Mwana Mkuu wa Ibrahim - Al Islam

MWANA MKUU WA

IBRAHIM

MAJIBU YA "WANA WA IBRAHIMU'

JAMIL R. RAFIQ B.Sc.

JUMUIYA YA WAISLAMU WAAHMADIYYA TANZANIA 1

MWANA MKUU WA IBRAHIMU

Mtunzi:

Sheikh Jamil Rahman Rafiq

? Jumuiya yaWaislamu Waahmadiyya - Tanzania S.L.P. 376, Dar us Salaam - Simu 110473- Fax 121744

Chapa ya mara ya kwanza Chapa ya mara ya pili Chapa ya mara ya tatu

1977 1981 2000

Kimeenezwa na Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania.

Kimechapishwa na Ahmadiyya Printing Press P. O. Box 367 Dar us Salaam

2

YALIYOMO

Neno la mbele ........................................................................ 9 Bi Hajira si mjakazi ................................................................. 11 Jiwe kuu la pembeni ................................................................ 12 Namna tatu za Wana wa Ibrahim ............................................. 13

SEHEMU YA KWANZA

Wauza watumwa ni Waisraeli .................................................. 15 Tofauti kati ya Qur'an na Biblia ................................................ 15 Kuumba ndege ....................................................................... 16 Maisha ya Mtume Muhammad s.a.w. ...................................... 18 Mtume s.a.w. na Wakristo ...................................................... 22 Roho itokayo kwake .............................................................. 23 Mungu Habadili nia ................................................................. 24 Vita vya Muhammad s.a.w. ..................................................... 25 Dini na siasa kuandamana ....................................................... 26 Ndoa za Muhammad s.a.w. .................................................... 28 Amri kuu ya Yesu ................................................................... 29 "Tumerahisishamambo" .......................................................... 30 Mwana wa kupanga ............................................................... 30 Zainab aolewa na Mtume s.a.w. .............................................. 32 Haki za pekee ........................................................................ 35 Adabu za kuingia nyumbani ..................................................... 36 Sheria ya Shungi ..................................................................... 37 Utume wa Muhammad s.a.w. .................................................. 38 Ardhi inazunguka .................................................................... 40 Hakuweka msingi mpya .......................................................... 40 Mwana sio mwisho, Jiwe kuu la Pembeni ................................ 40 Maandiko yametimia ............................................................... 43 Mtume s.a.w. kwa dunia nzima ................................................ 44

3

Watumwa wa Mungu .............................................................. 47 Msaidizi: Roho wa kweli ......................................................... 47 Mtumishi wa Mungu ............................................................... 49 Torati, Injili na Qur'an ............................................................. 50 Qur'an na Injili ....................................................................... 52 Uthman hakukusanya Qur'an ................................................... 54 Mti na matunda yake .............................................................. 60 Kutangua Dini zote ................................................................. 60 Uislamu umetimiza Vitabu vya Kale ......................................... 60 Kupenda usafi ........................................................................ 63 Wasemaje juu ya nafsi yako .................................................... 64 Kutenda dhambi ..................................................................... 65 Wasitoke bila ruhusa ............................................................... 66

SEHEMU YA PILI

Uenezi wa Islam ..................................................................... 68 Dhimmi ................................................................................... 69 Umoja utapatikana tena .......................................................... 69 Islam katika Afrika ................................................................. 71 Utumwa ................................................................................. 72 Njia ya Biashara ..................................................................... 73 Mitume wa Kristu, hospitali za misheni .................................... 74 Hirizi na Upali ......................................................................... 76 Utumwa ................................................................................. 76 Kanisa Katoliki liliendesha Utumwa ......................................... 77 Papa afundisha Utumwa .......................................................... 78 Utawala .................................................................................. 81 Lugha ya Kiswahili .................................................................. 82 Uislamu chini ya Ukoloni wa Kikristo ...................................... 82 Masomo yana faida ................................................................ 83 Katika taifa la kisasa ............................................................... 85 Taifa liandamane na Dini .......................................................... 85

4

Dini iandamane na maisha ....................................................... 86 Maisha ya Mwislamu .............................................................. 86 Talaka .................................................................................... 88 Ahmadiyya ............................................................................. 90 Jihadi ...................................................................................... 90 Ahmadiyya na Wakristo .......................................................... 91 Yuz Asaf (Kaburi la Yesu) ....................................................... 92

SEHEMU YA TATU

Somo 1 - Nani aliye Mwana wa Ibrahimu ............................... 93 Somo 2 - Vitabu mbalimbali ................................................... 93 Mungu ni Baba ....................................................................... 94 Usafi wa moyo ....................................................................... 94 Somo 3 - Waislamu na Wakristo wanategemea mitumembalimbali .................................................................. 96 Mpendwa wa Mungu .............................................................. 98 Sallallahu alaihi wa salaam ....................................................... 98 Somo 4 - Mungu Mmoja ....................................................... 99 Yesu na Maria ........................................................................ 99 Qur'an yataja Utatu ................................................................. 99 MunguYu karibu ................................................................... 101 Mama wa Mungu! ................................................................. 104 Somo 5 - Mwanadamu mbele ya Mungu wake: Kiumbe ................................................................................. 104 Ajali ...................................................................................... 105 Mungu Akipenda ................................................................... 106 Sujuda ................................................................................... 106 Kuogopa miiko ...................................................................... 109 Somo 6 - Mwanadamu mbele ya Mungu: Kiumbe huru .......................................................................... 109 Utiifu ..................................................................................... 112 Somo 7 - Imani na kitu Kikuu ............................................... 114

5

Somo 8 - Mwanadamu mbele ya Mungu: Sala ....................... 116 Kuosha roho ......................................................................... 117 Sujuda ................................................................................... 118 Somo 9 - Mwanadamu ajilinda na unajisi ............................... 119 Ndoto ya Petro ..................................................................... 122 Kuungama au Kutawadha ...................................................... 123 Somo 10 - Hali ya Mwanadamu tangu asili ............................ 123 Ujinga, maradhi na ufukara ..................................................... 127 Kukombolewa ....................................................................... 131 Kifo ...................................................................................... 132 Somo 11 - Mwanadamu ni mkosefu, mwenye dhambi ........... 134 Kumpenda Mungu na jirani .................................................... 135 Kuishi kitawa ......................................................................... 136 Munguhalazimishwi ............................................................... 137 Sadaka, Saumu ..................................................................... 137 Somo 12 - Hukumu ya Ahera ............................................... 138 Dhambi husamehewa ............................................................. 138 Kadiri ya Mungu .................................................................... 139 Uje Bwana Yesu .................................................................... 143 Somo 13 - Adhabu ya Milele kwa Wahalifu .......................... 144 Adhabu ya moto ni nini? ......................................................... 145 Sababu ya kutokuonekana ..................................................... 146 Somo 14 - Heri ya Milele ..................................................... 150 Wanawake watulizao macho .................................................. 150 Somo 15 - Asili ya ubaya na mauti ........................................ 151 Shari ya alivyoviumba ............................................................ 152 Sheria ya maumbile, mizimu, pepo .......................................... 153 Somo 16 - Maadui na wasaidizi wa Mwanadamu .................. 154 Jinn, Malaika na Shetani ......................................................... 154 Somo la 17 - Mungu na Kaisari ........................................... 157 Utawala wa Kikristo .............................................................. 159 Kutumianguvu ....................................................................... 160 Somo 18 - Dini ya Moyo na Maungo .................................... 160 Mti wa Kiislamu .................................................................... 162

6

Somo 19 - Mwanadamu katika Taifa .................................... 163 Kuwatendea wengine ............................................................. 164 Somo 20 - Kujenga Ujamaa ................................................ 164 Sikukuu za Kikristo ............................................................... 165 Fadhila za Ujamaa ................................................................. 166 Somo 21 - Hali ya Wanawake .............................................. 168 Kuwa mwili mmoja ................................................................ 168 Islam na Wanawake ............................................................... 170 Shungi ................................................................................... 172 Bikira Maria .......................................................................... 176 Kuzaliwa bila Baba ................................................................ 177 Somo 22 - Mwanadamu na viumbe wengine ......................... 178 Safi na Najisi ......................................................................... 179 Hatima: Mariamu, Dadaake Haruni ........................................ 179 Mwujiza? .............................................................................. 181 Lulu zenye Thamani: Tenzi za SeyidnaAhmad a.s. .................. 183 Faharisi ................................................................................. 187

7

HABARI CHACHE KUHUSU MTUNGAJI WA KITABU HIKI

Sheikh Jamil R. Rafiq, mtungaji wa kitabu hiki, alizaliwa Pakistan mwaka 1936.

Katika mwaka 1956 alipata shahada ya B.Sc katika Panjab University. Mnamo mwaka 1961 alihitimu masomo ya dini katika chuo cha Jamia Ahmadiyya, Rabwah, na akapata shahada ya SHAHID. Katika mwaka 1962 alipelekwa na Khalifa Mtukufu wa Pili r.a. nchini Tanzania.

Yu mtungaji wa mashairi ya Kiswahili. Kwa miaka kadha alikuwa Mhariri wa "East African Times" na "Mapenzi ya Mungu". Miongoni mwa vitabu vyake, kitabu cha Tajwidi kinajulikana zaidi kati ya masheikh na waalimu wa Afrika Mashariki.

Aliwahi kuwa Mbashiri Mkuu wa Jumuiya ya Ahmadiyya nchini Tanzania kwa miaka kadhaa.

Kwa miaka minne baadaye pia alikuwa Mbashiri Mkuu wa Jumuiya ya Ahmadiyya nchini Kenya.

8

................
................

In order to avoid copyright disputes, this page is only a partial summary.

Google Online Preview   Download