaKuchambua picha kitabuniKuongoza kusoma ufahamu kwa ufasahaKudondosha na kuorodhesha fani za lughaKuleza fani na kutungia sentensiMufti uk 2-3Sarufi: ngeli na viambishi ngeliKuelezea maana na matumizi ya ngeliKuorodhesha mifano ya ngeli ubaoniA – WAU – YAI – ZIU – UYA – YAI – IKutaja mifano na kutunga sentensiMUFTI UK 6KUSIKILIZA NA KUONGEA: MAAMKIZI, ADABU NA HESHIMAMaamkizi ni salamu au matendo ya kujuliana haliSalamu huenda na mtajo, nemsi au majina ya adabuKujadili msamiati husikaMasalkheriChewa SabalkheriMakiwaVipi?ShikamooMaaganoUsiku mwakaAlamsikiTuonane keshoBurianbiUsiku mwakaLala salamaNdoto njema kwaheriNemsiBwanamdogoHayatiMarehemuMwendazakeSheikhBimdogoDiwaniManeno ya adabuSaahaniKongoniNiwie radhiMjamzitoAsanteHongeraKuandika: imlaMwalimu awandae wanafunzi kisha awasomee manenoMsamiati: diraPembe kumi nanne za duniaDira ni chombo cha kuwaelekeza wasafiri katika pande za duniaKuchambua msamiati husikaKuchaMawioKaskaziniShemaliMatlaiKupambazukaMufti uk 9SURA YA PILIUfahamu: jishinde ushindeKuhandithi kisa kinachohusiana na bidiiKusoma ufahamu kwa ufasahaKudondosha fani na kueleza maana yakeKutunga sentensiMufti uk13-14Sarufi: ngeli ya A- WANgeli hii inahusisha majina yenye sifa na hali ya wanyama, nyuni, malaika, samaki na wanadamuKutoa mifano katika umoja na wingiMfanoMnyoo – minyooKiwete – viweteNzi – nziMkunga – mikungaKueleza upatanisho wa kisarufiMufti uk 16-17 k k d uk 6kusikiliza na kuongea:mjadalakujadili maana ya mjadala na mfano wakekueleza kanuni za mjadalakuwashirikisha katika mjadala wavulana kwa wasichana au viwango tofauti washindane kujadilikuandika : inshakurejelea mifano ya insha , tofauti za uandishi wa insha na baadhi ya mapambotathmini: maswali mseto kuhusu insha mtu anayetoa hotuba huitwa?Barua ya kiofisi ina anwani ngapiMtu anayeandika kumbukumbu niMsamiati: mahakamaWanafunzi watembelee mahakama au watizame vipindi runingani au michoroMsamiatiKuweka dhamanaKutoa rufani/rufaaKutozwa fainiGerezaniWakiliKifunguMpopotaHakimuKizimbaPinguMbaroniMhalifuMufti uk 19 kkd uk 70SURA YA TATUUfahamu: akili nyingi ala mwandeUchambuzi wa pichaKusoma ufahamu kimoyomoyoKuorodhesha fani mbalimbali na kuzielezaKutunga sentensiMufti uk23-24Sarufi: ngeli ya U – INomina za ngeli hii huchukua upatanisho wa U katika umoja na I katika wingiMifanoMkono – mikonoMuundi – miundiMzigo – mizigoMtaa – mitaaMuhula – mihulaMwaka – miakaMlingoti – milingotiMufti uk 27-28Kusikiliza na kuongea: misemoNahau ni mafungi ya maneno yanayotumiwa kwa ufasaha na kwa namna maalumKutaja mifano na kutungia sentensiKuweka nadhiriPalia makaaKula kalenbdaKula mwataEnda masiaFua dafuUma menoMoyo wa hararaKufa kikondooKazi ya shokoaKijifanya mawelePiga chukiTia kapuniMufti uk 27Kuandika: insha ya hotubaKurejelea insha ya hotubaKuchambua miundoKueleza baadhi ya mapamboKuandika mfano wa mwanzo kameMufti uk 28K k d uk 46Msamiati: tarakimu 10,000,001 – 50,000,000Maana ya tarakimuKuhesabu moja hadi kumi kwa kurejelea ngeli ya A- WAKuchambua tarakimu kwa manenoKuchambua msamiati husikaMufti uk 28K k d uk 6SURA YA NNEUfahamu: ajali haijaliUchambuzi wa michoroKueleza vyanzo vya ajaliKusoma ufahamu kwa sautiKuorodhesha misamiati husika na kueleza maanaMufti uk 31-33Sarufi: ngeli ya KI – VINomino za ngeli hii ni vutu vya kawaidaMajina huanza kwa ‘ki’ katika umoja na ‘vi’ katika wingiMengine huanza kwa ‘ch’ kwa umoja na ‘vy Kwa wingiMifanoKiazi – viaziKiatu – viatuKioo – viooKina – vinaKikuba – vikubaCheti – vyetiChakula – vyakulaChanda – vyandaChungu – vyunguWastani udogoMlango kilangoMguu kiguuGari kigariNyumba kijumbaMotto kitotoMufti uk 35 k k d uk 13Kusikiliza na kuongea: taarifaKusoma taarifaKuchambua faniKuzitumia katika sentensiKutoa funzo la taarifaMufti uk 36Kuandika: teknolojiaKueleza baadhi ya misamiati ya teknolojaTarakilishiRununuIfuruMtandaoDhibaNgamiziArafaBarua memeDiski tepetevuWavutiMdahalishiKiyumeo/kipakatalishiK k d uk 84Mufti uk 37Msamiati: vitaweManeno yenye maana zaidi ya mojaKaaMalaika MjiFumaPandaKimaChembeMzingaTaaKooKunaTundaKambaKingoHemaShindaChumaMkungaSimuMiwaniKopaMufti uk 37-38SURA YA TANOUfahamu: vifo vys maliasiliKuchambua michoro kitabuniKusoma ufahamu kimoyomoyoKuorodhesha misamiati na maana yake na kutunga sentensiMufti uk 43-44Sarufi: ngeli ya LI – YA Maneno katika ngeli hii huanza na ma, meManeno yote katika hali ya ukubwa huingizwa katika ngeli hiiMifanoDirisha – madirishaEmbe – maembeZulia – mazuliaBao – mabaoGoti – magotiSoko – masokoTunda – matundaUkubwaDomo – madomo Gombe – magombeGuu – maguuJibwa – majibwaJumba – majumbaMufti uk 46Kusikiliza na kuongea: vitendawiliKutaja utaratibu wa kutaja kitendawiliKutoa mfano na jibu lakeKuwaongoza kushindana na kutoa mshindiMufti uk 47Kuandika: imla/insha ya maelezoMwalimu achague kati ya imla na insha ya maelezoKueleza taratibuKuandikaMufti uk 47Msamiati: visaweNi maneno yenye maana sawaMifanoDhikiAdabuCheoAibuKimatuWakiliUsoMsichanaKitabuUgonjwaTarakilishiKifoKilimoSaidiaUgaliMwalimuMufti uk 47 K k d 160SURA YA SITAUfahamu: tabu ya tiba Kuchambua picha kitabuniKutoa fasili ya UKIMWI Kusoma ufahamuKuorodhesha fani mpya na kutungia sentensiMufti uk 52-53Sarufi: ngeli ya U – YAManeno katika ngeli hii huanza kwa U katika umoja na Ya katika wingiMifanoUgonjwa – magonjwaUuaji – mauajiUbele – mabeleUamuzi – maamuziUpana – mapanaUwele – maweleUlezi – maleziUpishi – mapishiUjazi – majaziKusikiliza na kuongea:taarifaKusoma taarifa ya ondokeniOrodhesha fani na kueleza maana yake na kutungia sentensiMufti uk 5Kuandika : ushauriKuimba shairi la ngojeraKurejelea kanuni za ushairiKutaja baadhi ya bahariMufti uk 59Msamiati: mekoniWanafunzi watembelee jikoni au waandae mapishi wao wenyeweMsamiati wa mekoniVitu/vifaaUkokoDohaniMafigaMbuziKaroUfu KingaChunguMkunguVitendoKutelekaKuipuaKusongaKukanzaKutokosaKuokaKukaangaZimuaKumenyaKuchanja kuniKukoka motoKuchocha motoKula kiporoKupuliza motoKuandika mezaKupiga mtaiKuringa mchuziMufti uk 63 k k d uk 76SURA YA SABAUfahamu: vitabuKuchambua picha kitabuniKueleza umuhimu wa maktabaKusoma ufahamuKodondosha misamiati na kueleza maana kisha kutunga sentensiMufti uk 67Sarufi: ngeli ya YA – YANomino zote huanzia kwa maMifanoMasihara masiharaMatatu matatuMakazi makaziMahakama mahakamaMaakuli maakuliMawasiliano mawasilianoMufti uk 68K k d uk 6Kusikiliza na kuongea: methaliMaana ya methaliAina za methaliKuorodhesha methali na maoni zakeMifanoBura yangu subadili na rehaniUsiache mbachao kwa msala upitaoHakuna masika yasiyokuwa na mbuYaliyopita si ndwele tugange yajayoMaji ya kifuu bahari ya chunguMufti uk 68Kuandika: imlaKiandika maneno tatanishiKuwaandaa wanafunziKuandikaMufti uk 69Msamiati: viwandaniKiwanda ni mahali pa kuuzia bidhaa mbalimbali ambapo kuna mitambo mingiVifaa/mitambo vitenziSpana kufumaJenereta kusindikaTarakilishi kuchanuaMjarari kubanguaCherehani kuchambua Vipuri kuponoaMufti uk 69SURA YA NANEUfahamu: viaziKuchambua picha kitabuniKusoma ufahamuKuoridhesha fani na kueleza maana yakeKutunga sentensi Mufti uk 74Sarufi: ngeli ya I – ZI Nomino hazibadiliki katika umoja na wingiMifanoMashine mashineSinia sinia Sahani sahaniNgozi ngoziTaa taaPete peteSakafu sakafuShingo shingoMufti uk 76Kusikiliza na kuongea: taarifaKusoma handithi fupiKusikiliza na kujibu maswaliMufti uk 77Kuandika : shairiKuchambua kanuni za shairiKusoma shairi na kukaririKuchambua fani zilizotumikaMufti uk 78Msamiati: wafanyikazi mbalimbaliManju SonaraMsajiliMhasibuMhunziNokoaMbungeDalaliBawabuMkadamuImamuYayaNgaribaMsonziKatibuMfanidhiMkweziKacheroMufti uk 79SURA YA TISAUfahamu:limbukeniKuchambua picha kitabuniKusoma ufahami kwa ufasahaKuorodhesha fani na kueleza maana yakeKutunga sentensiMufti uk 83Sarufi: ngeli ya U – ZIManeno katika ngeli hii huwa na upatanisho wa U na ZI katka wingiMifanoUbeti – betiUchane – chaneUchega – chegaUbavu – mbavuUbao – mbaoUlimi – ndimiUdevu – ndevuUjari – njariUjiti – njitiUgoe – ngoeUzi – nyuziUfa – nyufaWaadhi – nyaadhiWalio – nyalioWaraka – nyarakaMufti uk 86K k d uk 6Kusikiliza na kuongea:methaliKurejelea funzo la methaliKutafa maana ya methaliMufti uk 87Kuandika: ushairiKanuni za ushairiBahari za ushairiKutunga shairi la tarbiaMufti uk 80Msamiati:akisamiKuorodhesha akisami zoteKuelekeza jinsi ya kuandika 21120 na zaidi ya moja juu kama 3/8 4/7 3/5Mufti uk 88SURA YA KUMIUfahamu: wewe ni kama naniKuchambua picha kitabuniKusoma makala kwa ufasahaKuorodhesha fani za makala na kueleza maana zakeKutunga sentensiMufti uk 105Sarufi: ngeli ya U – UHuchukua U katika umoja na U katika wingiKuelezea maneno hayabadiliki katika umoja na wingiMifanoMoto motoUgali ugaliWema wemaUfisadi ufisadiWizi wiziUbaya ubayaUzembe uzembeK k d uk 6Kusikiliza na kuongea: handithiKusoma handithi na kwa kupokezanaKuchambua maana husika na kuzitumia kwenye sentensiKueleza maudhui ya handithiMufti uk 110Kuandika: kuunda vitenziEleza jinsi ya kuunda vitenzi na kwa hati safiMufti uk 11Msamiati:L nomino ambataManeno huundwa kwa kuambanisha maneno mawiliMifanoMjomba + kaka ______mjombakakaMla + riba ____________mlaribaEmbe+ dodo___________embedodoSukari+ guru____________sukariguruSURA YA KUMI NA MOJAUfahamu:ukingo wa kingaKuchambua picha kitabuniKusoma ufahamuKuorodhesha fani na kueleza maana yake Kutunga sentensiMufti uk 116Sarufi: ngeli ya KU Maneno katika ngeli hii huchukua upatanisho wa kisarufi KU Kutoa mifano na kutunga sentensiMufti uk 119 Kusikiliza na kuongea: vitateNi maneno yenye sauti tata na hukaribiana kimaendelezoKusoma sentensi zenye vitateKueleza tofauti ya sentensi hizoMufti uk 120Kuandika: nomino kutokana na vitenziVitenzi nominoSaka msasi, usasiLima mkulima, kilimoHama mahame, uhamiajiKimbia mkimbiziToroka mtoro, utorokajiChumbia mchumba, uchumbaKuvunda mvundo, uvundoHukumu hakimu, hukumu, uhakimuMufti uk 120Msamiati:sayariAina za nyoka zinazozunguka jua Sayari hung’aaNyota humeremetaKuorodhesha sayari jinsi zinavyofuatanaKuelezea msamiati husikaNjia mzingoPeteoKimondoUnajimuDarahaniBatinilhutiSURA YA KUMI NA MBILIUfahamu:donda la dukudukuKuchambua picha kitabuniKusoma ufahamu kwa ufasahaKuorodhesha fani na maana zakeKutunga sentensiMufti uk 127Sarufi: ngeli ya I – IMajina ya nomino hii huchukua upatanisho wa sarufi kuwa I katika umoja na I katika wingiKuorodhesha mifano na kutungia sentensiKusikiliza na kuongea: jina kutokana na sifaKueleza namna ya kuunda MifanoSifa jinaWalimu mwalimuWizi mwiziWoga mwogaMchafu uchafuMweusi WeusiMrefu urefuMufti uk 130Kuandika:kutendesha na kutendekaKutunga sentensi kwa maneno uliyopewaMufti uk 131Msamiati:maliasiliNi utajiri unaopatikana nchini tangu dunia ilipoumbwa na MunguKutaja mifano na kueleza mifano hiyoMufti uk 132SURA YA KUMI NA TATUUfahamu: baruaKuelezea barua rasmi na muundo wakeKusoma ufahamu wa baruaKudondosha fani na kueleza fani hizoKufanya zoeziMufti uk 137Sarufi: ngeli ya PA KU MUNi ngeli ya mahaliHuelezea hali tatuHapa/hapo/pale- mahali dhahiriHuku/huko/kule – kusiko dhahiriHumo/humu/humo – mahali ndaniKuelezea viambishi tofautiMufti uk 141Kusikiliza na kuongea:watu mbalimbaliKuelezea maumbile mbalimbali ya watuKuwaonya wanafunzi dhidi ya kutumia majina hayo ovyoMifanoMwehu HunthaMzi aruKidukoToinyoMawengeZezetaKibunyeMagutaoKuandika: insha ya maelezoKudurusu insha ya maelezo kama ilivyofunzwa Msamiati: tarakimu 50,000,000 – 100,000,000Maana ya tarakimuKuandika tarakimu kwa maneno.Kufanya zoeziMufti uk 143 k k d uk 175INSHAMUHULA WA TATUMETHALI ZA MAJUTOMethali ni usemi wa kisanii wa kimapokeo unaofikiliwa na jamii kuwa ukweli na unaotumiwa kufumbiaMethali hutahiniwa kwa njia tatuIkiwa madaMwanzo – mwanafunzi huhitajika kuendeleza bila kufafanua maana ya methaliKimalizio – lazima kisa kishahibiane na methali ileTanbihiIkiwa methali itakuwa mada, mtahiniwa atahitajika kueleza maana ya nje, ya ndani na matumizi endapo anafahamuMethali ni usemi w kisanii wa kimapokeo unaofikiliwa na jamii kuwa wa kweli na unaotumia kufumbia Hutahiniwa ikiwa madaMwanzoKimalizioMethali za majuto hutumiwa kuonyesha athari za kutofuata maagizoAsiyesikia la mkuu huvunjika guuAsiyefunzwa na mamaya hufunzwa na ulimwenguMwiba wa kujindunga hauambiwi poleMchelea mwana kulia hilia mwenyeweMaji yakimwagika hayazolekiNzi kufia juu ya kindonda si haramuKilio si dawaMajuto ni mjukuuKiburi cha mende huishia motoniAsiyeangalia huishi laiti ningalijuaMkata pema pabaya panamwitaZinguo la mwana mtukutu ni ufitoSikio la kufa halisikii dawaHarakaharaka haina BarakaMchimba kisima huingia mwenyeweUjanja wa nyani huishia jagwaniMchuma janga hula na wakwaoMbio za sakafuni huishia ukingoniVipokezi vya methali hiziChambilecho wahengaYaye yasiweAiseeLabekaLahaula! LakwataHapo ndipo nilipoamini na kusadiki kuwaWaledi wa lugha waliganga ndipo walipoambaVisa husikaMwanafunzi kutumia dawa za kulevyaKujiingiza katika anasaWiziRagbaAliona cha mtema kuniKilichompata peku na lungo kilimpataAlitamani kulia akachekaMambo yalimwendea divyo sivyoMaji yalizidi ungaAlitamani mauti yaje yawaokoeKumpa mawaidha ilikuwa sawa na kumpigia mbuzi gambusi/gitaKumwashia kipofu taaAlitia masikio pambaMawaidha yaliingilia sikio la kushoto na kutokea la kuliaMachozi ya majonziLia kilio cha kite na shakaHuzunika ghaya ya kuhuzunikaMaisha yalikosa maana yakawa sawa na kakaTupu la yaiMachozi yalimwendea njia mbiliKuwa na kamusi ya matusiPyorea mdomoTashbihiPukutikwa na machozi kama ngamiaTiririkwa na machozi kama maji mlimaniBubunjikwa na machozi kama mferejiMchafu kama fugoTakririHakili hakubaliHajali jando wala togoSi wa uji si wa majiKutomjulia heri wala shariAkiulizwa haunganiMJADALATeknolojiaNi maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi na njia za mawasilianoMifanoKilimoTrektaBeleshiPilauMboleaToroliZana za vitaManowariBazookaVifaruDarubiniGrunediBundukiBastolaGombororaNyambiziMzingaKombatiDirizi/dereyaMawasilianoSimu – tamba/rununu/mkonoTarakilishiTovutiKitenzambaliBarua memeKikotooKimemeshiMitamboKiyoyozi/feni/pauka/pangaboiLifti/elevetaKreni/winchi/kambarauMeliNdegeMashuaFAIDA ZA TEKNOLOJIAMawasiliano – kupasha habariElimisha na kutumbuizaMethaliKipya kinyemi ngawa kindondaUtafitiKuvumbua dawa za ndwele/mitambo kurahihisha kaziMitambo ya kuchunguza hali ya angaElimuMatumizi ya mitamboKanda za videoMethaliElimu ni bahariElimu haitekekiMali bila daftari hupotea bila habariElimu bila mali ni kama sega bila asaliUsalamaZana za vitaDonge nono hupatikana baada yakuuza vifaaMethaliTahadhari kabla ya hatariKilimo na ufugajiPembenjeo – mbegu, mbolea, dawaGhala la kuhifadhi mazaoMashine za kukama ng’ombeMethaliTembe na tembe huwa mkateUsafiriVyombo vya majini, nchi kavu au barabaraKuokoa wakati na maishaMethaliNgoja ngoja huumiza matumboMavaziRahisisha kaziKuimarisha uchumi wa chiMADHARAMmomonyoko wa maadiliHuleta maradhi kama sarataniHuleta maafaPunguza nafasi za kaziKuiga tabia za kigeniVitaKuwafanya waja kulaza damuMambo mengine muhimuViunganishi vya insha ya maelezoLicha yaFauka ya AidhaZaidi yaPia isitisheMbali naHali kadhalikaTanbihiInsha sampuli hii huwa na sehemu mbiliKuunga na kupingaMwanafunzi ana uhuru wa kuunga ama kupingaKatika sehemu ya hitimisho mtahiniwa anatarajiwa kutoa mawazo yakeTamatiNingependa kuwajuza kuwa _____Ningeomba sote tupinge kwa jino na ukucha _______tusiwe kama chachandu wa kujipalia makaa kwa _____________VISA VYA HUZUNIVisawe vya huzuni ni masikitiko, majonzi, jitimai, buka, chonda na msibaVisa hivi huhusu mikasaKutekwa nyaraWiziAjaliZilizalaMafuriko/charikaMaporomoko ya migodiRagbaJuhudi ziligonga mwabaMaisha yalianza kuingia ufaAlipovunja ungo alianza kuwa na mienendo benibeniMambo yalimwendea upogo/tenge/msobemsobeAlitokwa ma michirizi ya damu _____baada ya kupigwa kipopo/kitutuKijasho chembamba kilianza kumtokaAliondoka kichwa kifuani kama kondoo /shikwa na zabaiki ya uso, tayarini/haya/soniUzuri wake ulimteka bakunja akawa haoni hasikiiAkasahau penye urembo ndipo penye ulimboAliyatemea mawaidha/nasaha mateAlikuwa hayawani kwenye ngozi ya binadamuAma kweli____________Dekeza/engaenga kama yaiAlifunzwa na ulimwengu usiokuwa na hurumaHuruma zake ziligeuka kama umandeAlilia kilio cha kite na shaka bila kufahamu kuwa kilio si dawaAlikuwa ndumakuwili___________kikulacho ki nguono mwakoHusuda/wivu________zilimzidi hadi akakosa utulivuAlivamiwa ghafla bin vuuMethaliMaji hufuata mkondoBendera ikipepea sana hurarukaMpiga ngumi ukuta huumia mwenyeweMpiga mbizi kwenye nchi kavuhuchunue usoniPwagu hupata pwaguziMchimba kisima huingia mwenyeweVyote ving’aavyo si dhahabuVyote viowevu si majiNjia ya mhini na mhiniwa ni mojaTakririHaambiliki hasemezekiHana hananiHazidishi hapunguziHapiki hapakuiJando wala togoVihusishiLahaula!Yarabi!masalaale!Lo!Lakwata!UsaindiziWalitupiga njekiNiliwatupia upondoNiliwapa mkonoTulisaidiana kama kiko na dagali, maiti na jenezaTamatiHakika, hakuna msiba usiokuwa na mwenziweDaima dawamu sitalisahau tukio hiloMatukio hayo hayatafutika kutoka tafakirini mwanguNinapokumbuka kisa hicho, machozi hunitiririka njia mbilimbiliINSHA YA MAZUNGUMZOMazungumzo ni maongezi, mahojiano ama malimbano baina ya mtu na mwengine au kundi moja na jengineYanaweza kuwaPorojo/soga/domoNi mazungumzo ya kupitisha wakatiKutafuta ujumbe maalumHufanywa kwa njia ya mahojianoKundandisi au kumwelekeza mtuBaina ya mtu na tajriba na Yule anayetakamsaadaMhusika mmoja asichukue nafasi kubwaTumia alama za uakifishaji kama vile koloni, kitone na kipumuoSharti pawe na mahali pa kumchacha wizaVitendo viweze kuandikwa katika alama za mabanoFani za lugha zitumike ili kuleta uhondoPawe na maaganoHatuaMada/kichwaHuandikwa kwa herufi kubwa kupigiwa mstariMaudhuiNi lengo au kusudi la mazungumzoMsamiati kutegemea lengo la mazungumzoVitendo na isharaHaya yataandikwa katika mabano(akitari, akilia, akicheka)Alama za uakifishajiKoloni ( : )Huandikwa baada ya jina au cheo cha watuAlama za dukuduku ( _ _ _ )Mazungumzo yanaendeleaParandesi au mabano ( )Kubana maneno ambayo hayatasemwaAlama ya hisi ( ! )Hutumiwa pamoja na viigizi kuonyesha hisiaINSHA ZA NDOTOInsha ya ndoto/njozi/ruya/ruiyaNi maono anayoyapata mtu akiwa usingiziniHuleta hisia za furaha au huzuniMtu anaweza kupiga mayowe au kuweweseka kulingana na ndotoNdoto za huzuni zinaweza kuhusuKifoWiziMotoMafurikoKutishwa na viumbe hatariWakati mwingine mhusika hutokwa na jasho, kutabawali au kujikuta mvunguni mwa kitandaNdoto ya furaha humfanya mhusika kujilaumu kuwa ilikuwa ni ndoto tuInaweza kuhusuMahafaliKuwa tajiriKupasi mtihaniKuzaliwa mahali kama ikuluMwandishi asianze kwa kusema kuwa alianza kuotaMapamboBaada ya kula chajioNilikuwa nimechoka hoi bin tikiNiliubwaga mgogole wangu kwenye kitandaNilijifunika gubigubi na kulala fo fo foHisia za furahaNilifurahi ghaya ya kufurahiFuraha upeo wa furahaNilidamka wanguwanguna kushika hamsini zanguNiliamka alfajiri ya Mungu/ya musaUkumbi ulijaa shangwe, nderemo na hoi hoiNilipaa na kuelea anganiVicheko vilishika hatamu jari mojaHisia za huzunu – jinamiziMaji yalikuwa yamenifika shingoniUlimi uliniganda kinywaniMoyo ulinipapa kama kwamba ulitaka ufunguliwe utokeNilishindwa kuongea ni kawa kama mja aluyepokonywa ulimiMalaika alinisimamia tisti/wima/kititiMambo yaliniendea mpera mperaNilipiga usiahi/mayowe ambayo yangewafufua wafuZogo na zahama lilizugaNililia kwa kite na imani lakini hakuna aliyenihurumiaNiliduwaa na kubung’aa kama mzungu wa reliKilio cha kikweukweu kilihitimu kikawa cha mayoweINSHA ZA HANDITHIHandithi hutambiwa kwa njia ya kusimuliwaHurejelea matukio au visa vyenye nasaha kwa jamiiVisa hivi hutumiwaKuelimishaKushauriKuonyaBidiiKuonyesha umojaEnzi za kale watoto walisimuliwa visa hivi na babu au nyanya wakati wa jionoMifanoAbunuwasiShamba la wanyamaSungura mwenye pembeShujaa fumo loyongoIkiwa kisa kilisimuliwa na mwingine mwanafunzi atahitajika kunukuu kazi yake Mfano“ babu alizoea kutuambia ngano.alianza hivi _______”Baada ya kuhitimisha kisa mtahiniwa anhitajika kufungaAhitimishe kwa ushauri au nasaha Insha hii yaweza kuchukua mikondo tofautiFurahaMajutoHuzuniBidiiTanbihiSanasana wahusika huwa wanyama ambao huwa na hisia za binadamuJinsi ya kuanzisha Paukwa?pakawa! ___________Aliondokea chanjagaa kujenga nyumba kaka mwanangu mwana siti kijino kama chikichi cha kujengea vikuta na vilango vya kupitia ___________________Hapo zama za zama ____________________Hapo kale ______________________Hapo jado aliondokea _________________Enzi za konga mawe__________________Miaka na dahari iliyopita __________________Katika karne za mababu na bibi zetu______________________Miaka na mikaka iliyopita _____________________Handithi!handithi! hapo zama za kale katika kaya/kijiji_________________Fani za lughaTakririMiaka na mikakaDhahiri shahiriHana hananiMaskini hohehaheDaima dawamuAfriti kijitiMisemoSalimu amriShika sikioTemea nasaha mateValia miwaniTia kapuniMambo kuenda shoroKutojulia heri wala shariKuwa fremu ya mtuTashbihiRoho ngumu kama pakaZurura kama mbwa msokwao/mbwakokoTabia kunuka kama kindonda/beberuMacho mekundu kama ngeu/damuKuchukua wekundu wa motoMethaliBendera hufuata upepoSikio la kufa halisikii dawaKutosikia la mwadhini wala la mteka maji msikitiniNzi kufia juu ya kindonda si haramuMaji hufuata mkondoAambiwaye akakataa hujioneaRagbaKabla ya mwadhini kuadhana adhna zake ______Maji kwa pakacha __________________Julikana kwa ufedhuliKuwa sawa na kutumbutia majiAndamana na makundi yenye mienendo benibeniHeshima likawa neno geni kwakeLala kitandani hoi akiwangoja pumzi yake ya mwishoLia kilio cha mbwaHitimishoNyanya/babu alitueleza bayana umuhumu wa _______________Hapo ndipo niliposandiki kuwa ______________Ulumbi wa __________ ulidhihirika waziwazi kuwaINSHA YA MAELEZOHizi huhitaji mtahiniwa kueleza au kutoa sifa za mtu Fulani, kitu Fulani, mahali au mabo FulaniMifanoUmuhimu wa majiAthari za ukimwiFaida za wanyamaporiUmuhimu wa misituMtahiniwa anaweza kupewa insha hii ikiwa mada mfanoUMUHIMU WA MAJIMwongozo ambao ni mwanzo wa insha kisha aendelezeMfano“maji yana manufaa anuwai ____”Atoe hoja zisizopyngua sitaIwe na mtiririko mmojaSehemu ya hitimisho;atoe change moto kwa jamii au serikaliMfanoUMUHIMU WA MAJIUtanguliziMaana ya majiMaji ni kiowevu kisicho na rangi kinapatikana mtoni, ziwani, baharini na hata kutokana na mvuaMaji ni uhaiUmuhimu wa majiKukonga roho au kuakta kiuAdinasi hukonga rohoHuweza kuishi bila shabuka au shida yoyoteHusaidia usagaji wa chakulaMapishi ya vyakulaChakula hulainika na kuwa na ladhaHuimarisha siha/udole wa binadamuHumweupusha mlimwengu na magonjwaUsafi na unadhifuKutakata mili ili kuepukana na magonjwaKupiga dekiKusafisha mashine viwandaniKuwa mchafu kama fungoKusafiri jongomeo baada ya kugua maradhiUsafiri baharini, maziwani na mitoniKusafirisha shehena za mizigoMizigo mizito kama nangaVyombo hivi vya usafiri ni meli, motaboti, ngalawa, merikebu, mashua, manahodha na maserahangiKuzungusha mitambo au mashineHupata nguvu za umeme au nishatiNishati hizi huweza kutengeneza bidhaa za madini, vyakula na mavaziMakao ya wanyamaKama samaki, kiboko, mamba, kamba na kasaSamaki ni chakula murua kwa mja na humzuia mja kuoata ndweleBurudani na michezoHamamu na mandibwi ya maji hutumika na wanamichezo kwa mashindano ya kuogelesHuwa sehemu ya ajiraHuletea nchi pesa za kigeniKuondoa uchafu baada ya kaziMaji ni asili ya uhaiKuuzima motoKivutio cha wataliiKunyunyizia mimea majiViunganishiMbali na _________Fauka ya _________Isitoshe___________Zaidi ya ______________Hali kadhalika_________HitimishoNikilikunja jamvi ninawashauri ___________Hatuna la msalie mtume wala nabii ili kuyatumia maji ipasavyo____________Ama kweli maji ni kito cha dhamani ambacho kinafaa kulindwa kwa hali na maliMethaliMaji yakimwagika hayazolekiMaji ya kifuu ni bahari ya uchunguMaji mapwa hayaogwiMaji ni uhaiMaji hufuata mkondoMaji ukiyavulie nguo yaogeDARASA LA SITAMUHULA WA KWANZA: LUGHASURA YA KWANZAUfahamu: maslahi ya watotoKuchambua pichaKuorodhesha misamiatiKusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uk 1-3Sarufi: ngeliNi utaratibu wa elimu ya sarufi ya Kiswahili wa kuorodhesha maneno katika vikundi mbalimbaliMifanoA – WAMtu – watuMnyama – wanyamaMdudu – waduduU – IMti – mitiMwezi – mieziMuwa – miwaLI – YA Gari – magari Jiwe – maweGunia – maguniaMufti uk 4Kusikiliza na kuongea: maamkizi na adabu/heshimaMaamkizi ni kujuliana hali baina ya ndugu,rafiki na rafiki, motto na mzazi au mwalimu na mwanafunziMifanoMasalkheri – aheriSabalkheri – aheriHujambo – sijamboMaagano hutumiwa wakati watu wanapoachanaMifanoTuonane kesho – inshallahNdoto njema – ya mafanikioUsiku mwaka _ majaliwaLala unono – jaalaNemsi ni majina ya heshima au sifa njem ambazo hutambulizwa kabla ya kutaja jina halisi la mtuMifanoMarehemuBibiBintiBitiNanaHayatiSitiAdabu ni maneno ya heshima au taadhima ambayo watu hutumia wanapotangamanaMifanoTafadhaliPoleMakiwaKumradhiShukraniAshakumSimileMufti uk 5Kurunzi uk 9-10K k d uk 2Msamiati: tarakimuNi hesabu inapoandikwa kwa nabari kuonyesha idadiMwanafunzi aandike 100,001 – 1000,00Mufti uk 10SURA YA PILI Ufahamu: firi siriniKuchambua picha Kiorodhesha msamiatiKusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uk 12-13Magazeti na majaridaMagazeti huandikwa kila siku ilhali majarida huandikwa kwa kila juma au majuma mawiliMajarida na magazetiHuelimishaHuburudishaHuzinduaHuonyaHutahadharishaMufti uk 15Sarufi: viashiria radidiKiashiria ni neno ambalo huonyeshaViashiria radidi hurudiwarudiwa ili kutilia mkazoMfano Karibu: hapahapa Hukuhuku HumuhumuMbali kidogo: hapohapo Hukohuko HumohumoMbali zaidi: palepale Kulekule MlemleSentensiA –WAMvuvi yuko hukuhuku bahariniWavuvi wako bahariniU – IMti upandwe kulekule kiwanjaniMiti ipandwe kulekule viwanjaniLI – YAGari liegeshwe palepale maegeshoniMagari yaegeshwe palepale maegeshoniMufti uk 16Kurunzi uk 3K k d uk 12Matumizi ya lugha: ‘kina’ na ‘akina’Hutumika tunapotaja jamii ya watu walio wengi pamoja katika kikundi au shirikaMfanoKundi la wanawake – kina mama Mwungano wa wasichana – kina dadaNyanya wengi pamoja – kina nyanyaHutumika pia kumtaja mtu akiwa na wenzake jamaa au aila yakeMfanoHapa ni ap akina sauloKina saida wameondokaMufti uk 17 Kurunzi uk 94K k d uk 80Kusikiliza na kuongea: tamathali za semiIstiara ni ulinganisho wa moja kwa moja kwa kusema kuna kitu kingineHaitumii maneno yafuatayoKamaSawa naKama vileMithili yaMifanoChakula hiki ni asli – kitamu mnoAli ni mlingoti – mrefu sana Baba ni samba – ni kaliMusa ni sungura – mnjanja sanaMufti uk 18-19Kurunzi uk 24Msamiati: maandishiNi mambo yaliyoandikwa kwa madhumuni ya kusoma kama vile magazeti vitabu barua na mashairiKatika maandishi kuna Herufi: irabu - a, e , I, o, uKonsonanti – g, k, h, lSilabiNenoAyaibaraparaSuraUbetiMstariMufti uk 22SURA YA TATUUfahamu: vitabuKuchambua pichaKuorodhesha msamiatiKusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uk 24-25Sarufi: vivumishi vya pekee-ote, o-ote-ote ni kivumishi cha kutaja jumla pamoja au kukamilika kwakitu kizima bila ya kugawanyaO –ote hutumika kuonyesha kati ya vingine au miongoni mwaMifanoChui amemla mbuzi woteChui wamewala mbuzi woteChui hajamla mbuzi yeyoteChui hawajawala mbuzi wowoteMufti uk 26-27Kurunzi 20K k d uk 87-88Kusikiliza na kuongea: tanakali za sautiNi maneno yanayonakili sauti au milio ya sura na vitendoMifanoMwagika mwa!Tiririka tiriririri!Funika gubigubi!Kunyoka twa!Nyamaza ji!Nyeupe pep e pe!Mbwa mwoga alibweka bwebwebweJeni aliirarua karatasi rwa!Mtoto alilala fofofo!Mufti uk 27-28Msamiati: viungo vya mapishiViungo ni vitu ambavyo hutumika kukifanya chakula kiwe na ladhaBaadhi ya viungo niChumviDaniaKarafuuKitunguuIlikiPilipili hohoPilipili mangaBizariKitunguu saumuKarotiNyanyaMdalasiniJiraTangawiziMufti uk 31-32K k d uk 13SURA YA NNEUfahamu: mashairiShairi ni aina ya wimbo unaofuata kanuni kama vile beti, aya, mshororo, vibwagizoSilabi zinapooima urefu wa mshororo huitwa mizaniMshororo ni mstari mmoja katika ubetiUbeti ni kifungu kimoja cha shairiKina/vina ni silabi zenye sauti mojaAina za mashairiTathminaTathniaTathlithaTarbia/unneTakhmisa/utanoTasdisa/tashlitaUkumiMufti uk 34K k d uk 74Sarufi: vivumishi vya pekee –enye, -enyeweEnye hutumika kuonyesha hali ya kumiliki au kuwa na kitu fulaniiMfanoMgeni mwenye mizigoWazee wenye mikongojoKitabu chenye pichaEnyewe huonyesha binafsiMifanoNilitumwa mimi mwenyeweTulikuja sisi wenyeweMotto ansoma mwenyeweEnyewe pia humaanisha wenye maliKiti hiki kina mwenyeweSisi ndisi wenyewe wa vitabu hivyoMufti uk 36K k d uk 22-23Kusikiliza na kuongea: handithiNi ngano kuhusu visa vyovyote yanayomhusu binadamu na harakati zake katika mazingira yakeKuna handithi za kale na kisasaHadithi huwa vitangulizi kamaMsimulizi: handithi! Handithi!Wasikilizaji: handithi njoo!Msimulizi: paukwa!Wasikilizaji: pakawa!Msimulizi: paliondokea chanjagaa, kajenga nyumba kaka, mwanangu mwanasiti kijino kama chikichi cha kujengea vikuta, na vilango vya kupitia. _______________________Mufti uk 38-39Msamiati: usafiriNi hali ya kufanya ziara kutoka mahali Fulani hadi pengineAnayesafiri ni msafiriMalipo ya usafiri ni nauliKuna usafiri wa aina tatuNchi kavuGari moshiMotokaa BaiskeliTukutuku PikipikiMajiniMeliChelezoJahaziDauAnganiJetiRoketiNdegeParachutiMufti uk 41SURA YA TANOUfahamu: mhurumie maskiniKuchambua pichaKuorodhesha msamiatiKusoma ufahamuKijibu maswaliMufti uk 43Sarufi: vivumishi vya pekee –ngi na -ngineKivumishi cha pekee –ngi hutumika kuonyesha wingi kwa jumla na kwa pamojaMfanoChakula kingiVyakula vingiUgali mwingiUgali mwingiNgine huonyesha baadhi ya vitu au watu ama sehemu tu nay a jumla yenyeweMfanoMgeni mwengine amekujaWageni wengine wamekujaSwali jingine ni gumuMaswali mengine ni magumuMufti uk 46-47K k d uk 41-42Kusikiliza na kuongea: mafumboNi aina ya chemsha bongo ambayo mtu anhitajika kuwaza na kufikiri hadi apate maana yakeMfanoNinataka kukaanga mayai, nina moto, viungo vyote ninavyohitaji na vifaa vyote ninavyohitaji,je nimekosa nini?Jibu: umekosa mayaiMufti uk 47Msamiati:vikembeNi vitoto au vizawa vya viumbe mbalimbaliMifanoNdovu – kidangaNyoka – kinyemereFisi – bakaya/kikutoNge – kususeChungu – kwidaMdudu – king’onyoMufti uk 48SURA YA SITAUfahamu: ujambaziKuchambua pichaKuorodhesha msamiatiKusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uk 50Sauti tata/vitateKobe – kopeChoka – shokaMbata – bataKura – kulaSarufi: kirejeshi – ambaHutumika kurejelea au kuundia nomino, aliyetenda au kitu kilichotendekaHuchukua viambishi kulingana na ngeliMifanoMwizi ambaye alikamatwa alifungwaWezi ambao walikamatwa walifungwaWaya ambao ulikatika ni huuNyaya ambazo zilikatika ni hiziMufti uk 54Kusikiliza na kuongea: mashairiKurejelea sura ya nne na kujadili kanuni za mashairiMufti uk 54Msamiati: tarakimuKuandika tarakimu kwa manenoMfano111,113 dagaa mia moja na kumi na moja elfu mia moja na kumi na watatuMufti uk 56SURA YA SABAUfahamu: tabasamuKuchambua pichaKuorodhesha msamiatiKutunga sentensiKujibu maswaliMufti uk 58-59Sarufi: kirejeshi ndiHutumika kama kishirikishi cha kukubali kwa kusisitiza nomino na wazo au jamboMfanoWoga ndio ulionifanya nitorokeWoga ndio uliotufanya tutorokeMhuni ndiye aliyefua chumaWahuni ndio waliofua vyuma Mufti uk 60-61Sarufi: matumizi ya karibuMatumizi ya karibu niYa umbali – kwetu ni karibu na kwaoYa nusura – alipigwa karibu afeYa makambisho – “karibuni kwangu”, mwenyeji akasema Ya maagano – “karibuni tena”, mwenyeji akasemaYa kiasi – alikula karibu matunda kumiYa wakati – karibu kipindi cha Kiswahili kianzeMufti uk 61Kusikiliza na kuongea: redio, televisheni/runingaMwalimu awaelekeze wanafunzi kusoma ufahamuMufti uk 61-63Msamiati: tarakimuKuandika idadi kwa tarakimuMfanoMtaa wetu una nyumba mia moja na kumi elfu na kumiMufti uk 63-64SURA YA NANEUfahamu: kifo kitamuKuchambua pichaKuorodhesha msamiatiKutunga sentensi Kusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uk 67-68Sarufi: vitenzi – kauli ya kutendewaHumaanisha kitendo imetendwa kwa niaba yaMifanoNene – nenewaPenda – pendewaCheza – chezewaPasua – pasuluwaFuta – futiwaChukua – chukuliwaMufti uk 69K k d uk 48-49Kusikiliza na kuongea: vitendawiliAina ya mafumbo mafupi ambayo humhitaji anayetegewa kulazimika kuwaza na kuwazua ili kupata jawabu sahihiMifanoKipo lakini sikioni – kisogoKafunua jicho jekundu- juaPopote niendapo kinanifuata – kivuliMufti uk 70Kurunzi uk 83Msamiati: usafiriKurejelea msamiati wa usafiri sura ya nneTaja vyombo vya usafiriMufti uk 71SURA YA TISAUfahamu: balaa bin beluwaKuchambua pichaKuorodhesha msamiatiKutunga sentensiKusoma kifunguKujibu maswaliMufti uk 71-72Sarufi: kauli ya kutenduaNi hali inayoonyesha kinyume au tofauti na alivyotenda mtendajiMfanoFicha – fichuaFunga – funguaEza – ezuaHama – hamiaAnika – anuaFuma – fumuaKunja – kunjuaMufti uk 76Kusikiliza na kuongea: misemo/nahauNi maneno yanayotumiwa kwa ufasaha na kwa namna maalum ili kutoa maana Fulani ya ndaniMifanoMkono mrefu – mwiziToka sare – toshana nguvuLaza damu – kuwa mzembeShika mkia – kuwa wa mwishoZunguka mbuyu – kutoa hongoMufti uk 77 Kurunzi uj 91=92Msamiati: mapishiMwalimu arejelee mapishi na kutaja vitendo mbalimbali jikoniKokaKangaChemshaEpuaKanzaTokotaInjikaOkaBanikaVifaa kama SufuriaChunguSinisKisuKijikoBakuliBirikaKaroMchiMufti uk 77-78SURA YA KUMIUfahamu: mtu ni matendoKuchambua pichaKuorodhesha msamiatiKutunga sentensiKusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uk k80-82Sarufi: kauli ya kutendwaIko katika hali ya kufanywaMifanoFunga – fungwaTega – tegwaZiba – zibwaKunja – kunjwaTaza – tozwaFuga – fugwaLima – limwaKusikiliza na kuongea: methaliNi semi za kihenga ambazo hutumiwa kuwasilisha ujumbe kwa njia isiyofichikaHutumiwa kuonya, kufunza, kuhimizaMifanoFedha fedhehaMtu hujikuna ajipatapoMti ukifa shinale na tunzuze hukaukaSiku ya nyani kufa miti yote hutelezaMufti uk 84K k d uk 7Kuandika: maendelezo sahihiMwalimu kuandika maneno ambayo huleta utataMifanoAlafu – halafu Chukuwa – chukuaGorofa – ghorofaIngisha – ingizaMufti uk 85Msamiati: haliya mimeaMmea ni mche unaochipuka kutokana na mbegu tawiHali za mimea ni kama vilkeKupandaKuotaKuchipukaKustawiKunawiriKukaukaKunyaukaKuvunaMufti uk 87Kkd uk 32INSHA MUHULA WA PILIINSHA YA MASIMULIZINi insha inayohadithia au kusimulia hadithi mikasa au visa ya kweli au ya kubuniMwandishi anafaa kuyaelezea matukio kwa njia ya kusisimua ili kumteka msomajiInsha hii hutahiniwa kwa njia tatuKupewa mwanzo wa kisaMfanoTaa zilizimwa ghafla kukawa na giza la kaniki mara nikasikia Kupewa kumalizia/tamatiMfanoTangu siku hiyo, niliapa kuwa nitaacha kabisa tabia ya kutenda kinyume na mashauri ya wazazi wanguKupewa kichwa au anwani au madaMfanoJINAMIZIPWAGU KIJIJINIRUIYA YA KUTISHATanbihiMwanafunzianaonywa asibadilishe mwanzo au mwisho wa insha aliyopewaINSHA YA HUZUNITahakiki ya huzuni/majonziMachozi yaliniporomeka kapakapa mithili ya ganjo linalivuja msimu wa mkaragazoMachozi ya majonzi yalinilengalenga machoniNililia kwa kite na simanziKifo chake kiliniatua moyoMichirizi ya machozi ilinitoka njia mbilimbiliNilipifa unyende/ukwenzi ambao ungewaamsha wafu kutoka kwenye makaburi yao masahaufuMaisha yaliksa maana yakawa sawa na tupu la yaiAlitamani acheke akalia akatamani alie akachekaNilijuta majuto ni mjukuu ambayo huja kinyumeNilitumbukia katika bahari ya simanziMisamiati ya kueleza jinsi mbalimbali za kutoroka hatariNilitundika miguu mabeganiNilikimbia mbio za miguu niponyeKwenda arubii/shotiNilitembea himahimaNilitembea marshimarshiNilinyatia nyatinyatiKueleza muda mfupiPunde si pundeMwia si mwiaKufumba na kufumbuaGhafla bin vuuMuda wa bana banuaKabla ya kinyonga kugeuza rangiKatika akisami ya sekundeKwa muda wa mate kutua ardhiniMuda wa umande kuyeyuka unyasiniTahakiki za wogaNilitetemeka kama kinda aliyenyeshewaNilitetemeka kama kondoo mwenye manyoya haba msimu wa kipupweMiguu ilinicheza cheza kwa hofuNilikenua kinywa nusura nyuki wapate mzinga wa bwerereWoga wa kunguru ulinivaa kama lebasiKihoro cha mfa maji kilinipanda kama zaibaki kwenye kipajimotoINSHA YA FURAHATAHAKIKI ZA FURAHAnilifurahi kama mama aliyepata salamaKama mwizi aliyepata kazi ya kuhesabu fedha benkiniKama kiwete aliyetega yaiKama kibogoya aliyepata menoKama mvuvi aliyekinasa kishazi cha samakiNilifirahai na kucheka hadi jino la Disemba likaonekanaKama njiwa aliyepewa kazi ya kulinda mtamaFuraha sufufu ilinitinga si kidogoNilipiga mbizi katika bahari ya furahaKueleza muda mrefuMuda wa chupa kuozaMuda wa kuhesabu nyota anganiMuda wa kigugumizi kutoa hotubaMuda wa kibogoyo kutafuna mfupaMfanoSherehe yenyewe ilichukua muda wa chupa kuoza (muda mrefu)Tulikaa likizoni kwa muda wa kibogoyo kutafuna mfupa (muda mrefu)TakririFika na kuwasiliKulandana na kufananaKumlaki na kumkaribishaAdabu na heshimaKutwa kuchaDaima dawamuBuheri wa afyaRaha na burahaShangwe na hoihoiSiku ya sikuNzuri na maridadiTashbihiMaridadi kama begaTamu kama haluaNywele kama za singaKicheko kama radiPesa nyinginkama njuguShingo kama upangaSauti kama kinandaMzuri kama malaikaMetameta kama nyotaPendana kama ulimi na mateKuwa na bahati ya mtendeINSHA YA METHALIMethali ni kifungu cha maneno yanayotumiwa kisanii ambayo huwa na maana pana kuliko maneno yenyeweHutumiwaKuonyaKuhimizaKushauriKuchangamshaSehemu za insha ya methaliUtanguliziMtahiniwa hueleza maana ya methali husika kwa ufupi na kutoa kisawe cha methali husikaMwiliMtahiniwa hubuni kisa kinachotoa au kudhihirisha ukweli wa methali husikaKisa kinachofaa kitoleweTamatiAtoe funzo kitokana na kisa chakemethali zinazohimiza bidiiMtaka cha mvunguni sharti ainameMgaagaa na upwa hali wali mkavuAchanikaye kwenye mpini hafi njaaKwenda bure si kukaa bureAjizi ni nyumba ya njaaUkiona vyaelea vimeundwaKilicho baharini kakingoje pwaniBahati ni chudiZohali ni nyumba ya njaaMwana mtukutu hali Ugali mtupuVipokeziWaama wema hauoziAma kweliNi dhahiri shahiri kama jua la mti kti kuwaAmini usiamini, sadiki usisadikiChambilecho wahengaWaamba hawakukosea shabaha waliponenaWaliotanguli kuliona jicho la jua hawakutupiga mafaba walipokuliAma kwa yakiniMtahiniwa aweza pewa methaliikiwa kama madaApewe ikiwa mwanzoApewe ikiwa tamatiINSHA YA MAELEZOMtahiniwa huhitajika kutoa sifa za mtu, kitu, mahali au mambo FulaniAtoe ukweli kuhusu jambo hiloMifanoFaida za majiFaida za mitiMadhara ya dawa za kulevyaAthari z aukimwiMadhara ya faida za teknolojia mpyaUmuhimu wa elimuVidokeziTahiniwa asiandike chini ya hoja sitaUtanguliziEleza elimu ni niniAina za elimuElimu huondoa ujingaHumwezesha mtu kuhifadhi siriHutoa umaskiniHuwezesha mtu kuishi na wenzake vyemaHurahisisha mawasilianoHuleta umojaHuleta heshimaMethaliElimu ni taa gizaniAkili ni maliElimu ni bahariBaada ya dhiki farajaPenye nia pana njiaMstahimilivu hula mbivuZito hufuatwa na jepesiPapo kwa papo kamba hukata jiweTakririFuraha na burahaRaha mustareheHana kazi wala baziMaskini hohehaheKutwa kuchaDaima dawamuDhahiri shahiriHana mbele wala nyumaHayanihusu ndwele wala sikioVifungu vinavyoeleza zamaniHapo zama za zamaHapo zama kongwe za maweHapo enziza kisogoniHapo jadi na fasiliHapo enzi za mababu zetuHapo enzi za AbrahamuHapo miaka ya elfu lela ulelaMsamiati msetoShule za chekecheaZa msingiZa upiliDarasa la (kwanza – nane)Kidato cha (kwanza- nne)Vyu vikuuMahafaliShahadaBARUA YA KIRAFIKI/KIDUGUHuhusu kupatiana mwaliko, kujuliana hali, kufahamisha au kuarifu kuhusu jamboSehemu muhimu za barua hii niAnwani ya mwandishiTarehe na maamkiziUtanguliziMwiliwasaalamAnwani ya mwandishiHuandikwa pembeni kabisa upande wa kulia sehemu ya juuHuwa na jina la mwandishi , mahali anakoishi, sanduku la posta na tareheKoma hutumiwa na baada ya mji hutumiwa kitoneTarehe huandikwa baada ya anwaniMaamkiziHuonyesha uhusiano uliopo baina ya mwandishi na mwandikiwaMfano shangazi mpendwaKwa mpendwaKianzioHudhihirisha Yule anayeandikiwaHubainisha uhusiano wake na mwandishimwiliHaya ni maamkizi kwa yule anayeandikiwaMfanoPokea salamu – sufufu, furifuri, tolatolaNyingi kama nyotab angani, mchangaMimi ni buheri wa afyaMzima kama chuma cha pua / ngarange za mvuleNina buraha na furaha/furaha na bashashaNina imana kuwa Mola/Mkawini/JalaliMwiliSehemu – hii hubeba ujumbe wa mwandishiWema – ninaomba unitendee fadhila/jamalaNinashukyru kwa wemw ulionitendeaUtiifu – ninakuhakikishia kwamba nitakuwa na utiifu, nidhamu na bidiiLengo au azma ya kukuandikia waraka huu niWaraka huu ni kukujulisha kuwa Ningependa kukujuza kuwaTamatiNingependa kutia nanga kwa kukuelezea kuwa Kwa kuwa wasaa umenitia kumbu/mudaUmenipa kisogo, ningependa kutia kitoneNinakunja jamvi kwa msemo usemaoKalamu yangu inalilia wino Ndimi mzazi wako Wako wa moyoni ni wako mpendwaNdimi mwana wako mpendwa ___________SampuliAnwani ya mwandishiTareheUtangulizi/kianzioMwiliHitimishoBARUA RASMIPia huitwa barua ya kiofisiHuandikwa kuhusu jambo rasmiHuandikwa iliKuomba nafasi ya kaziKuomba nafasi za masomo shuleni au chuoniMaombi ya msaada kutoka kwa serikaliKuomba msamaha au radhiMalalamishi kuhusu jambo FulaniBarua rasmi ina sehemu zufuatazoAnwaniAnwani mbili – ya mwandishi na ya mwandikiwaAnwani ya mwandishi huandikwa tareheKianzioSehemu hii huandikwa bwana (BW) au bibi (BI), Mkurugenzi mkuuu, mwalimu mkuuMtajoNi kichwa cha barua ambacho huashiria lengo au madhumuni kwa ufupiKumbukumbu – KUMBMintarafu – MINTKusudi – KUSKuhusu – KUHYahusu – YAHKichwa cha barua rasmi hupigiwa mstariMwiliHuelezea zaidi kuhusu kusudi ya barua na lengo hasa kuandika baruaMtahiniwa huhitajika kuelezea kuhusuElimu yakeWasifukwani haambatanishi stakabadhi zozote zileTanbihiInsha yoyote ile lazima itemize ukurasa na nusuTamati/mwishoHumalizwa kwa Wako mwaminifuSahihiJinaMtindo wa barua rasmi Anwani ya mwandishiTareheAnwani ya mwandikiwa kiazioKUMB: (mada)Mwili/kiwiliwiliHitimishoMaelezoMADHARA YA UGONJWA WA UKIMWIVidokeziUkumwi ni niniHusababisha vifoKuvunjika kwa familiaWatoto huachwa mayatimaHuleta umaskiniKupoteza kazi kwa waathiriwaHushindwa kuhitimu mahitaji yaoGharama huongezeka kwa jamiiWafanyikazi wengi hawafiki kazini wanapolemewa na ugonjwaTahakikiMgonjwa hajijui hajitambuiMgonjwa si uji si dawaMuwele si ma maji sia wa ujiSi hayati sia mamati/si hai si mahututiMguu mmoja u kaburini mwingine kitandaniYeye yuko katika pumzi zake za mwishoHuenda akafa leo keshokutokana an ugonjwaKifo kinamkondolea machoYuko hoi bin tabaanikwa maradhiSi wa ulaji si wa malaziHisia za simanziNilijishika tamaMoyo ulimshukaNilizama katika lindi la simanziNilikumbwa na ukiwa mithili ya mfiwaNiliangua kilio cha simnziNilitumbukia kwenye bahari ya majonziSemiKufaEnda jongomeo, kuzimuni, kufuatwa njia ya marahaba, kupungia dunia mkono wa buriani, kutangulia mbele ya haki,kuipa dunia kisogoKuharibika kwa jamboau mambokwenda mramaKuenda upogoMambo kuenda segemnegeKupatwa na matatizo kuoigwa na urumoKula mumbi kuogelea kwenye mchanga wa motoKuingia kwenye maji makuuMaji kuwa ya shingoniKuingia kwenye tanuri la motoKumwaibisha mtuKumvunja mtu mbelekoKumvua mtu nguo mpaka mtu matopeKumpaka mtu mavumbiKumtia kirakaKulewa pombeKuoiga maji, kuvaa miwani, kuchapa mtindiKufukuzwa kaziniKupigwa kalamu, kuonyeshwa mlangoKuonyeshwa paa, kumwaga ungaShada /takririUgonjwa usiokuwa na dawa wala kafaraFuraha na burahaMaskini hohehaheSimanzi na majonziZogo na zahamaBalaa na beluaNadra na adimuKutojali togo wala jandoRafiki wa kufa kuzikanaWaganga na waganguziHana kazi wala baziIma fa imaLiwalona liweUpende usipendeHali na maliHana hananiMsamiati msetoSindanoDawaTembeKoleoKipima jotoKipima mwiliBendejiPlastaUyokaMachelaKipimadamuMaabaraWagangaMuuguziINSHA YA MAELEZOHizi ni insha ambazo mwandishi hueleza sifa za mtu, kitu, jambo au mambo FulaniMifanoJinsi wali unavyopikwaMchezo niupendaoAthari za ukumwiShule yetuUmuhimu wa majiAina za michezoNi jambo lifanywalo kwa ajili ya kujifurahisha kujichangamsha au kupoteza wakatiBaadhi ya michezoJugweGugwiBembeaKibeMsabakaKandandaRiadhaSarakasiNetiboliNagaVoliboliGololiHokiLangalangaKriketiMpira wa wavuMchezo wa KandandaPia huitwa kambumbu, soka , gozi au mpira wa miguuHushirikisha timu mbili pinzaniWachezaji huvalia jeziMsamiati wa kandandaDalugaSoksiBuktaKatika ya uwanja huitwa kitovu/sentaOtea – kujificha kwa makusudi ya kushambulia kwa ghaflaPenalty – adhabu kwa mlindalangoMlindalango, mdakaji, golikipaKimiaRefa/refariiMshika bendera/kibenderaMhimili/goliNgware – cheza visivyoKipindi cha lala salama ni kipindi cha mwishoKadi nyekundu huonyesha kutimuliwa kwa mchezajiKadi ya jano – onyoHuwa na wachezaji kumi na mmoja katika kila upandeWalinzi au difensiWachezaji wa katiSafu ya mashambuliziWachezaji wa akibaPiga mkwanjuKocha/mkufunziMapamboKilele cha sherehe hizo kingekuwa? Kinyang’anyoro cha patashika cha mchezo wa kambumbuUlikuwa ni mchuano baina ya miamba na mahasadi wa jadiUwanja ulijaa hadi pomoniWachezaji walishononaMdakaji alkiudaka mpira ungedhani ni tumbili aliyedadia tawi la mtiPasi fupifupi na za uhakika ungedhani walikuwa na mashine miguuniMpira haukulenga goli__kweli kulenga si kufumaKuutia mpira vifuani kana kwamba una spaki za kuunasaWalinda ngome walikuwa imara kama chuma cha puaKwenda kubwaga moyo baada ya kipindi cha kwanzaSafu ya ilinzi ulikuwa imara kama ukuta uliotengenezwa kwa zegeEnda nyatunyatu na kufyatua zinga la kombora Piga kombora kimo cha mbuzi , kuku au ngamiaMashabiki walijawa na bashashaKipindi cha pili tukihisi kuwa na nishati mpyaBao la bua liliweza kuzitubua nyoyo za wapinzani wetumaashiki wa timu ya buheri walijazibika na jazba za furaha na ushindiNahauPiga chengaPiga gwaraPiga jarambaEnda komboPiga bismilahiKula ndongaEnda mafyongoChukua hainehaineBonge la mtuIngia mitiniHana udoleKula yaminiBeba hanga hangaTashbihiMnene mithili ya dubwanaEnea kama moshiJaa uwanjani sisisiNywele laini kama singaMwoga kama kunguruShirikiana kama mkongo na mkongojoPepesuka kama mleviWima kama msonobariNyanyuliwa kama tiaraTofautiana kama maji na mafuta/moto na barafuMethaliAingiaye baharini huongeleaChelewa chelewa utampata mwana si wakoMatafiti hula samaki mtulivu hula nyamaSamba mwenda pole ndiye mla nyamaAsiyeangalia huishia ningalijuaMkono mmoja hauchinji ngombeKutangulia si kufikaChuma kiwahi kingali motoINSHA YA METHALIni fungu la maneno lenye maana linalotumika kidhihirisha kulingana na muktadhaMethali hutumika KuonyaKuelimishaKutahadharishaKushutumuKukashifuKuchangamshaAina za methaliMethali za kawaidaZa hisiaZa kuburudishaSehemu za inshaUtanguliziMtahiniwa aeleze maana ya methaliMwiliAbuni kisa kinachozngumzia methaliHitimishoNi tamati na atoe funzoMethali za maonyoAsiyesikia la mguu huvujika guuAliyechomwa na mwiba huthamini kiatuAlalaya umwamshe, ukimwamsha utalala weweTahadidi kabla ya hatariUjana ni moshi ukienda haurudiMdharau mwiba huota tendeKiburi cha mende huishia motoniTama mbele mauti nyumaMtaka vingi kwa pupa hana mwisho mwemaVipokezi vya methaliHapo ndipo niliposandiki na kuamini kuwaWaledi wa lugha hawakututia kiwi machoniKwa yakini wahenga wa konga za mawe hawakukanyaga chechele walipoambaChambilecho wahengaAmini usiamini sadiki, usisadiki mwenye macho haambiwi tazamaWaama , Yakini si yamkiniMASIMULIZIMkasa wa motoMoto ni mwako wa kitu kinachoungua au nariMoto una uzuri na ubayaVyanzo vya motoHutokana na nyaya za umeme ambazo hazijakarabatiwa vizuriMatumizi ya gesi bila kwa makini pia husababisha mikasa ya motoUkokaji a moto ovyoovyoUlipukaji wa mambomba ya mafuta au magari ya mafutaJinsi ya kupambana na motoKupiga kamsa pindi moto utekeapo ili kupata usaindizi majirani husaidia kuuzima kwa mchanga,matawi na majiKuwajulisha wazima moto Kutumia nyaya za stima inavyofaaKuwafunza umma jinsi ya kupamba motoMapamboNdimi za moto ziliramba mapaa na kutaza nyumba bila hurumaWingi jensi lilitanda angani na kuiramba hewa ikawa nyeusi tititiKuta na nguzo nyeusi zilisimamawiman na kutukabali kwa majonziZege za nyumba zilitekwa na motoNilishangaa kama mja aliyeyaona mabaki ya Adamu na HawaNilidhani na kufikirikuwa macho yangu yalikuwa yakinichzea shere kumbe ulikuwa ukweliMagari yota yaliteketea teketekeTabaini/fani mgonganoSi wa maji si wa ujiSi wa kolea si wa maniSi hayati si mamatiSi kikongwe si kijanaSi Yule si huyuSi leo sikeshoSi mzima si mgonjwaSi wa jando si wa tongoSi mrefu ngoringori si mfupi kibeteTashbihiMrefu kama mlingotiMlafi kama jujuKali kama pilipiliBanana kama ndiziWasha kama upupuWivu kama mke mwenzaPana kama uwanja wa aheraTapata kama mfamajiKigeugeu kama kauleniMethaliTahadhari kabla ya hatariKilio si dawaWatu ni kikoaYajapo yaokeeSikio la kufa halisikii dawaMeno ya mbwa hayaumaniAsiyesikia la mkuu huvunjika guuTama mbele mauti nyumaSAFARI YA KUFANANi tendo la kuenda mahali Fulani kwa sababu ya kutembeaVidokezoKutolewa kwa taarifa ya safariKung’oa nangaKufika mjini KuzurusehemuMbalimbaliKufanya utafiti na kuuliza maswaliSafari ya marejeoMapamboZiara hiyo ilinijaza ari na hamasa za kutalii zaidi ya nchi yetuSiku hiyo, wakati wa alasiri kengele ikirizwa tukaenda gwarideniSote tulijawa na furaha yamenokutouma mkateBasi lililalama na kisha likafusa wingu jeusi tititiMaadhari ya kupendeza yalijifaragua na kujianika kwa hebaMiti ilionekana kukimbizana na gariMagurudumu ya gari yaliumana nakuchuana na lamiMji wa pendoraha ulitukaribisha wakati wa jua lamtikatiSithubutu kusema ziara yetu ilikuwa timilifu bilaTashdidiNilifika na kuwasiliTuliketi na kukaa kimyaWalitabasamu na kuchekaNililia kwa majonzi na simanziSikusema wala kunena kituKwa makelele na mayoweVitu vilijaa na kujazanaSichelewi sikawiiFuraha na bashashaINSHA ZA PICHAHuhusu mfuato wa picha kadhaaMtahniwa azihunguze picha kwa utaratibuKuziunganisha picha hizo kimawazoChagua vikolezo vya kuandika katika inshaPicha moja yaweza beba maudhui mawiliInsha iwe ya kusisimuaMsamiatiPenye riziki hapakosi fitinaVishindo vya maji havimalizi mchangaWaarabu wa pemba hujuana kwa viumbeNimejaa tela kama pishi la ubwaubwaYote alikuwa tisa kumiMama alinilea akanipakata, akaniangata na kunikoshaNime nini nimnyime ni iOvyo kama mji usiokuwa na jumbeTulilalia matatizo tukaamkia mashakaCHAKULA NIKIPENDACHOChakula ni kitu chochotekinacholiwa na hupa mwili nguvuAina ya vyakulaSimaWaliChapatiDonaKimatiMatokeKimboyaKinanaVibanziKisamvuMandondoKundeMboga na viungoTangawiziKarotiKitunguuNyanyaUredaIlikiDaniaPilipiliKarafuuMdalasiniTahakiki ya ulajiVyakula vya kunoga na kuhomolewaUtamu wa mlo huo ungemfanya mtu kuramba viwiko vya mkonoMapochopocho yaliandaliwasi nyama, si pilauChakula kilipikwa kikapikikaKusharabu vinywajiMshumbi wa waliTulinyofua minofu ya nyamaUlifaridi ulitawala hewaniChai ya mikono miwiliMsamiati msetoKoka motoNyofuaTafunaGegedaPishi la waliMchuzi rojorojoKukaangaJokofuKukaanzaBariyoJokofuSharubatiFakamiaMapochopochoMekoEpuaTelekaUpawaKuchochea motoMakomboKubanikaMchanja motoVifaa vya kupikiaMafiaStovuSahaniSufutria Kisu joko’degiKandirinyaKifumbuSeredaniLegeniBilauriMethaliMgaa gaa na upwa hali wali mkavuAlimaye mtama havuni kundeTembe na tembe huwa mkateTashdidiHamu na humumuJaa na furikaShiba na kinaiFuraha na furahaniTua na kutuliaTashbihiPenda kama mboni za machoLaini kama pambaGumu kama mangoFura kama hamiraTengana kama ardhi na mbinguMapamboWalikula kwa pupa kaa nzige bila kusaza wala kubakisha tongeKulegea kama mlendaUsihandaike na rangi, utamu wa chai ni rangiPishi la wali lilijaajaa kwenye SufuriaMeaza iliandaliwa kwa mapochopochoMinofu ya nyama ilikuwa fokoMUHULA WA PILISURA YA KWANZAUfahamu: uzalendoKuchambua pichaKuorodhesha msamiati na kutunga sentensiKusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uk 94-96Sarufi: kirejeshi –ambaKurejelea matumizi ya kirejeshiMufti uk 96Matumizi ni heri, bora na afadhaliHeri humaanisha sawa na,afadhali au boraMfanoNi heri kufa macho kuliko kufa moyoBora ni kiunganishi na pia kivumishiHulinganisha mambo vitu au halikuonyesha ni kipi kilicho bora zaidiMfanoNi bora kuwa na afya kuliko maliAfadhali ni kielezi kinachomaanisha vyema zaidiMfanoAfadhali mtu afe kwa njaa kuliko kuibaM12345ufti uk 97Kusikiliza na kuongea: majadilianoMwalimu awaongoze wanafunzi kusomaMufti uk 98-99Msamiati: vimeleaNi kiumbe chochota kinachoishi kwankutegemea viumbe vingineMifanoKunguni – hukaa kitandani na hufyonza damu wakati wa usikuKiroboto – hufyonza damu ya binadamu na wanyamaChawa – hupatikana katika nywele au nguo chafuFunza/tekenye/bobwe – hukaa kwenye miguu ya binadamuMbu – hufyonza damu na husababisha ugionjwa wa malariaKupe – mdogo anayegandakwenye mili ya wanyama kama mbuzi, kondoo, ng’ombeMufti uk 101SURA YA PILIUfahamu: elimu ya manufaaKuchambua michoroKuorodhesha msamiatiKutunga sentensiKusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uk 104-105Sarufi: kauli ya kutendekaHuonyesha kutendekaMifanoPika – pikikaSoma – somekaPaga – pigikaVunja – vunjikaSema – semekaImba – imbikaMufti uk 106Kusikiliza na kuongea: wimbowa kitabuMwalimu awaelekeze wanafunzi kuimba wimbo na kujadili maswaliMufti ujk 107Ufahamu: urafiki wa kweliKuchambua pichaKuorodhesha msamiatiKusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uj 112Sarufi: kiuliza –pi?Ni kivumishi cha kuuliza kutaka kujua baina ya vitu kadhaaMfanoA – WAMvuvi amemvua mkunga yupi?Wakunga wamewavua samaki wapi?U – YAUnyoya upi ni mrefu? Manyoya yapi ni marefu?Mufti uk114-115Kusikiliza na kuongea: tashbihiTamathali za lugha zinazofananisha vitu, sifa, hali au tabiaMifanoMwaminifu kama mchanaRinga kama tausiLaini kama hatririLazima kama ibadaKawaida kama sheriaMufti uk 116Kurunzi uk 164-165Kuandika: maendelezo ya manenoWanafunzi waendeleze mneno na kuyatungia sentensiMfanoHatariShokaJuaKuwaKuaMufti uk 117Msamiati: zana za vitaNi vifaa /vyombo au tambo ya kuangamiza inayotumiwa wakati wa vitaMifanoBundukiSimeDerayaSingeBastolaBomuKomboraMzingaManowariJetiNyambiziKifaruMufti uk 119Kurunzi uk 132SURA YA NNEUfahamu: utaliKuchambua pichaKuorodhesha msamiatiKutunga sentensiKusoma ufahamuKujibu maswaliK k d uk 51-52Sarufi: usemi halisi na usemi taarifaUsemi halisi ni usemi wa moja kwa moja kutoka kwa msemajiAlama za kuulizia na hisi hutumikaAlama za kunukuu hutumikaNyakati zozote hutumikaUsemi wa taarifa ni ripoti au maelezo yanayotolewa na tu mwengine au wa pili kutoka kwa msemajiAlama za kunukuu hazitumikiViulizio na hisi hazitumikiWakati uliopita hutumiwa mara nyingiHapo huwa paleSasa huwa wakati huo au uleHali yake huwa ngeWakati ujao ta huwa ngeMufti uk 125K k d uk 75Kusikiliza na kuongea: mafumboNi swalila chemsha bongo ambalo linahitaji utumizi akili kupata jibuMfanoGari liendalo kwa nguvu za umeme huenda kasi kwenye reli kutoka magharibi kuelekea mashariki, je moshi wa gari hii unaelekea wapiMufti uk 125Msamiati: mahakamaMifanoJaji/hakimuPinguKorokoroniFainiUshahidiWakiliMahabusuDhamanaIthibatiKata keziMkalimaniHukumuMshukuwaKiongozi wa mashtakaKata rufaaWakiliKurunzi uk 127SURA YA TANOufahamu: yatima wa ukimwikuchambua picha kuorodhesha msamiatikutunga sentensi sahihikusoma ufahamukujibu maswali mufti uk 130sarufi: ki ya mashartihuonyesha lazima kitendo kimoja kifanyiwe ili cha pili kifanyikehuonyesha hali tegemeziukanushaji wa kini–sipomifanoukisoma utafauluusiposoma hutafauluukila utashibausipokula hutashibamufti uk 136kusikiliza na kuongea: shairimwalimu kuwaongoza wanafunzi kuimba shairi na kujibu maswali mufti uk 132-133msamiati: vifaa vya ufundirejelea vifaa hivi darasa la tanomifanomsasamsumenopotasitimazibisibisiutepejiliwakeekeetishalinyundokuandika: hati nadhifuwanafunzi waandike sentensi wakichonga herufi kubwa mwalimu awape mifanomtu ni mwenye utu kwa watuukiona vyaelea vimeundwamufti uk 114SURA YA SITAUfahamu: mashakaKuchambua pichaKuorodhesha msamiatiKutunga sentensiKusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uk 135-136Sarufi: uakifishaji muftiHuu ni uwekaji wa alma za kuakifisha kwa mwandishi kulingana na maana au wazo uliotaka kutoa katika taarifa, neon, tamko kwa sentensiMifanoHerufi kubwaKikomo/nukat ( . Kiulizio ?Dukuduku _ _ _ _ _Vinukuu/mtajo “ Koma/kipumuo ,Ritifaa/king’ong’o ‘Mabano ( )Hisi !Mkwanju /Semikoloni ;Nairobi ni mji mkuu wa KenyaUna vitabu vigani?Siku hizi ukitembeaovyo ovyo _ _ _ _ _ _ __Mufti uk 141K k d uk 106SURA YA SABAUfahamu: akufaaye mfaeKuchambua pichaKuorodhesha msamiatiKiutunga sentensiKusoma ufahamuKujibu maswaliK k d ujk 73-74Sarufi: nomino kutokana na nominoShina la kitenzi huambishwa ili kupatanomino au majina kadhaaMajina haya huwa vitenziMifanoAjira – mwajiriSala – msalihinaUshahidi – shahidiUlinzi – mlinziUimbaji – mwimbajiUzazi – mzaziK k d uk 107Kusikiliza na kuongea: vitendawiliSwali la chemsha mbongo lahitaji utumizi wa akili kuoata jibuMwalimu awaelekeze wanafunzi kutega na kutegua vitendawiliMufti uk 73Msamiati: adabu na heshimaHeshima ni utu, staha na taadhimaMfanoTafadhaliPoleSamahaniAlamsikiAbee!NanaAsneKunradhiSiti labeka!Mufti uk 151SURA YA NANEUfahamu: wanyamapori ni raslimalikuchambua picha kuorodhesha msamiati na kutunga sentensikusoma ufahamukujibu maswalimufti uk 152sarufi: nomino kutokana na sifamifanozuri – uzuri kali – ukalisafi – usafiPana - upanaMufti uk 155Kkd uk 130Kusikiliza na kuongea: mawasilianoNi njia za kufikiana na ujibu maswaliVifaa vya mawasilinoTarakilishiRununuredioMagazetiMajaridaRuningaKipepesi TovutiVitabuKikokotoFaksiKuandika: kinyumehueleza upande wa pili wa kitendo au sarufimifanonenepa kondakumbuka sahaumeza temapanda vunakwea shukalia chekaamka lalamufti uk 159SURA YA TISAUfahamu: asaliKuchambua picha Kuorodhesha msamiati na kutunga sentensiKusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uk 160-161Sarufi: kikanushi ‘to’Hutumika kukanusha vitenzi jinaHuorodheshwa katika ngeli ya KU – KUMifanoKusoma – kutosomaKusema – kutosemaKuwaka – kutowakaKuimba – kutoimbaKucheza – kutochezaKusikiliza na kuongea: tamathaliWanafunzi wasome sentensi zilizo vitabuni na kueleza tamathali zilizotumikaMifanoChakula kiliisha fyu!Baba ni sambaMrefu kama unjuKiuno cha nyinguMufti uk 164Msamiati: hali ya mimeaKurejelea sura ya kumi uk 85Kufanya mazoeziMufti uk 165SURA YA KUMIUfahamu: ujumbe wa ukimwiKuchambua picha Kuorodhesha msamiati na kutunga sentensiKusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uk 166-167Sarufi: kiambishi ’ ka ‘ cha wakatiHuonyesha mfululizo wa vitendo au matukio katika sentensiMifanoMkulima alilima akapanda akanyunyizia maji akavunaAliandika kitabu akakisoma akafurahiaAlama ya kikomo isitumikeHutumika kuonyesha wakati wa kitendo kimekamilikaHukanushwa kwa walaHakula wala kushibaMsamiati: maana ya msamiatiKuwaelekeza wanafunzi kuelkeza msamiati wakitumia kamusiMifanoForonyaAbiriaNahodhaUmemeSeremalaDiraSarafuKoroboiNyiguPodoManati yayaMafigaBawabuTangaINSHA MUHULA WA PILIINSHA YA MASIMULIZINi insha ambazomatahini husimulia matukio mbalimbaliMifanoJinamizi –ndoto ya kutishaHadithi ya kusisimuaZiara ya kufanaMkasa wa motoViongozi vya hadithiHapo zamani za kaleHapo enzi za kisogoniMiaka na mikaka iliyopitaPaukwa! Pakawa! Katika kitingoji chaTahakiki ya ndoto za kutishaHofu iliniteka nyara, nikapumbaa na kukosa la kufanyaJitu liliniangushia kibao kizito kilichonifanya kuona vimulimuliUsingizi ulinipaa nikagaragara kitandaniPandikizi la mtu lenye misuli tinginyaNiliyoyaona sikuweza kuyasadiki wala kuyaamini asilaniKijasho chembaba kikanitoka kwapaniNikabwanwa na kiwewe kisicho na kipimo wala mizaniUlikuwa usiku wenye giza la kanikiUlikuwa usiku mkuu manane/wenye kizo totoro au lenye maki ya kanikiTahakiki ya wogaKihoro cha mfamaji kilinipanda kama zaibaki kwenye kipima jotoNilishika roho mkononiMalaika yalinisimamaViguu vilishindwa kunibebaUlimi uliniganda kinywaniNilitetemeka kama unyasi nyikani wakati watufaniNwele zilinisimamam timtimMacho yalinitoka pima mithili ya panya mtegoniHisia za mshangao/mshtukoNitetemeka tetete/temtem mithili ya kiwambo cha msodoTahakiki ya furahaNilichachatika kwa furaha na bashasha mzomzoNilifurahi upeo wa /mithili yaNilifiurahi na kufaharika tamthili ya mfalme aliyejipumbaza kwenyekasri yakeAlifurahi kama kibogoyo aliyeota magego na sagegoNilipiga mbizi katika bahari ya kufurahiNi uso wa nani usiomwekamweka kwa furahiNilifurahi kama mvuvi aliyekinasa kishazi cha samakiVicheko vilipamba moto jari mojaMahaluki walisalimiana kwa furaha na farahaniHakika ilikuwa siku ya aina yakeTahakiki ya huzuni/majonziMachozi yaliniporomoka kapakapa mithili ya ganjo linalivuja msimu wa mkaragazoMachozi ya majonzi yalinilengalenga machoniNililia kwa kite na simanziKifo chake kiliniatua moyoMichirizi ya machozi ilinitoka njia mbilimbiliNilipifa unyende/ukwenzi ambao ungewaamsha wafu kutoka kwenye makaburi yao masahaufuMaisha yalikosa maana yakawa sawa na tupu la yaiAlitamani acheke akalia akatamani alie akachekaNilijuta majuto ni mjukuu ambayo huja kinyumeTanakali za sautiKamata papatu papatuTeketea teketekeBung’aa ngaaJaa kochokocho/nomi/teleteleEusi tititi/piFunika tanda/gubigubiChoka tikiJaa sisisiKoma komekomeJaa furifuriDondoka machozi ndondondoMambo kuvurugika vuruguvuruguPonea chupuchupuChafuka moyo chafuchafuMoyo kudunda du du duMoyo kupapa papapaMUHULA WA TATUSURA YA KWANZA Ufahamu: ninataka kufaKuchambua pichaKuorodhesha msamiati na kutunga sentensi sahihiKusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uk 4-5Sarufi: ngeliNi utaratibu wa elimu ya sarufi ya Kiswahili wa kuorodhesha maneno katika vikundi mbalimbaliMifanoA – WAMtu – watuMnyama – wanyamaMdudu – waduduU – IMti – mitiMwezi – mieziMuwa – miwaLI – YA Gari – magari Jiwe – maweGunia – maguniaMufti uk 4Kusikiliza na kuongea: maamkizi na adabu/heshimaMaamkizi ni kujuliana hali baina ya ndugu,rafiki na rafiki, mototo na mzazi au mwalimu na mwanafunziMifanoMasalkheri – aheriSabalkheri – aheriHujambo – sijamboMaagano hutumiwa wakati watu wanapoachanaMifanoTuonane kesho – inshallahNdoto njema – ya mafanikioUsiku mwaka _ majaliwaLala unono – jaalaNemsi ni majina ya heshima au sifa njem ambazo hutambulizwa kabla ya kutaja jina halisi la mtuMifanoMarehemuBibiBintiMufti uk 17Kuandika: kanuni za ushairiNi taratibu au kanuni zinazofuatwaUshairi ni elimu ya utaalam unaoshughulikia uchambuzi na utungaji wa mashairiShairi ni aina ya nyimbo zinazotungwa kwa kufuata shariaBaadhi ya kanuni niUbeti – beti – kifungu cha shairiMshoror – mishororo – mstari wa shairiMizani – idadi ya silabi au vitamkwaKina – vina silibi za namana moja za kati na mwishoKibwagizoNi mshororo wa mwisho unaorudiwarudiwaMufti uk 4Msamiati: vitateManeno ambayo yanakaribiana katika matamshi lakini maana ni tofautiMifanoMbaliBaliMahariMahaliYamkiniYakiniMufti uk 10SURA YA PILIUfahamu: jana, leo na kesho yakoKuchambua pichaKuorodhesha misamiati na kutunga sentensiKusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uk 14-15Sarufi: ngeli na viambishingeliKutaja ngeliKiambishingeli ni kiwakilishi cha nomino au jina kunachopatikana mwanzoni mwa kitenziMfanoMtoto amesoma kitabu chakeMiaka ilipita kasiUnga ulinimwagikiaMufti uk 17Kusikiliza na kuongea: vyombo vya habariBadhi ya vyombo niRuninga RedioTarakilishiWavutiAjaridaMagazetiMsamiati: tarakimuKueleza maana ya tarakimuMwalimu kuwaongoza wanafunzi kuandika tarakimu kwa manenoMufti uk 20SURA YA TATUufahamu: starehe dunu dunianikuchambua picha kuorodhesha msamiatikutunga sentensikusoma ufahamukujibu maswalimufti uk 23-24sarufi: viashiriaviashiria ni vivumishi vya kuonyeshani vya aina tatukaribu hapambali kidogo hapombali sana palemufti uk 14kusikiliza na kuongea: sauti tata/tatanishini maneno yenye utata katika kuyatamka lakini maana yake ni tofautisauti hizo nish, z sl, rj , chb, pg, ngj , njwanafunzi wasome sentensi zenye sauti tatawafanye zoezimufti uk 27-28msamiati: vitatemaana ya vitatewanafunzi wwaweze kutofautisha vitatewafanye zoezi kuhusu vitatemufti uk 30,37SURA YA NNEKusoma: vitabu vya handithiMwalimu aeleze umuhimu wa kusoma hadithi kama vileKuelimishaKufurahishaKuerevushaWanafunzi wasome vitabu vya hadithi na wandodoe msamiati waliosomaMufti uk 33Sarufi: vimilikishiManeno yanayotumiwa kuonyesha kitu kinamilikiwa na naniNi vitatuAngu -etuAko -enuAke aoWanafunzi wachambue jedwali kitabuniMufti uk 34Kusikiliza na kuongea: methaliMethali ni fani ya lugha na hutumiaKuelimishaKuonyaKuburudishaKila methali ina maana yakeKutoa mifano ya methali k k d uk 29SURA YA TANOKusoma:wezi hawaweziKuchambua picha kitabuniKuorodhesha msamiatiKutunga sentensiKusoma ufahamiuKujibu maswaliMufti uk 39-41Sarufi: vivumishi sifaHufafanua zaidi kuhusu nomino iliyo inavyofanana hali, umboMifano-zuri-fupi-refu-eusi-bichiWanafunzi wachambue jedwali kitabuniMufti uk 42-43Kusikiliza na kuongea: vitendawiliNi maswali ya chemsha bongo yanayochemsha na kumfanya mtu kutumia akili kupata jibu sahihiNi vya aina mbiliVya mapokezo ambavyo vimerithiwa na kizazi hadi kizaziVya kubuniwa na mtaalam yayote kutoka mamboleo na harakati za kila sikuMwalimu kutoa mifano na wanafunzi kujaribu kujibuMufti uk 43-44Msamiati: tarakimu 2,000,000 – 3,000,000Maana ya tarakimuMwalimu awaongoze wanafunzi kuandika tarakimu kwa maneno kwa usahihiWafanye zoeziMufti uk 46-47SURA YA SITAKusoma: wazimu wa pesaKuchambua picha kitabuniKuorodhesha msamiati na kutunga sentensiKusoma taarifaKujibu maswaliMufti uk 52Sarufi: kiambishi –poHuwakilisha wakatiMfanoNilipoenda nilimkutaWanafunzi wachambue jedwali kwa usaindizi wa mwalimuWatoe miifano zaidiMufti uk 53-54Kusikiliza na kuongea: semiNi kauli yoyote inayotumia fungu la maneno kwa namna maalum ili kutoa maana FulaniMifanoMethaliNahauTanakali za sautiTakririTashbihiMisemoMufti uk 54-55Msamiati: nomino ambataNi majina yaliyoamabatanishwa na kushikana kuunda nomino au jina mojaMifanoMwanariadhaMwanasheriaBatamzingaMlaribaMjamzitoKifunguamimbaMwanachamaMwanajeshiK k d uk 34SURA YA SABAKusoma: jinsi ya kutumia kamusiKamusi ni kitabu cha orodha ya maneno yaliyopangwa kwa mujibu wa alfabeti pamoja na maana yakeManeno hupangwa kwa utaratibuKatika kamusi hufuatwa mzizi wa neonUsilitafute jina kama liko katika hali ya wingiMnyambulikoUkubwa na udogoViambishiManeno kwenye kamusi huwa niNominoKitenziKieleziKihusishiKivumishiKiwakilishiKiigiziKamusi husaidia yeyote kuyafuma lugha kikamilifuMufti uk 58Sarufi: -o rejeshi awali na tamatiKirejeshi o hurejelea nomino iliyotajwa kuwa imetenda, imetendwa, imetendewa au imetendekaMwalimu awaeleze wanafunzi kubainisha ngeli na o awli na tamatiAtoe mifanoMwanafunzi alimyekuja – mwanafunzi ajayeo-rejeshi ya kati hutumika kabla ya vitenzimufti uk 60-61Sarufi: -o rejeshi awali na tamatiKirejeshi o hurejelea nomino iliyotajwa kuwa imetenda, imetendwa, imetendewa au imetendekaMwalimu awaeleze wanafunzi kubainisha ngeli na o awli na tamatiAtoe mifanoMwanafunzi aliyekuja – mwanafunzi ajayeo-rejeshi ya kati hutumika kabla ya vitenzimufti uk 60-61kusikiliza na kuongea: mafumboni aina ya chemsha bongo ambayo mtu anahitajika kuwaza na kufikilia baadaya kusikiliza na kupata maana yake kamiliwanafunzi wasome mifano ya mafumbo na kutoa mifano zaidimufti uk 62msamiati: visaweni maneno yenye maana sawamfanoruninga – televisheninuru – mwangazanchi – taifakipusa – kidoshozirai –zimiabidii – juhudiwanafunzi kutumia kamusi kutoa manenombalimbali na visawe vyakemufti uk 62SURA YA NANEKusoma: shukraniKuchambua pichaKuorodhesha msamiati na kutunga sentensiKusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uk 66Sarufi: nge na ngali na ukanusho wakeNge ni hali tegemezi ambayo kwayo kitendo cha pili hutegemea kufanyika cha kwanzaMfanoNingesoma ningefauluUngekuja ungefurahiNge haiendi pamoja na ngeliNge hukanusha kwa siNgali nu kanuni ya matumizi kama za ngeHukanushwa na singaliMfanoAngalikula angalishibaAsingelikula asingelishibaK k d uk 56-62Kisikiliza na kuongea: mashairiWarejelee kanuni za ushairiWanafunzi wakariri shairi na wajadili ujumbe Mufti uk 70SURA YA TISAKusoma: linalowezekana leoKuchambua pichaKuorodhesha msamiati na kutunga sentensiKusoma ufahamuKujibu maswaliMufti uk 74-76Sarufi:viuliziNi neno la kuulizaLini? – siki /wakatiNani? – kutaja jina, cheo na uhusiano kati ya watuNini? – kutaka kujua ni kitu cha aina gani kwenye ngeli zote isipokuwa A-WAGani? –nhutumika ukitaka kujua hali, aina na jamii au tabiaHutumika katika ngeli zoteMufti uk 76-78Kusikiliza na kuongea: hotubaNi maelezo yanayotolewa kwa wasikilizajiUmbo la hotubaUtangulizi/dibaji na salamuKiini cha hotubaHitimishoWanafunzi wachambue maelezo hayo kwa usaindizi wa mwalimuMsamiati: nominoambataMwalimu arejelee na awakumbusheWanafunzi watoe maana wafanye zoeziMufti uk 79SURA YA KUMIKusoma: sifa za kashfaKuchambua picha kitabuniKuorodhesha msamiati na kutunga sentensikusoma ufahamu Kujibu maswaliMuftu uk 82-84Sarufi: viunganishiNeno linalotumika kuunganisha neno na neno au wazo na wazoMifanoSembuseFauka yaMighani yaMradiAghalabuMaadamLicha yaMufti uk 85-86Kusikiliza na kuongea: majadilianoNi mazungumzo kati ya mtu na mtu kuhusu suala maalum au mada maalum ili kupata suluhishoMjadala waweza pia kutolewa na msemaji au mzungumzaji mmojaWanafunzi wachambue maelezo vitabuniMufti uk 86-87Msamiati: vitaweNi maneno yenye maana zaidi ya mojaMwalimu arejelee kipindi cha awaliMufti uk 87-88INSHA: MUHULA WA TATUINSHA YA MASIMULIZIZinasimulia habari au matukio Fulani ka njia ya ufasahaUjumbe unaowasilishwa unaweza kuwa matukio ya kweli au ya ubunifuMifanoNdoto ya ajabuHadithiWizi wa mifugoJinamiziSafari/ziaraTahakiki ya ndoto za kutishaHofu iliniteka nyara, nikapumbaa na kukosa la kufanyaJitu liliniangushia kibao kizito kilichonifanya kuona vimulimuliUsingizi ulinipaa nikagaragara kitandaniPandikizi la mtu lenye misuli tinginyaNiliyoyaona sikuweza kuyasadiki wala kuyaamini asilaniKijasho chembaba kikanitoka kwapaniNikabwanwa na kiwewe kisicho na kipimo wala mizaniUlikuwa usiku wenye giza la kanikiHisia za wogaNilishika roho mkononiMalaika yalinisimamaViguu vilishindwa kunibebaUlimi uliniganda kinywaniNilitetemeka kama unyasi nyikani wakati watufaniNwele zilinisimamam timtimMacho yalinitoka pima mithili ya panya mtegoniHisia za mshangao/mshtukoNilipigwa na butaa chakariNilikenua kinywa kwa mshangaoNilibaki bila kuondoka kama kwambaNiliduwaa na kubung’aaNiliyatambua macho yangu kwa mshangaoHisia za kutoroka hatariNilisema mguu niponye Nilitundika miguu mabeganiNilichana mbuga mithili ya mja aliyekimbizwa na shetaniNilitimua mboa mithili ya mwana mbuzi amwonapo mbwa mwituNilitoka shoti kama panya amwonapo pakaNiliyafuata ya wahenga kuwa, kunguru mwoga hukimbiza mbawa zakeHisia za furahaNilijawa na furaha na bwahaNilikuwa na furaha ghayaNiliogelea kwenye bahari ya furahaNilifurahi upeo wa furaha yanguNilikuwa na faraja mithili ya kibogoyoAliyepata uwezo wa kuona,kinyonyoke aliyetunukiwa shungi la nyweleNguvu na umbo kubwaMtu wa miraba minePandikizila mtuMtu wa mataaluma manneHali ya unyongeAmetokwa na mabebeGofu la mtuFremu ya mtuMabega yamemwanguka kama mkongweAmekonda na kukondeanaMabaki ya mtuAmebaki mifupaMja huyo ni kifefeAmeregea parafujo za mwiliINSHA YA MAELEZOMwanafunzi huhitajiwa kutaja hoja za jambo FulaniAyaandike mambo ya kweliMifanoFaida na madhara ya majiAthari za mafurikoAthari za ukimwiUmuhimu wa kuhifadhi mazingiraMadhara ya mihadaratiVidokezo vya madhara ya ukimwiUkimwi ni niniHusababisha kifoKuvunjika kwa afamiliaWatoto kuachwa mayatimaUmaskiniKupotea kwa kaziGharama huongezewa kwa jamii – dawa, lishe na mazishiUchumi huzorota TamatiKuwatahadharisha watu wajiepushe na janga la ukimwi na wawasaidie wale ambao wameambukizwaHali ya ugonjwaMgonjwa hajijui hajitambuiMgonjwa si uji si dawaMuwele si ma maji sia wa ujiSi hayati sia mamati/si hai si mahututiMguu mmoja u kaburini mwingine kitandaniYeye yuko katika pumzi zake za mwishoHuenda akafa leo keshokutokana an ugonjwaKifo kinamkondolea machoYuko hoi bin tabaanikwa maradhiSi wa ulaji si wa malaziHisia za simanziNilijishika tamaMoyo ulimshukaNilizama katika lindi la simanziNilikumbwa na ukiwa mithili ya mfiwaNiliangua kilio cha simanziNilitumbukia kwenye bahari ya majonziSemiKufaEnda jongomeo, kuzimuni, kufuatwa njia ya marahaba, kupungia dunia mkono wa buriani, kutangulia mbele ya haki,kuipa dunia kisogoKuharibika kwa jamboau mambokwenda mramaKuenda upogoMambo kuenda segemnegeKupatwa na matatizo kuoigwa na urumoKula mumbi kuogelea kwenye mchanga wa motoKuingia kwenye maji makuuMaji kuwa ya shingoniKuingia kwenye tanuri la motoKumwaibisha mtuKumvunja mtu mbelekoKumvua mtu nguo mpaka mtu matopeKumpaka mtu mavumbiKumtia kirakaKulewa pombeKuioga maji, kuvaa miwani, kuchapa mtindiKufukuzwa kaziniKupigwa kalamu, kuonyeshwa mlangoKuonyeshwa paa, kumwaga ungaShada /takririUgonjwa usiokuwa na dawa wala kafaraFuraha na burahaMaskini hohehaheSimanzi na majonziZogo na zahamaBalaa na beluaNadra na adimuKutojali togo wala jandoRafiki wa kufa kuzikanaWaganga na waganguziHana kazi wala baziIma fa imaLiwalona liweUpende usipendeHali na maliHana hananiINSHA YA METHALIMethali ni fungu la maneno lenye maana linalotumika kudhihirisha kulingana na muktadhaHutumiwaKuonyaKelimishaKuerevushaKushauriSehemuUtanguliziMtahiniwa hueleza maana ya methaliKiwiliwiliMtahiniwa hubuni kisa kinachozungumziwa na huandikwa kwa njia ya kuvutiaNi sharti kisa kilenge methaliTamatiFunzo hutolewaMethali zinazohimiza bidiiMtaka cha mvunguni sharti ainameMgaagaa na upwa hali wali mkavuAtangaye sana na jua hujuaKwenda bure si kukaa bureAchanikaye kwenye mpini wa jembe hafi njaaMchumia juani hulia kivuliniUkiona vyaelea vimeundwaKilicho baharini kakingoje pwaniBahati ni chudiAjizi nyumba ya njaaMwana mtukutu hali Ugali mtupuSemiWaambao waliambaChambilecho wahengaWahenga hawakukosea shabaha waliponenaWahenga hawakutupaka mafuta kwa mgongo wa chupaWahenga hawakupiga mafaba walipokuliWahenga hawakutuchezea kayaya za chini kwa za chini kwa chiniWahenga hawakuuza upepo kwa dunia waliponenaWahenga hawakutuchezea shere walopoangaWahenga hawakutoa ngembe walipolongaCHAKULA NIKIPENDACHOChakula ni kitu chochotekinacholiwa na hupa mwili nguvuAina ya vyakulaSimaWaliChapatiDonaKimatiMatokeKimboyaKinanaVibanziKisamvuMandondoKundeMboga na viungoTangawiziKarotiKitunguuNyanyaUredaIlikiDaniaPilipiliKarafuuMdalasiniTahakiki ya ulajiVyakula vya kunoga na kuhomolewaUtamu wa mlo huo ungemfanya mtu kuramba viwiko vya mkonoMapochopocho yaliandaliwasi nyama, si pilauChakula kilipikwa kikapikikaKusharabu vinywajiMshumbi wa waliTulinyofua minofu ya nyamaUlifaridi ulitawala hewaniChai ya mikono miwiliMsamiati msetoKoka motoNyofuaTafunaGegedaPishi la waliMchuzi rojorojoKukaangaJokofuKukaanzaBariyoJokofuSharubatiFakamiaMapochopochoMekoEpuaTelekaUpawaKuchochea motoMakomboKubanikaMchanja motoVifaa vya kupikiaMafiaStovuSahaniSufutria Kisu jokodegiKandirinyaKifumbuSeredaniLegeniBilauriMethaliMgaa gaa na upwa hali wali mkavuAlimaye mtama havuni kundeTembe na tembe huwa mkateTashdidiHamu na humumuJaa na furikaShiba na kinaiFuraha na furahaniTua na kutuliaTashbihiPenda kama mboni za ,achoLaini kama pambaGumu kama mangoFura kama hamiraTengana kama ardhi na mbinguMapamboWalikula kwa pupa kaa nzige bila kusaza wala kubakisha tongeKulegea kama mlendaUsihandaike na rangi, utamu wa chai ni rangiPishi la wali lilijaajaa kwenye SufuriaMeza iliandaliwa kwa mapochopochoMinofu ya nyama ilikuwa fokoBARUA RASMIHuandikwa kuhusu jambo la kiofisi kama vileKuomba kaziKuomba v\nafasi ya shuleKuomba msamahaKujiuzulu kaziSehemu za barua rasmiAnwaniIna anwani mbiliYa mwandishi na mwandikiwaLazima kanuni zifuatwe kama kuweka kituo baada ya kuandika jina na tareheKianzioHutaja anayeandikiwaMstari mmoja huachwa na kuandika kianzio kwa kuanza mwanzo wa mstari huoMada/mtajoHutaja sababu ya kuandika baruaMsomaji huelewa kiini cha baruaNi vyema iandikwe kwa herufi kubwa na ipigiwe mstariMfanoKUSUDI – KUS:MINTARAFU – MINT:mwiliHueleza waziwazi kuhusu jambo analozungumzia, hueleza wasifu wake kinaga na matarajio yakeKila hoja iwe kwa aya yakeLugha iwe nyenyekevu nay a heshimaTamatiMwandishi hukamilisha barua kwa unyenyekevu akimweleza msomaji kuwasiliana ana watu atkaowaorodhesha ili wampe habari zaidi kumhusuNi mimi waka mwaminifuNi mimi wako mnyenyekevuNi mimi wako mtiifuManeno haya hufuatwa na saini ya mwandishi kisha jina lakemtindo wa barua rasmi SHULE YA MSINGI YA LIZAR, S.L.P 93, NAIVASHA, NOVEMBA 18, 2015. MWALIMU MKUU,SHULE YA UPILI YA ALLIANCE,S.L.P 2003,KIKUYU. Kwa Bwana/Bi – kianzomtajo-MINT: NAFASI YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA mwili hitimisho – wako mwaminifu sahihi jina ................
................

In order to avoid copyright disputes, this page is only a partial summary.

Google Online Preview   Download