JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI ... - MAELEZO
[Pages:1]JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
Baruapepe: km@habari.go.tz
Tovuti: habari.go.tz
Nukushi: 026-2322128
Simu:
026-2322129
Jengo la LAPF Ghorofa ya Nane, S. L. P. 25, Mtaa wa Makole Uhindini, DODOMA.
TAARIFA KWA UMMA Wizara kwa dhamana yake katika tasnia ya Sanaa imepokea kwa mshtuko taarifa za kutoweka kwa Mwanamuziki Ibrahim Mussa kwa jina la kisanii "Roma Mkatoliki" tangu tarehe 5 Aprili 2017.
Wizara imefuatilia kwa karibu suala hili kwa kuwa lina muelekeo wa jinai. Hata hivyo taarifa kutoka vyombo vya dola zinathibitisha kuwa Roma Mkatoliki hashikiliwi katika kituo chochote cha polisi.
Kutokana na hali hiyo,Wizara inawaomba wadau mbalimbali na wananchi kwa ujumla kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kutoa taarifa zozote zitakazo saidia kujua alipo msanii huyo.
Imetolewa na
Zawadi Msalla Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo. 07/04/2017
................
................
In order to avoid copyright disputes, this page is only a partial summary.
To fulfill the demand for quickly locating and searching documents.
It is intelligent file search solution for home and business.
Related download
- jamhuri ya muungano wa tanzania taasisi ya kuzuia na kupambana pccb
- kodi na ushuru mbalimbali 2019 2020 tanzania revenue authority
- utangulizi kwa elimu ya kifedha maelezo sahihi
- w ripoti fupi ya nchi kuhusu kazi zenye staha tanzania bara
- ushawishi wa bajeti ya afya katika serikali ya tanzania
- mwongozo wa uendeshaji vikundi vya wapanda miti wa tanzania
- ujana salama muundo wa ziada ya pesa cash plus kuhusu ustawi na
- uboreshaji wa mazingira wezeshi ili kuongeza ushiriki wa vijana esrf
- utangulizi ni wakati wa uchumi biashara na ujasiriamali kila mwaka
- printed in tanzania 2014 get value