FARIDA HASSAN KYABALISHANGA - Open University of Tanzania
KUCHUNGUZA SANAA NA DHIMA ZA METHALI ZA WAHAYA
FARIDA HASSAN KYABALISHANGA
TASINIFU ILIYOWASILISHWA KWA AJILI YA KUTIMIZA SEHEMU YA MASHARTI YA KUTUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI YA KISWAHILI
YA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA 2018
ii
UTHIBITISHI Aliyetia saini hapa chini anathibitisha kuwa ameisoma tasnifu hii iitwayo: "Kuchunguza Sanaa na Dhima za Methali za Wahaya" na ameridhika kwamba tasnifu hii imefikia kiwango kinachotakiwa na inafaa kuhudhurishwa kwa ajili ya utahini wa Shahada ya Uzamili yaani (M.A) Kiswahili ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Dar es salaam.
.................................... Prof. Tigiti. S. Y. M. Sengo
(Msimamizi)
............................... Tarehe
iii
HAKIMILIKI Sehemu yoyote ya tasnifu hii hairuhusiwi kukaririwa, kuhifadhiwa kwa njia yoyote ile au kuwasilishwa kwa mbinu yoyote ile ya kieletroniki, kunakilisha bila kupata idhini ya muandishi wa tasnifu hii au Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kwa niaba yake.
iv
TAMKO Mimi Farida Hassan Kyabalishanga nathibitisha kwamba tasnifu hii iitwayo `'Kuchunguza Sanaa na Dhima za Methali za Wahaya'' ni kazi ya juhudi zangu mimi mwenyewe na kwamba haijawahi kuhudhurishwa popote pale kwa lengo la kufuzu shahada kama hii.
....................................... Saini
................................. Tarehe
v
TABARUKU Mimi Farida Hassan Kyabalishanga, naitabaruku kazi hii kwa Mume wangu Kipenzi, Faraj A. Tamim, kwa upendo na moyo wa dhati kwangu Juhudi zako zimekuwa muongozo wangu katika kufikia hatua hii. Ahsante sana Mume wangu Kipenzi nitakukumbuka katika maisha yangu.
Kazi hii haitokamilika bila kukupa shukrani na pongezi za dhati Mume wangu Kipenzi, Faraj Abdallah Tamimi, Mwenyezi Mungu akuepushe shari akujalie kheri na akulipe hapa duniani na Akhera.
Pia kazi hii naiweka wakfu kwa mwanangu kipenzi, Faridi Juma Nyaigesha ili aje kuiendeleza pale nilikoishia.
Kazi hii naitoa zawadi kwa mwanangu wa pekee Faridi Juma Nyaigesha ili asiwe mbali na mila na desturi, aziheshimu na azilinde pamoja na Wahaya wote wanaopenda na kuthamini utamaduni wao.
................
................
In order to avoid copyright disputes, this page is only a partial summary.
To fulfill the demand for quickly locating and searching documents.
It is intelligent file search solution for home and business.
Related download
- jamhuri ya muungano wa tanzania taasisi ya kuzuia na kupambana pccb
- kodi na ushuru mbalimbali 2019 2020 tanzania revenue authority
- utangulizi kwa elimu ya kifedha maelezo sahihi
- w ripoti fupi ya nchi kuhusu kazi zenye staha tanzania bara
- ushawishi wa bajeti ya afya katika serikali ya tanzania
- mwongozo wa uendeshaji vikundi vya wapanda miti wa tanzania
- ujana salama muundo wa ziada ya pesa cash plus kuhusu ustawi na
- uboreshaji wa mazingira wezeshi ili kuongeza ushiriki wa vijana esrf
- utangulizi ni wakati wa uchumi biashara na ujasiriamali kila mwaka
- printed in tanzania 2014 get value
Related searches
- open journal of biological sciences
- university of minnesota college of education
- university of minnesota school of social work
- open line of credit loans
- wharton school of the university of pennsylvania
- open university sri lanka exam
- free open university courses online
- open university nawala sri lanka
- open university of sri lanka nawala courses
- open university sri lanka degrees
- open university sri lanka llb
- open university nawala courses