MAANA ZA MAJINA YA WATU WA PEMBA KATIKA LUGHA YA KISWAHILI: UCHUNGUZI ...
MAANA ZA MAJINA YA WATU WA PEMBA KATIKA LUGHA YA KISWAHILI: UCHUNGUZI KIFANI
MOH'D HAJI ALI
TASNIFU ILIYOWASILISHWA IKIWA NI SEEMU YA MASHARTI YA KUPATIWA SHAHADA YA UZAMILI (M.A.) KISWAHILI YA CHUO
KIKUU HURIA CHA TANZANIA 2016
ii
UTHIBITISHO Aliyetia sahihi hapa chini anathibitisha kwamba ameisoma Tasnifu yenye mada "Maana za Majina ya Watu wa Pemba" na ameridhika kwamba imefikia kiwango kinachotakiwa na inafaa kuwasilishwa kwa ajili ya utahini wa shahada ya Uzamili (M.A Kiswahili) ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.
................................................... Dkt. Zelda Elisifa (Msimamizi)
................................... Tarehe
iii
HAKI MILIKI Hairuhusiwi kuiga au kunakilikwa namna yoyote ile tasnifu hii, kwa njia ya kielektroniki, kurudufu nakala, kurekodi au njia yoyote nyengine, bilaya idhini ya mwandishi au Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kwa niaba ya mwandishi.
iv
TAMKO Mimi Ali, Moh'd Haji, nathibitisha kuwa hii ni kazi yangu halisi na haijawahi kuwasilishwa katika Chuo Kikuu kingine chochote kwa ajili ya kutunukiwa shahada hii au nyengine yoyote.
........................................................... Sahihi
................................. Tarehe
v
TABARUKU Naitabaruku kazi hii kwa mama yangu, Mauwa Haji Amani, kwa malezi yake mazuri na kunisisitiza kutafuta elimu. Aliniambia "Mwanangu kwa elimu na mali watu hujenga familia zao. Familia hazijengwi kwa ujinga na unyonge".
................
................
In order to avoid copyright disputes, this page is only a partial summary.
To fulfill the demand for quickly locating and searching documents.
It is intelligent file search solution for home and business.
Related download
- muhtasari wa kiarabu
- maana za majina ya watu wa pemba katika lugha ya kiswahili uchunguzi
- kamusi ya kiarabu na kiswahili
- التكلم سلسلة التكلم
- kamusi ya kiarabu na kiswahili pdf free download
- sanifu kwa shule za sekondari
- maendeleo ya kiswahili na athari zake kwa jamii ya kiarabu
- nyimbo za kiarabu free pdf books
- tafsiri baina ya kiswahili na kiarabu nchini misri
- ushairi wa kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20 nadharia