SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI
KISWAHILI
4
SANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI
MWONGOZO WA MWALIMU KIDATO CHA DARASA LA NNE MKONDO WA LUGHA
MWONGOZO WA MWALIMU KIDATO CHA DARASA LA NNE MKONDO WA LUGHA
UTANGULIZI
Mwongozo wa mwalimu kidato cha nne ni kitabu cha kumsaidia mwalimu kufundishia kitabu cha mwanafunzi cha kidato cha nne. Mwalimu ana hiari kufuata na kukubali mpango uliopangwa na waanndishi au kubadilisha sehemu nyingine kwa kufuatana na ujuzi wa lugha hii, yaani Kiswahili. Mwalimu anashauriwa ajaribu awezavyo kusoma sehemu ya matayarisho kabla ya kufunza somo lolote. Kutofanya hivyo kutamfanya mwalimu kushindwa kulisomesha somo lake kwa namna na hali ipasayo. Katayarisho hayawezi kabisa kufanywa siku hiyo wala si rahisi kwa vifaa vyote kupatikana siku hiyo hiyo. Kutokana na hayo yote wanafunzi wataweza kusikiliza, kutamka, kuona, kutenda, kusoma na kuandika Kiswahili vizuri zaidi na kwa urahisi kwa sababu mwalimu amejitayarisha vyema. Kitabu hiki kinapangwa katika mihula mitatu (3) ambapo kila mhula huwa na majuma kumi na mawili (12). Katika taratibu ya kila funzo kuna vichwa vya maneno vifuatavyo: funzo, shabaha, vifaa na taratibu. Haya yote ni kutaka kumrahisishia mwalimu kazi yake. Ni muhimu kuielewa shabaha ya kila somo kwani shabaha ndiyo uti wa mgongo wa somo lolote. Kitabu hiki pia, kimetayarishwa kwa ajili ya kurahisisha kazi ya mwalimu ya kufundisha Kiswahili. Tunakuonyesha shabaha za jumla za kila funzo, yanayohitajika kufundishwa kila juma na kila mhula. Namna mwanafunzi na mwanalimu mnavyosaidiana ili somo lenyewe liweze kufikia lengo lake pamoja na vifaa utakavyovitumia kwa kuendeleza somo.
iii KISWAHILI - S4 (Teacher Guide)
MWONGOZO WA MWALIMU KIDATO CHA DARASA LA NNE MKONDO WA LUGHA
YALIYOMO
UTANGULIZI................................................................................................................................................. iii YALIYOMO.......................................................................................................................................................v MPANGILIO WA KISWAHILI KIDATO CHA NNE MKONDO WA LUGHA............................................................................................................ 1 1. Funzo: HISTORIA YA KISWAHILI
(ukurasa 5-13).................................................................................................................................... 5 2. Funzo: FASIHI (ukurasa 14-41)................................................................................................12 3. Funzo: NGELI ZA MAJINA (42-70)...........................................................................................30 5. Funzo: UTUNGAJI (74-77)...........................................................................................................42 6. Funzo: AINA ZA MANENO
YA KISWAHILI (78-86) .................................................................................................................45
v KISWAHILI - S4 (Teacher Guide)
................
................
In order to avoid copyright disputes, this page is only a partial summary.
To fulfill the demand for quickly locating and searching documents.
It is intelligent file search solution for home and business.
Related download
- 102 kiswahili
- makosa ya kisarufi yanayofanywa na wanafunzi wataita wa shule za msingi
- seminari ya mt yosefu sanu maswali ya home package somo kiswahili
- ulinganishi wa mofolojia na sintaksia baina ya lugha 19 za kibantu za
- kitangulizi cha muundo viambajengo wa sentensi za kiswahili
- kidato cha tatu upatanishi wa kisarufi katika sentensi
- kiswahili darasa la tano lugha
- tasnifu ya shahada ya uzamili katika isimu ya kiswawli m a kisw
- athari za kimofofonolojia za kiolusuba katika matumizi ya kiswahili
- sanifu kwa shule za sekondari
Related searches
- critical value statcrunch za 2
- notes za biology form one
- dpsa gov za vacancies
- dpsa gov za vacancies 2020
- find the critical value za 2 calculator
- gautengonline gov za vacancies
- historia ya kuzaliwa kwa mtume muhammad s w a
- historia kwa kuzaliwa kwa sarah baartman
- herufi za lugha ya kiarabu
- historia ya kushuka qurani kwa mtume muhamad s w a
- aina za sarufi za lugha
- ngeli za nomino